Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

Uwezo wa kujenga hoja wa mashabiki wa Ali Kiba unasikitisha na kuhuzunisha

Hawa wasafi kweli wana nguvu za usiku kabisa, uzi mzima huu ulitakiwa ufutwe😁😁😁sio wanachagua post, watu tunaambiwa tuna zero IQ kwa kumsupport King mwenyewe 😃😃 halafu uzi bado unaishi, imagine!
Ngoja nikupe sentensi nzima,nilikua nimeandika.. '' Kwani Alikiba ana nini mpaka aatract watu wenye IQ ndogo??'' wala sio matusi sijui kwa nini wameifuta
 
Ila ile ya jamaa hapendi show off ndio inayotrend hadi kesho
 
Kumshabikia msanii nayo inahitaji IQ hahaha kwa kweli nakubali tu nina IQ kiduchu lakini siwezi kuacha kupenda a good music kutoka kwa Le King himself,

Wewe unayesema Alikiba kafeli kila kitu kuanzia Ndoa, Biashara na Muziki hahaha
Mwenzio ana mke, watoto, ni mtu maarufu popote akitokeza watu watajua Ali is there haijalishi ni shabiki wake au hater wake, ameshatoka nje ya Tz, ana ishi Daaaar (lol), ana sukuma ndinga, ana nyumba ya kuishi, anafahamiana na watu maarufu,

Jitafakari wewe mwenye IQ kubwa, una kipi??
 
Kumshabikia msanii nayo inahitaji IQ hahaha kwa kweli nakubali tu nina IQ kiduchu lakini siwezi kuacha kupenda a good music kutoka kwa Le King himself,

Wewe unayesema Alikiba kafeli kila kitu kuanzia Ndoa, Biashara na Muziki hahaha
Mwenzio ana mke, watoto, ni mtu maarufu popote akitokeza watu watajua Ali is there haijalishi ni shabiki wake au hater wake, ameshatoka nje ta Tz, ana ishi Daaaar (lol), ana sukuma ndinga, ana nyumba ya kuishi, anafahamiana na watu maarufu,

Jitafakari wewe mwenye IQ kubwa, una kipi??
Anamiliki mtumbwi wa kuvulia migebuka huko kwao kigoma na smartphone
 
[QUOTE="Scars, post: 35014102, member: 427454"


Mimi ni music expert na nina diploma ya mambo hayo naelewa kila kitu kama hufahamu...suala hapa sio kuongelea kama unavyojitetea wewe....suala ni kwamba Diamond alipata wapi hiyo idea ya migos??! ana connection gani ya kuipata hiyo idea iliyokuwepo before official song released!? na nikakupa swali kuna wimbo hapa Bongo unaitwa Tina ulitoka 2004 una idea zinazofanana na zilioendwa na walk like talk it..je napo kina Migos wameiba idea huko? na nikamaliza hakunakitu kigeni dunian mzee..unajitahidi kuitetea hoja yako lakini ilishapanguliwa hapo juu na kina Jose kwamba zilipendwa ndio ilianza kutoka kabla ya walk it like talk it usitake kulazimisha ionekane diamond amecopy idea kwa kung'ang'ania kusema idea ya migos eti ilikuwepo kabla..je kama ilikuwepo diamond ana connection gani mpaka kaipata hii idea akatoa official song before migos? hiki swali mbona unalikwepa?

Una diploma na bado hujui effect ya dunia kijiji katika ulimwengu huu wa tecnologia?

Yani katika ulimwengu wenye tecknolojia bado diploma yako inataka vigezo vya connection kutoka migos ili kujua kua jamaa kakopi?


Nikweli ni wachache sana wenye kifua cha kusema baba yangu ni mwizi, wengi wao ni waoga kwasababu ndio mzazi wake. Lakini haiondoi maana kua sio mwizi

Kama Hakuna jipya chini ya jua, basi hili neno la ubunifu lisingekuwepo

Yani kauli hiyo inaonesha umekubali kua jamaa kaiba ila ndo unamsitiri kua hakuna jipya

Na hiyo sijui kwanini unaitumia kama dhana ya kuhalalisha wizi anaofanya jamaa yako, kaishapita dirishani mara kibao ni nadra sana kufanya video yenye ubunifu wa kipekee bila kuiga mahali



It's Scars
 
Katika kitu ambacho Diamond kawateka misukule wake ni kuwaaminisha anatoka maisha duni kabisa.

Anyway, Kati ya vitu nilivyofanikiwa kuacha kutumia nguvu ni kubishana na Misukule ( Waumini/Waabudu Vitu/Watu /Lialia )
 
Katika kitu ambacho Diamond kawateka misukule wake ni kuwaaminisha anatoka maisha duni kabisa.

Anyway, Kati ya vitu nilivyofanikiwa kuacha kutumia nguvu ni kubishana na Misukule ( Waumini/Waabudu Vitu/Watu /Lialia )

Mkuu mbona jamaa Anasema katoka tandale? Kwenye Maisha Yasioeleweka?
Au Kuna stori nyingine mkuu?
 
Mkuu mbona jamaa Anasema katoka tandale? Kwenye Maisha Yasioeleweka?
Au Kuna stori nyingine mkuu?
Bbaba yake ana nyumba nzuri tu Magomeni.

Alikuwa na nyumba mzuri Kariakoo akauza ( Kala bata balaa wakati huo ndio kawatelekeza Diamond na mama yake )

Hata huko Madale wana nyumba, hawakuwa wamepanga.

You can easily tell from the photos kwamba hawa watu hawkuwa na maisha magumu kwa kiasi wanachojaribu kuaminisha watu ( labda kama huyajui maisha magumu )

1.
1587150911833.png



2.
1587150972022.png
 
Bbaba yake ana nyumba nzuri tu Magomeni.

Alikuwa na nyumba mzuri Kariakoo akauza ( Kala bata balaa wakati huo ndio kawatelekeza Diamond na mama yake )

Hata huko Madale wana nyumba, hawakuwa wamepanga.

You can easily tell from the photos kwamba hawa watu hawkuwa na maisha magumu kwa kiasi wanachojaribu kuaminisha watu ( labda kama huyajui maisha magumu )

1. View attachment 1422102


2. View attachment 1422104

Aisee mkuu umenifungua macho hapa kwakweli.
 
Mimi ni mshabiki halisi wa CEO na mwanamuziki Diamond platinumz, nimejitahidi sana kumantain principle hiyo niliyoieleza hapo juu kwa msanii huyu ila nimeshindwa maana anapendwa na watu wengi sana ila tofauti na watu wengine wengi mimi na wengine wachache ninamkubali zaidi mtu huyu kutokana na “haso” zake zaidi na jinsi anavyojitahidi kutoa ajira kwa vijana wenzake either directly or inderictly. Lakini katika hali ya ajabu kuna watu wachache hawaoni yote hayo wao humchukia kwa kila zuri au baya atendalo, inashangaza!

The guy ndio definition ya a successful person kaweza kumhakikishia bilgert ule msemo wake kua ukizaliwa maskini sio kosa lako kosa ni kufa maskini, from zero to hero. Kila kitu kwakwe ni fursa adimu ya kuendelea kubaki juu na kujiingizia kipato, anajua kujibrand na kuendesha biashara ya muziki huku akifanya muziki. Kwa mtu anayejitambua diamond ni darasa tosha sana kwake, huna haja ya kusikiliza motivation speaker D ni darasa kamili ukifuatilia historia yake basi tu vile watanzania roho za ubinafsi na chuki juu ya mafanikio ya wenzetu hatutaki ku-Admit kua D kafanya kweli vile wengi tunatamani kufanya, so ili kujiilizisha roho zetu tunamchukia na kwenda kumshabikia feliaz mwenzetu Alikiba ili tuwe na amani moyoni.

Alikiba kafeli kila kitu kuanzia ndoa, biashara ahdi muziki wake as career. D anamadhaiu yake pia ila muacheni na madhaifu yake tushabikie vile vitu positive kama nifanyavyo mimi, hawezi kua mwanadamu mkamilifu kama hawezi kua na madhaifu. Ili uwe kamili inabidi uwe na madhaifu kadhaa kama hayo aliyonayo D, Tuchukue yale yaliyo positive yenye kuigwa mambo negative tumuachie mwenyewe.

Samahani kwa hili lakini kuna watu wanaoshabikia au kuamini katika vitu Fulani nimekua nikiangalia uwezo wa ujengaji wao wa hoja na uelewa mpana wa mambo bila kufungwa ndani ya box ni mdogo mno. Watu hao ni wanaomuamini nabii mke,watu wanaomuamini Yule mjumbe wa mwisho wa Mungu na mashabiki wa Alikiba watu hawa wanasikitisha mno. Mara nyingi hua nasema kua kuna vitu ili kuvifanya au kuviamini inabidi uwe na kiwango Fulani cha ujinga kichwani basi moja watu hao ndio mashabiki wa alikiba wakiongozwa na alikiba.

Hawa mashabiki karibia asilimia 80% vichwa vyao vipo kama nazi, unajua nazi ili upate yaliyomo ndani yake inabidi uipasue, basi ndivyo ilivyo kwa mashabiki wa alikiba ili aelewe na kufikiria nje ya boksi mpaka umpasue kichwa chake…Hawa watu ni Strong Closed mind haswa hawawezi kufikiri mbali ya kile wanachokiamini kua “alikiba ni msanii mkubwa na anasauti nzuri alishawahi kuimba na R Kelly”. Hua hawaoni zuri lolote la Diamond bali mabaya tu na hua hawaoni baya lolote la Alikiba, ukiwauliza sababu ya kumchukia Mondi utasikia eti anaimba matusi,nyimbo zake anakopi,haimbi za kuelimisha nk nk.

Ukiwaambia huyo asiyekopi wala kuimba matusi mbona hamshindi wanasema eti D ni freemason, anatungiwa nyimbo na freemason wengine huenda mbali zaidi na kusema kua d hua anafanya mapenzi na mama yake ndio maana anaendelea kua maarufu. Ukiwauliza kwani D ndio msanii freemason pekee wanasema yeye anacheo kikubwa kuliko. Inshort kila anayemchukia D huwezi kuta anamshabikia hata mr blue au jux lazima awe anamsabikia Alikiba.

Mashabiki wa Kiba acheni kuwa mashabiki lialia au mashabiki maandazi, kueni positive,fungueni bongo zenu muwe mnawaza nje box usikariri kitu kimoja kama Computer inavyojua 0 na 1 pekee. Mnajiabisha na kumuaibisha mnaemshabikia mnazidi kutuaminisha kua Anashabikiwa na mambumbumbu. Binafsi hainiingii akilini kua kipindi ulipokua mtoto ulikua na kiburi, mama yako unamtukana, gomvi, matusi hayakauki mdomoni hadi mama yako akanyoosha mikono na kuacha dunia ikufunze halafu leo uje usubirie Alikiba aimbe akufundishe tabia kwa kuimba vitu vya adabu, Aisee yaani mama yako kakushinda kukunyoosha tabia halafu leo uje umchukie diamond kua ameshindwa kuimba nyimbo za heshima ili unyoke tabia. Huo ni utahira na upumbavu kabisa. Kama ulishindikana kwa mama yako usitegemee kunyooshwa tabia na Diamond ua Alikiba kwa kisingizio eti wao ni kioo cha jamaii.

Wasanii wote wapo ajili ya kutafuta pesa waendeshe familia zao hata huyo alikiba mnaona anaheshima haimbii kwa ajii ya kutaka pesa ni kwakua kashindwa kuugeuza mziki wake ukampatia pesa anazozihitaji. Alikiba anazihitaji sana pesa kutoka kwenye muziki basi tu anashindwa afanyyeje ili aweze kuzipata maana hajui biashara wala kuhendo mashabiki wake. Siku akijishusha akaenda kwa D kupigwa msasa jinsi ya kupiga pesa kwa muziki, kwa kipaji kile alichonacho atapiga hela sana. Kiburi kinamponza anakufa kwa kinyongo na chuki.

Guys amkeni, achene kua negative.
Kiba is a failure hayuko serious na business...leo kwenye kipindi cha homa sijui TVE Kaulizwa kwanini wasanii chini ya lebo yake hawapi mikataba akasema wapo chuoni...akaulizwa kwa hiyo wanalipa ada akasema hapana wanapata full sponsorship.....sijawahi sikia duniani lebo ya namna hii.....Nafikiri hana management inayojitambua au ni mjuaji sana......au lebo yake inaendeshwa mtindo wa Madras?......Kondeboy ameshaanza kumuacha na atamuacha mbali sana huyu mfalume wenu....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti Kings Music ni chuo na siyo lebo..alisema king kiba...duh
Sijasema ndo mtu wa kwanza soma uelewe,.

Kinachowauma ni kiba kutrend kwa wiki nzima walitegemea Zuchu angemzima lakini madogo waliotoka Kings Music wamemzima Zuchu, heshimuni na tambueni nguvu ya Kiba jamaa ana himaya yake ana mashabiki wake, Like Simba na Yanga Uwezi wabadilisha mtu,.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu mwenye. IQ ndogo uwezi kumfahamu kupitia mitandao labda ungekuwa unaishi naye kwako.
 
Kiba is a failure hayuko serious na business...leo kwenye kipindi cha homa sijui TVE Kaulizwa kwanini wasanii chini ya lebo yake hawapi mikataba akasema wapo chuoni...akaulizwa kwa hiyo wanalipa ada akasema hapana wanapata full sponsorship.....sijawahi sikia duniani lebo ya namna hii.....Nafikiri hana management inayojitambua au ni mjuaji sana......au lebo yake inaendeshwa mtindo wa Madras?......Kondeboy ameshaanza kumuacha na atamuacha mbali sana huyu mfalume wenu....

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe ni mjinga jamaa yangu,sema asante.

unaelewa maana ya hiyo kauli!!!!leo hii mond akikwambia anawasaidia wasanii walioko chini ya leble yake utakata mauno na kupiga makofi sababu hupindui.meanwhile yeye malengo yake ni biashara tu na si vinginevyo,ndio maana akamchapa harmo 500mln.

leo kiba ana malengo yake,roho yake,sababu zake za kufanya hayo unasema amefeli,sijui alikwambia malengo ya kuwakusanya hao madogo au umekalili kwa mpenzi wako!!!.acheni kupangia watu namna ya kuishi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom