Uwezo wa kigogo kukwepa harkers? Au mwenyewe kuhack kibabe.

Uwezo wa kigogo kukwepa harkers? Au mwenyewe kuhack kibabe.

Habarini.
Sote tulishuhudia Mtaalamu kigogo alivyosumbua. Wakuu nimeona nije na swala hili kwamba huyu kigogo umahiri wake kiweza kukwepa mishale enzi na awamu Ile technically ikoje hii.?

Msaada wa VPN ama ilikaaje.


Mbona si ngumu ukishajua cybersecurity basics au kama uko kwenye industry ya cyber si ngumu.
 
Back
Top Bottom