Why waste energy and time kwa 'no body'??
Why waste energy and time kwa wenye IQ ndogo ambao hawatakuelewa na IQ zao ndogo? Umewaongezea IQ ili wakuelewe??
Wewe ni mbinafsi ndio maana unaanza na kusema mimi hivi, mimi vile...who cares?
Hao wenye IQ ndogo chukulia kama sisimizi, siafu , mende au panya wanaokimbilia mzoga ambao ni Ali Kiba....they enjoy na kuwa na maisha yao kwenye ...Empire yao ya Wenye IQ ndogo. Yaani leo ukikuta sisimizi wanagombaniana mzoga unaanza kuwafukuza kwenye mzoga wao? Ukiwafukuza si wanarudi tena? Nani anaonekana ana akili?
Best way wewe muue ali kiba ili hao sisimizi wasimfuate
Haujajua IQ ndogo ya mama yako ilimkubali baba yako ukazaliwa wewe, mama yako angekuwa na IQ kubwa angezaa na bill gate au Mengi... Na kamwe usingekuwa na ID fake humu
Waache watu na maisha yao
Kuna jux, marioo, barnaba, harmonize, dulluz fid q, nandi, ruby, aslay kibao na hawa wote wana wapenzi wao...mpaka amber ruty, gigi money na wewe ukianza leo na sauti yako ya kishoga..utapata mashabiki...hatutawaita wana IQ ndogo when the word 'love' is involved
Umechemka na ukae kimya...ukitaka kuponya nafsi yako