Uwezo wa kuongea kiingereza utumike kuwakata wabunge na madiwani

Uwezo wa kuongea kiingereza utumike kuwakata wabunge na madiwani

wewe ambaye sio mtumwa wa fikra umekisaidia vip hicho kiswahili kupiga hatua. Kumbuka serikali ya ccm ndo imeongoza hii nchi toka uhuru sasa ilikuaje wakashindwa kukifanya kiswahili tu ndo iwe lugha yetu kukawepo na kingereza.Hiyo mifano yahizo nchi ukizotaja wao wanatumia lugha zao tu kwenye kila kitu kingereza kinafundishwa kama somo tu darasani ila hapa bongo kingereza ni lugha inayotumika kwa matumizi yakawaida hadi yakiserikali. kwahiyo acha kutoa utetezi bandia.
Si uhamie uingereza ili uwe na kiingereza, nyie ndo watumwa wa fikra, miaka yote tunasema kiswahilinkitumike kuwafundisha wanafunzi lakini nyie na kiingereza tu, hicho kiingereza si ukisome kwa muda wake ukikitaka?

Mbona kuna waRusi hawajui kiingereza na wafaransa pia waeshia lakini wameendelea,
Nyie masikini wa africa ndo mnashebedua viuno eti kiingereza,
 
Warusi wanaenda angani hawatumii kiingereza, wachina hivyohivyo, wajapani wako juu wanatumia kijapani, wakorea kusini wapo hivyo, wajerumani wameendelea kwa kutumia lugha yao kiingere ni lugha ya biashara kuna watu wanatengeneza local incubator hawajui kiingereza hao madiwani wanaongoza wananchi wengi hawajui kiingereza
 
Serikali ijayo iweke shule za maalum kila kata kwa watoto wanaopata alama za juu. Shule hizi zianze kuongea Kiingereza kama lugha uingiapo shuleni. Na kuwe na maabara za sayansi kuanzia sekondari.

Hapana; hii haifai kuwa katika mfumo wa elimu, kiingereza ni lugha; haina ishara ya uwezo kifikra, ni lugha tu kama zilivyo nyingine
 
Kama kuna uwezekano huo ufanyike, wazo langu liliangalia hali halisi ya uchumi ndiyo nikaona tuanze na the top layer of cream.

Kujifunza lugha hususan kingereza ni nzuri; ila uwezo wa ku wasilisha ujuzi kwa lugha fulani ni jambo lingine, na ni entity ndogo kwenye ujuzi
 
Kujifunza lugha hususan kingereza ni nzuri; ila uwezo wa ku wasilisha ujuzi kwa lugha fulani ni jambo lingine, na ni entity ndogo kwenye ujuzi
Kama Waganda na Wakenya wameweza kwnini sisi tushindwe? Kawajenga watoto na lugha mbili tangu awali inasaidia kujenga kujiamini katika lugha.

Idadi ya Watanzania katika ajira za miradi ya kimataifa si kubwa kulinganisha na Kenya na Uganda. Kuna nafasi za kazi za UN zinaweka Upendo Leo kwa Watanzania lakini hazijazwi zinaishia kwenda Kenya na Uganda.

Hakuna njia moja tu ya kuinua pato la taifa, uwezo wa kuzungumza na kuandika lugha zaidi ya Kiswahili itasaidia watoto wetu kupata ajira katika nchi za nje na wakatumawpesa za kigeni nyumbani.
 
Kama Waganda na Wakenya wameweza kwnini sisi tushindwe? Kawajenga watoto na lugha mbili tangu awali inasaidia kujenga kujiamini katika lugha.

Idadi ya Watanzania katika ajira za miradi ya kimataifa si kubwa kulinganisha na Kenya na Uganda. Kuna nafasi za kazi za UN zinaweka Upendo Leo kwa Watanzania lakini hazijazwi zinaishia kwenda Kenya na Uganda.

Hakuna njia moja tu ya kuinua pato la taifa, uwezo wa kuzungumza na kuandika lugha zaidi ya Kiswahili itasaidia watoto wetu kupata ajira katika nchi za nje na wakatumawpesa za kigeni nyumbani.

[emoji1] kwanza nasikitika kunijuza kwamba ajira za UN hotolewa kwa kigezo cha kuzungumza lugha;

Pili: Uganda na Kenya zimejengwa kimakabila, kwa mujibu wa historia, lugha iliyowaleta pamoja ni kiingereza, katika kufufua Pidgins za lugha zao za nyumbani ikatokea lugha moja yenye wazungumzaji wengi mf. Hapa nyumbani, Kisukuma.

Ila; kujifunza lugha mbili inawezekana kabisa bila kugawa wanafunzi, naamini kabisa, mikakati ipo mingi ikiwemo na hiyo exclusionary approches, ila haifai. [emoji4]
 
Si uhamie uingereza ili uwe na kiingereza, nyie ndo watumwa wa fikra, miaka yote tunasema kiswahilinkitumike kuwafundisha wanafunzi lakini nyie na kiingereza tu, hicho kiingereza si ukisome kwa muda wake ukikitaka?

Mbona kuna waRusi hawajui kiingereza na wafaransa pia waeshia lakini wameendelea,
Nyie masikini wa africa ndo mnashebedua viuno eti kiingereza,
Nenda kawaambie wazee wa kuajiri kwenye usahili watumie kiswahili
 
Acha ujinga si lazima wananchi wote wajue, unayoyasema ninkma nilivyosema ni lugha ya kujifunza lakini sio kugha ya taifa lao au ya kufundishia.
Hao maraisi kujua kiingereza ni somo la lugha tu, kuna mainginia wachina na wasomi wengi lakini hawajui kiingereza, kwa hiyo usikariri na wanaendesha uchumi wa nchi zao.
Acha kujihurumia, ishi ktk uhalisia sio udhanaishi. Ndo maana Watanganyika wengi watabaki wadanganyika..
 
Warusi wanaenda angani hawatumii kiingereza, wachina hivyohivyo, wajapani wako juu wanatumia kijapani, wakorea kusini wapo hivyo, wajerumani wameendelea kwa kutumia lugha yao kiingere ni lugha ya biashara kuna watu wanatengeneza local incubator hawajui kiingereza hao madiwani wanaongoza wananchi wengi hawajui kiingereza
Ukiwaambiwa hivyo watakujibu kuwa hizo nchi ulizotaja hawafundishwi kwa kutumia lugha ya kiingereza kama sisi huku ambako elimu yetu tunaipata kwa kutumia kiingereza hivyo ni lazima mtu ajue kiingereza. Ila cha kushangaza ni kwamba unakuta katika hao tu wanasemwa hawajui kiingereza unakuta walikuwa wanafanya vizuri katika masomo yao(yenye kutumia lugha ya kiingereza) na wamefaulu vizuri tu masomo yao.

Katika hizo nchi ulizotaja unakuta wapo watu wanajua kiingereza na wamesoma humo humo nchini mwao kwa lugha za mataifa yao na wengine hawajui pamoja na kuwepo somo la english. Suala la kuweza kuimudu lugha ni zaidi ya kukaa darasani.
 
But Kiingereza si kama suti ambayo mtu aweze kuacha kuvaa isiwe tatizo.
Kiingereza ni kama almasi kwenye ncha ya mtaimbo iwezayo kupenya miamba kupata madini muhimu. Hakikwepeki kwa kisingizio chochote. Kiswahili ni chetu pia...

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Mbunge na madiwani ni wawakilishi wa wanachi wote ili kuweka usawa lazma hata ambao hawajui wawekwe mfano jimbo zima kuwe hamna anaejua English nan atawawakilisha anaetakiwa kujua English n wazir
 
Serikali ijayo iweke shule za maalum kila kata kwa watoto wanaopata alama za juu. Shule hizi zianze kuongea Kiingereza kama lugha uingiapo shuleni. Na kuwe na maabara za sayansi kuanzia sekondari.
Lakini enzi zetu English ilianza kufundiswa shuleni darasa la tatu.Ukiingia Darasa la tano masomo yote ni katika English isipokuwa somo la kiswahili
Alieua English ni Mwl.Nyerere, japo masomo ya secondary schools hadi vyuoni ni English.
Hakuna utashi wa kisiasa,lakini ukisubiri hao wanasiasa watakuchelewesha wakati watoto wao wapo shule bomba ndani na nje ya nchi.
Kama kuna ka uwezo wekeza katika elimu ya watoto wako.
 
Back
Top Bottom