Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

Yaani alivyoanza sasa[emoji119][emoji119][emoji119]
Haki hizi id fake zinatusaidia sana. Nimekumbuka enzi za shule na msemo wa "msuli tembo, matokeo sisimizi"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dada zoe unenishinda tabia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio unaowafanya mashabiki wote wa kiba waonekane mataira
 
Wewe kidogo unaandikaga point ila yule robinho sijui Nani ndo anawaharibia anawafanya muonekane mashabiki wote wa kiba Ni mataira
 
Ook hapo nimekupat mzee sema mashabik wa kiba wanasemag kiba hanaga mambo ya kiki ila hii a sashv naon kiba anatudhiirisha kwamb mzik unaitak kiki
Sent using Jamii Forums mobile app
 
We nawe unajikutaga nani sijui[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakuruhusu leo utoe yote yaliyo kifuani kwako kuhusu mimi! Kwa usalama wa moyo wako usije pata shambulio au Cardiac arrest maana sitaacha kuandika mawazo yangu
 
Nakuruhusu leo utoe yote yaliyo kifuani kwako kuhusu mimi! Kwa usalama wa moyo wako usije pata shambulio au Cardiac arrest maana sitaacha kuandika mawazo yangu

Anayo mengi ya moyoni lol
 
Hahahahahahahahah
 
Sio yy peke yake. Wapo wengi wanatamani kunimwagia povu basi tu wanakosa nafasi kwakua hua sito nafasi ya mtu kuni attack. Ila mioyo yao inawaka moto ajili yangu. The useless,Unworthy,Unwanted..


kuna watu hawajawahi ku experience upendo/love walivyokua wanakua,hivyo they are malicious and attack anyone for no reason....mtu akikutukana yes una sababu ya kumrudishia bali unakuja huko na kumkejeli mwenzio bila sababu..sio bure hata huko mtaani utakua na kisirani..gubu, Miss Buza we!lol
 
Nimepoteza mda kusoma upuuzi wako shit 😕😕
 
Penye ukweli sema ukweli sio kwasababu shabiki yako umfichie makucha

Kwenye swala la ubunifu jamaa hamna kitu, na hii karibia tasnia nzima ya bongo fleva huwa hawana creativity

Yani msanii akishakua msanii anataka aplay kila kitengo, yani kuanzia utunzi wa nyimbo hadi director bado anataka awe yeye.

Hapo ndio unawakuta wamekua inspired na kazi za wenzake ambazo zimefanywa vizuri kiasi cha yeye kutamani hicho kitu angekifanya yeye. Hana management ambayo inaweza kufanya kitu bora zaidi ya kile na ndio maana anaishia kuiga idea nzima ya kile alichokipenda kutoka kwa mtu mwingine



It's Scars
 
Mkuu umemaliza kila kitu, huyu mleta uzi hasipokuelewa basi nae atakuwa na IQ ndogo zaidi hapa duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…