Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

siongelei chochote kuhusu hao wasanii lakini nimekuona boya sana.. kwanza hujiamini Wataje wazi hao wanaoshabikia Nabii mke uwe na hoja ili nao wajibu.. halafu we unasema Siku zote ni R.C sasa hao Wanaomshabikia Nabii mke wanakuumiza nini? Si wameamua kumuamini na kuamini misingi ya imani yao kama wewe unavyomuita PAPA ni BABA MTAKATIFU NA MWAKILISHI WA MUNGU??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa uzi Corona Imeanza kutafuna ubongo maana kaandika pumba tupu tena kimihemko

Vishabiki vya Diamond vinawivu sana kinachowauma ni Alikiba kutrend kwa wiki nzima sasa hakuna kingine, kiba uwa unawasumbua akikaa kimya Mnateseka akikiwasha mnateseka,. Uzi wako hauna mashiko umeandika kimihemko kimichambo na kiwivu wa upande wa pili,


Ni wakati wa kiba huu kutrend tulizeni mishono ndo maana mnaona hata uko kwa mjomba enu chibu wamekaa kimya wanajua wakikurupuka wataaibika
 
Why waste energy and time kwa 'no body'??

Why waste energy and time kwa wenye IQ ndogo ambao hawatakuelewa na IQ zao ndogo? Umewaongezea IQ ili wakuelewe??

Wewe ni mbinafsi ndio maana unaanza na kusema mimi hivi, mimi vile...who cares?

Hao wenye IQ ndogo chukulia kama sisimizi, siafu , mende au panya wanaokimbilia mzoga ambao ni Ali Kiba....they enjoy na kuwa na maisha yao kwenye ...Empire yao ya Wenye IQ ndogo. Yaani leo ukikuta sisimizi wanagombaniana mzoga unaanza kuwafukuza kwenye mzoga wao? Ukiwafukuza si wanarudi tena? Nani anaonekana ana akili?

Best way wewe muue ali kiba ili hao sisimizi wasimfuate

Haujajua IQ ndogo ya mama yako ilimkubali baba yako ukazaliwa wewe, mama yako angekuwa na IQ kubwa angezaa na bill gate au Mengi... Na kamwe usingekuwa na ID fake humu

Waache watu na maisha yao

Kuna jux, marioo, barnaba, harmonize, dulluz fid q, nandi, ruby, aslay kibao na hawa wote wana wapenzi wao...mpaka amber ruty, gigi money na wewe ukianza leo na sauti yako ya kishoga..utapata mashabiki...hatutawaita wana IQ ndogo when the word 'love' is involved

Umechemka na ukae kimya...ukitaka kuponya nafsi yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mtoa uzi Corona Imeanza kutafuna ubongo maana kaandika pumba tupu tena kimihemko

Vishabiki vya Diamond vinawivu sana kinachowauma ni Alikiba kutrend kwa wiki nzima sasa hakuna kingine, kiba uwa unawasumbua akikaa kimya Mnateseka akikiwasha mnateseka,. Uzi wako hauna mashiko umeandika kimihemko kimichambo na kiwivu wa upande wa pili,


Ni wakati wa kiba huu kutrend tulizeni mishono ndo maana mnaona hata uko kwa mjomba enu chibu wamekaa kimya wanajua wakikurupuka wataaibika
So alikiba ndo mtu wa kwanza kukaa kweny trend kwa week nzima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So alikiba ndo mtu wa kwanza kukaa kweny trend kwa week nzima

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijasema ndo mtu wa kwanza soma uelewe,.

Kinachowauma ni kiba kutrend kwa wiki nzima walitegemea Zuchu angemzima lakini madogo waliotoka Kings Music wamemzima Zuchu, heshimuni na tambueni nguvu ya Kiba jamaa ana himaya yake ana mashabiki wake, Like Simba na Yanga Uwezi wabadilisha mtu,.
 
Loud and clear.
Mjuba hujionaga yeye ako na IQ kubwa sana, unaeza dhani yeye ni watu moja ya watu wakubwa waliofanikiwa duniani. Sema tu ni ID fake mwenzetu ingekua real ningejifunza kwake ni kwa kiasi gani ameweza kutransform IQ yake into money.
Ila kwa bahati mbaya ukute ni mtu fulani kapanga geto tabata alafu anakuja kudharau watu wana IQ ndogo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom