Uwezo wa kigogo kukwepa harkers? Au mwenyewe kuhack kibabe.

Uwezo wa kigogo kukwepa harkers? Au mwenyewe kuhack kibabe.

Mpigamimba

Senior Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
198
Reaction score
237
Habarini.
Sote tulishuhudia Mtaalamu kigogo alivyosumbua. Wakuu nimeona nije na swala hili kwamba huyu kigogo umahiri wake kiweza kukwepa mishale enzi na awamu Ile technically ikoje hii.?

Msaada wa VPN ama ilikaaje.
 
Habarini.
Sote tulishuhudia Mtaalamu kigogo alivyosumbua. Wakuu nimeona nije na swala hili kwamba huyu kigogo umahiri wake kiweza kukwepa mishale enzi na awamu Ile technically ikoje hii.?

Msaada wa VPN ama ilikaaje.
Huwa hamuelewi hacker ni nini na ndo maana hata umekosea kuandika hilo neno hapo kwenye title.

Mambo alofanya huyo jamaa mbona yalikua too basic?
 
Toka aliposema Jiwe amekufa akiwa hospitali gani sijui ya Chuo Ujerumani halafu Chuma kikaibuka Ikulu kuapisha nikamdharau Kigogo na kumuona ni takataka.

Unatokwa povu bure wakati wewe ndiye huelewi na hujui kwamba hujui.
 
Huwa hamuelewi hacker ni nini na ndo maana hata umekosea kuandika hilo neno hapo kwenye title.

Mambo alofanya huyo jamaa mbona yalikua too basic?
Nimekudharau pakubwa sijajali point yako iliyokosa uelevu.

Ukiwa unaelewa hoja unawashwa mshono nani anahusika na kuwashwa kwako.

Wengine wote hawana akili isipokuwa wewe? Jiulize unakasoro mshononi, ushonwe
 
Nimekudharau pakubwa sijajali point yako iliyokosa uelevu.

Ukiwa unaelewa hoja unawashwa mshono nani anahusika na kuwashwa kwako.

Wengine wote hawana akili isipokuwa wewe? Jiulize unakasoro mshononi, ushonwe
Unaambiwa ukweli na mtu alio kwenye hii field 24/7/365 lkn unaleta vijimaneno vya hovyo hovyo tu.

Sasa dharau yako mie itanifanya nini? Au hio dharau yako ina uwezo wa kubadili ukweli na kuondoa facts?

Kigogo alichofanya ni basic protection tu kwa twitter account yake alokua anatumia kuvujisha siri anazopata kwa njia alizojua yy.

Hizo story mara sijui ni hacker au nini wanazisema ambao hawajui nini maana ya hacker. Fanya google search kdg basi uone maana ya hacker ni nini.

Af huwa si-qoute pumba kama hizi, ni kwamba tu mada yako imeangukia jukwaa langu pendwa la Tech. Endelea na maneno yako sitoquote tena taarabu zako.
 
TbT
2DE72B97-3DDE-47E4-A31F-271D3C92EF47.jpeg
 
Back
Top Bottom