Mpigamimba
Senior Member
- Nov 26, 2022
- 198
- 237
Huwa hamuelewi hacker ni nini na ndo maana hata umekosea kuandika hilo neno hapo kwenye title.Habarini.
Sote tulishuhudia Mtaalamu kigogo alivyosumbua. Wakuu nimeona nije na swala hili kwamba huyu kigogo umahiri wake kiweza kukwepa mishale enzi na awamu Ile technically ikoje hii.?
Msaada wa VPN ama ilikaaje.
Toka aliposema Jiwe amekufa akiwa hospitali gani sijui ya Chuo Ujerumani halafu Chuma kikaibuka Ikulu kuapisha nikamdharau Kigogo na kumuona ni takataka.
Nimekudharau pakubwa sijajali point yako iliyokosa uelevu.Huwa hamuelewi hacker ni nini na ndo maana hata umekosea kuandika hilo neno hapo kwenye title.
Mambo alofanya huyo jamaa mbona yalikua too basic?
Unaambiwa ukweli na mtu alio kwenye hii field 24/7/365 lkn unaleta vijimaneno vya hovyo hovyo tu.Nimekudharau pakubwa sijajali point yako iliyokosa uelevu.
Ukiwa unaelewa hoja unawashwa mshono nani anahusika na kuwashwa kwako.
Wengine wote hawana akili isipokuwa wewe? Jiulize unakasoro mshononi, ushonwe
Sawa wife.Unatokwa povu bure wakati wewe ndiye huelewi na hujui kwamba hujui.
aibu nimeona mimiUwezo wa kigogo kukwepa harkers? Au mwenyewe kuhack kibabe.
Hapa unaingia kwenye mjadala wa ''wanakitaa''. Hawa utasikia wanaambiana Kigogo ni mtu mwenye ujuzi wa hali ya juu na alishashindikana.Huwa hamuelewi hacker ni nini na ndo maana hata umekosea kuandika hilo neno hapo kwenye title.
Mambo alofanya huyo jamaa mbona yalikua too basic?
Tudadavulie zaidi.Kigogo hakuwa mtu mmoja ila taasisi. Na taasisi hiyo sasa imekufa
Kbla ya 2014 alikuw amwizi wa MaloryHistoria ya huyo kigogo2014 kwa tusiomjua naiomba
Kwa hyo aliyeachiwa account Ni muhuni tuKigogo hakuwa mtu mmoja ila taasisi. Na taasisi hiyo sasa imekufa
Ile ilikuwa special operation, operation imeisha, account inaendeshwa na mtu tu wa kawaida sana kama GENTAMYCINE , Faru John etcKwa hyo aliyeachiwa account Ni muhuni tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16]Ile ilikuwa special operation, operation imeisha, account inaendeshwa na mtu tu wa kawaida sana kama GENTAMYCINE , Faru John etc