Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

Kwa hiyo management zao mbaya kisa wamerudia wamerudia video za watu [emoji3][emoji3][emoji16][emoji38],tunatofautiana mimi management naipima kwa kuwa na uwezo wa kupush nyimbo za msanii zifike mbali na kufanya vizuri ktk nchi mbalimbali kupitia music platforms na kupata show nyingi na kubwa inchi mbalimbali.

Harmonize mfano wa watu waliokuwa inpired na Mondi,alafu kuhusu video hamna jipya chini ya jua,video kibao idea zake zinarudiwa katizame Avant ft Nicole,TI ft Keri Hilson,Lulu Diva ft Blue zote idea zinafanana.

"Alianza diamond kwenye zilipendwa kuiga video idea ya migos walk it like talk it, saizi naona nao sauti solo wameiga idea ya video hiyo hiyo kwenye wimbo wao mpya"
View attachment 1421434

View attachment 1421435


We jamaa mziki hujui na si mfuatiliaji na unapayuka tu video ya Zilipendwa imetoka 2017 ,video ya Migos imetoka 2018 sasa nani kaiga video ya mwenzie au nani kamwiispire mwenzio?Huoni hapo kama Diamond kawainspire Migos.

Naona umeamua kubisha ila tatizo huna reference.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usichokijua ni kwamba kilichorekodiwa kimesadifu maudhui ya album nzima "culture"


Album imetoka mwanzoni mwa 2017 na hiyo nyimbo imetolewa 2017. Idea ya video ilianza kusukwa na watu wawili daps na Quavo katika mwaka huo huo.

Ambapo walipanga video i-represent mziki wa mika ya 70s na dance program ilichukuliwa ya soul training pamoja na jamie foxx na hawa ndio walio host fictional show inayoitwa "culture ride". Old dance moves zilibuniwa na watu kama yacht ikiwemo "salsa" ili ku-represent mazingira ya miaka hiyo ya sabini.


mpaka hapa concept nzima ya idea ya hiyo video ilishakua imekamilika na kujulikana labda mange'ng'e tu waliokua blind minded wanaweza wasijue.

Video imekuja kuachiwa "official" mwezi wa tatu mwaka 2018 na hiyo ni kutokana na kesi ambayo walikua wanakabiliana nayo huko nyuma. It was plagiarism scandal ambapo M.O.S alikua akiwatuhumu kua wamechukua idea yake kwenye wimbo aliouachia 2007 "walk it like i talk it" na ndio maana video ili delay kuachiwa "official"

Nakupa mfano mmoja, movie ya ip man 4 finale imeachiwa official 25 desemba 2019. Lakini kabla ya hapo kuna watu tumeicheki hiyo movie vizuri

Kwaiyo akijitokeza mtu kusema movie ya ip man imeachiwa tarehe 25 mwaka jana "official" sitampinga ila akiniambia kua kabla ya tarehe hiyo movie hiyo haikuwepo nitampinga.

Mshazoea video zenu huku zinafanywa wiki mbili, yatatu unaikuta iko youtube mnadhani wote wanaenda na slogan hiyo.


It's Scars
 
Wewe kidogo unaandikaga point ila y
ule robinho sijui Nani ndo anawaharibia anawafanya muonekane mashabikiwote wa kiba Ni mataira
Halafu ni kanafki haka karobinyo ingia kwenye Uzi ule wa Diva amsifia Alikiba ule ambao Jana umefukuliwa kaburi content yake ni diva kumsifia Alikiba kimapenzi enzi hizo zinaiva utaona comment ya robinyo akimsifia diva halafu nenda kwenye Uzi wa urafiki wa diva na Alikiba umekufa angalia robidinyo alivyomponda diva..unaweza kuscreenshot hizo comment kwa matumizi ya baadae
 
Usichokijua ni kwamba kilichorekodiwa kimesadifu maudhui ya album nzima "culture"


Album imetoka mwanzoni mwa 2017 na hiyo nyimbo imetolewa 2017. Idea ya video ilianza kusukwa na watu wawili daps na Quavo katika mwaka huo huo.

Ambapo walipanga video i-represent mziki wa mika ya 70s na dance program ilichukuliwa ya soul training pamoja na jamie foxx na hawa ndio walio host fictional show inayoitwa "culture ride". Old dance moves zilibuniwa na watu kama yacht ikiwemo "salsa" ili ku-represent mazingira ya miaka hiyo ya sabini.


mpaka hapa concept nzima ya idea ya hiyo video ilishakua imekamilika na kujulikana labda mange'ng'e tu waliokua blind minded wanaweza wasijue.

Video imekuja kuachiwa "official" mwezi wa tatu mwaka 2018 na hiyo ni kutokana na kesi ambayo walikua wanakabiliana nayo huko nyuma. It was plagiarism scandal ambapo M.O.S alikua akiwatuhumu kua wamechukua idea yake kwenye wimbo aliouachia 2007 "walk it like i talk it" na ndio maana video ili delay kuachiwa "official"

Nakupa mfano mmoja, movie ya ip man 4 finale imeachiwa official 25 desemba 2019. Lakini kabla ya hapo kuna watu tumeicheki hiyo movie vizuri

Kwaiyo akijitokeza mtu kusema movie ya ip man imeachiwa tarehe 25 mwaka jana "official" sitampinga ila akiniambia kua kabla ya tarehe hiyo movie hiyo haikuwepo nitampinga.

Mshazoea video zenu huku zinafanywa wiki mbili, yatatu unaikuta iko youtube mnadhani wote wanaenda na slogan hiyo.


It's Scars
Kwa hiyo Diamond alikuwa kwenye kamati iliyokuwa ikiandaa video ya Migos?Wewe vipi........na reference zako za kuunga unga.
😀😀😀😀

Au ndio na ww ushakuwa mtumwa wa wazungu kwamba hawakopi?

Ila kwa mtizamo wako inawezekana basi Professor Jay alikuwa ktk kamati iliyokuwa ikiandaa nyimbo ya Buster Rythmes Make it Clap ,manake Piga makofi ya Prof Jay ndio iliyokuwa ya kwanza kutoka,ikafuatia Make it clap ya Buster.


WEWE KUBALI HUNA REFERENCE UNAZUNGUKA KAMA DAWA YA MBU YA KUCHOMA.
 
Kwanini..?
ulipoanza tu kusema alikiba amefeli kila kitu mpaka kwenye ndoa.
then kwa Nassibu unasema tuachane na madhaifu yake, tuangalie positive things kuhusu yeye...!
sasa kwa nini kwa Nassibu tuangalie positive things, ila kwa Ali tuangalie vitu negative mpaka ndoa yake Wewe inakuhusu nini?

Unafatilia mziki wake au ndoa yake?
kwanzia hapo umefeli na kuoneaha chuki.

narudia tena.
huna akili...
 
Kwa hiyo Diamond alikuwa kwenye kamati iliyokuwa ikiandaa video ya Migos?Wewe vipi........na reference zako za kuunga unga.
😀😀😀😀

Au ndio na ww ushakuwa mtumwa wa wazungu kwamba hawakopi?

Ila kwa mtizamo wako inawezekana basi Professor Jay alikuwa ktk kamati iliyokuwa ikiandaa nyimbo ya Buster Rythmes Make it Clap ,manake Piga makofi ya Prof Jay ndio iliyokuwa ya kwanza kutoka,ikafuatia Make it clap ya Buster.


WEWE KUBALI HUNA REFERENCE UNAZUNGUKA KAMA DAWA YA MBU YA KUCHOMA.
Kusoma na kuelewa kilichoandikwa ni tatizo ambalo wengi mnalo hivyo sikushangai. nilijua tatizo hili linaweza kujitokeza na ndio maana nikaweka mfano ili nikutoe kwenye zone hiyo, lakini pamoja na kutolea mfano wa movie ya ip man lakin bado imekua ngumu

Unajuaje kwamba hujapewa references na sio kwamba umepewa ila huwezi kuzielewa?

Unajuaje hii ni references na hii siyo?
 
Ngoja nikupe sentensi nzima,nilikua nimeandika.. '' Kwani Alikiba ana nini mpaka aatract watu wenye IQ ndogo??'' wala sio matusi sijui kwa nini wameifuta

Na wewe unakubali kwamba Ali Kiba ame attract watu wenye IQ ndogo?
 
Kusoma na kuelewa kilichoandikwa ni tatizo ambalo wengi mnalo hivyo sikushangai. nilijua tatizo hili linaweza kujitokeza na ndio maana nikaweka mfano ili nikutoe kwenye zone hiyo, lakini pamoja na kutolea mfano wa movie ya ip man lakin bado imekua ngumu

Unajuaje kwamba hujapewa references na sio kwamba umepewa ila huwezi kuzielewa?

Unajuaje hii ni references na hii siyo?
Yaani wewe kwa umasikini wako wa mawazo unaamini waafrica sio creative kabisa.

Nakuonea huruma kwani huo utumwa mbaya sana.
 
Usichokijua ni kwamba kilichorekodi
wa kimesadifu maudhui ya album nzima "culture"



Album imetoka mwanzoni mwa 2017 na
hiyo nyimbo imetolewa 2017. Idea ya video ilianza kusukwa na watu wawili
daps na Quavo katika mwaka huo huo



Ambapo walipanga video i-represent
mziki wa mika ya 70s na dance program
ilichukuliwa ya soul training pamoja na jamie foxx na hawa ndio walio host
fictional show inayoitwa "culture ride".
Old dance moves zilibuniwa na watu
kama yacht ikiwemo "salsa" ili ku-
represent mazingira ya miaka hiyo ya
sabini.



mpaka hapa concept nzima ya idea ya
hiyo video ilishakua imekamilika na
kujulikana labda mange'ng'e tu waliokua
blind minded wanaweza wasijue.













Video imekuja kuachiwa "official" mwezi wa tatu mwaka 2018 na hiyo ni
kutokana na kesi ambayo walikua
wanakabiliana nayo huko nyuma. It was
plagiarism scandal ambapo M.O.S
alikua akiwatuhumu kua wamechukuaidea yake kwenye wimbo
aliouachia 2007 "walk it like i talk it" na
ndio maana video ili delay kuachiwa
"official"


Nakupa mfano mmoja, movie ya ip man
4 finale imeachiwa official 25 desemba 2019. Lakini kabla ya hapo kuna watu
tumeicheki hiyo movie vizuri

Kwaiyo akijitokeza mtu kusema movie
ya ip man imeachiwa tarehe 25 mwaka
jana "official" sitampinga ila akiniambia kua kabla ya tarehe hiyo movie hiyo
haikuwepo nitampinga.

Mshazoea video zenu huku zinafanywa
wiki mbili, yatatu unaikuta iko youtube

mnadhani wote wanaenda na slogan hiyo



It's
Scars


Kwahyo kama video ilikuwepo kitambo lakini ikaja kuachiwa official 2018 Diamond ana access gani ya kupata hiyo video early in 2017 mpaka akacopy idea zake!?...kwamba Diamond ana connection na DAPS au? au tuseme labda Diamond ana watu wake Pale quality control music wamemfanyia connection ya kuiona video before haijatoka??..halafu wewe umeleta case nyingine kabisa sana ya movie hata mimi movie nyingine nimeziona before hazijazinduliwa rasmi ni nyingi sana zimetokea huwa zipo kwenye platform mbalimbali kabla hata ya kuzinduliwa hizi kesi ni tofauti kabisa na suala la video za muziki..after all idea pia ya migos ilikuwepo kwenye wimbo wa kibongo inaitwa TINA msanii nimemsahau someone P sema ni featuring Juma Nature..je tuseme napo migos wameiga idea ya huyo jamaa!?..hakuna jipya chini ya jua hapo bado hujapangua point ya jamaa kwamba diamond hajaiga umejitetea bure tu
 
Na wewe unakubali kwamba Ali Kiba ame attract watu wenye IQ ndogo?

niliuliza Kwanini mtoa mada anasema mashabiki wa Alikiba wana IQ ndogo,in other words nilikua nasema ni impossible kuwa na watu wenye IQ ndogo peke yake...Posts zimefutwa..kulikua na maneno humu..balaa...
 
Back
Top Bottom