Thanks a lot mkuu.
Nimeshakipakua hiko tayari na BOOK IV pia. Nataka nimalize kwanza uzi wote each post then ndo niende kwa hizo BUX nizisome.
Education has no boundaries mkuu japo upo kimya kimya we are together aaaaall the way.
You are not alone. And you'll never walk alone mkuu.
Thanks again buddy.
Aisee kumbe ulimwengu mpana hivi...
There is a lot of confusion surrounding the concepts of Reincarnation and Rebirth. At first glance it seems like they are synonyms, but there is a big difference between these two concepts.
Apostle Paul very plainly rejects reincarnation in his letter to the Hebrews. (Hebrews 9:27-28). The Gnostics did believe in reincarnation, but they were squashed after the Council at Nicaea in 325 AD.
The doctrine of reincarnation, also referred to as transmigration, is taught by Hinduism, Jainism and Gnostic Christianity. It's main postulate is that there is an indestructible, eternal, personal element that travels from one life to the next. This element is called atman in the Hindu religion, jiva in the Jain faith and soul by Gnostic Christianity. Reincarnation assumes identity between the occupant of this body and, when this body dies, the occupant of the following body.
Christianity rejects reincarnation for the following reasons.
1. It is contradicted by Scripture (Heb 9:27).
2. It is contradicted by orthodox tradition in all churches.
3. It would reduce the Incarnation (referring to Christ's incarnation) to a mere appearance, the crucifixion to an accident, and Christ to one among many philosophers or avatars. It would also confuse what Christ did with what creatures do: incarnation with reincarnation.
4. It implies that God made a mistake in designing our souls to live in bodies, that we are really pure spirits in prison or angels in costume.
5. It is contradicted by psychology and common sense, for its view of souls as imprisoned in alien bodies denies the natural psychosomatic unity.
6. It entails a very low view of the body, as a prison, a punishment.
7. It usually blames sin on the body and the body's power to confuse and darken the mind. This is passing the buck from soul to body, as well as from will to mind, and a confusion of sin with ignorance.
8. The idea that we are reincarnated in order to learn lessons we failed to learn in a past earthly life is contrary to both common sense and basic educational psychology. I cannot learn something if there is no continuity of memory. I can learn from my mistakes only if I remember them. People do not usually remember these past "reincarnations."
9. The supposed evidence for reincarnation, rememberings from past lives that come out under hypnosis or "past life regression" can be explained-if they truly occur at all-as mental telepathy from other living beings, from the souls of dead humans in purgatory or hell, or from demons. The real possibility of the latter should make us extremely skittish about opening our souls to "past life regressions."
This is all I can say and thank you for tagging me.
Kule makaburini kuna roho ziko live kabisa na maisha yanaendelea kama kawa anayebisha anitafute nimpeleke picnic ya bure
Ok mkuu pamoja sana, Mi mwenyew hii mada niliidakia katikati. Hv sahiz Ndo nimeanza upya page ya kwanza. sitaki kupitwa.
Basically there is a very slight different between soul spirit n mind because they are all doing almost same things
and in addition they cannot be seen touched or modified in any way they are simply an energy
What I can say is soul can stand on its own but to have 'a mind' you must have a conscious soul in the live body
Karibu adebisi na sio mbaya kujongea nasi ili uweze kufahamu ulimwengu wa Giza na jinsi nguvu za Giza zinavyotumika kwa kuwa mi nilikabidhiwa bure na marehemu mzee wangu nami nitawafundisha bure kikubwa usiwe mwoga tu kwa Yale utakayoyaona
Thanks buddy. Welcome.
Am here still. Nime-gain baadhi ya vitu and i hope you'll gain pia.
Go through this. Welcome Again.
Mkuu mshana jr unaikumbuka hii, heh heh...
Sjacheka the way nilivyocheka kwenye post za jamaa hata skumbuki mara ya mwisho nimecheka hivi ni lini aseee.
Jamaa kaniongezea UHAI leo kiasi flani mkuu dah, NI HATARI SANA.
THAT'S WHY I LOVE THIS PLACE | JF.
Hapa sjaelewa umeniacha kidogo mkuu, mind & soul can do the same things...?, well, ni kama ipi na ipi na ipi labda kiongozi...?.
Zote zinafanya kazi moja tu ya ufahamu kwenye kila kitu katika mwili wa binadamu
Kama zinaweza fanya kazi sawa inawezekana basi mind ikafanya kazi ya soul au soul ikafanya kazi ya mind au nimeelewaje hapa...?.
Na pia kwa nini tuhitaji soul ili mind iweze kufanya kazi wakati soul inaweza ika-stand on its own bila ya kuwepo mind na soul ikaendelea ku-survive bila ya uhitaji wa mind...?.
NIPO DARASANI MKUU. THANKS.
NKUONA KM MJENZI HURU IVIIIIIIIIIIIIIII!!&Only in Africa ndipo watu wanaweza kupoteza muda namna hii.Sijaona hoja ya maana hapa kuhusu wafu.Ukisha kufa umekufa hakuna kuongea kinafsi wala chochote ,kinachobaki ni hisia zenu mliobaki tu zinazoongozwa na emotions.
Niwape mfano mmoja unaohusiana na hicho mkisemacho hasa pale kwamba marehem anaacha wosia.,mfano marehemu aache wosia kwamba akifa azikwe kijijini kwao Lindi lakini kwa bahati mbaya kafia majini akiwa safarini kwenda znz.Kutokana na mait yake kuharibuka serikal ikaamua wazikwe kabur la pamoja huko znz.,Hakuna chochote kitakacho tokea kinachohusiana na maneno /maagizo ya marehemu.
Wakati mwingine mnatakiwa mfikiria kama watu mlioko karne ya 21 na msiturudishe nyuma.Hivyo vitu vingine ni kuendekeza tu na kuendelea kufanya jamii kuwa maskini kwa fikra za zamani.
Only in Africa ambapo utaona mtu anamshika mtu kichwa na kutamka et shetani toka kisha mtu yule akaanza kurusha miguu juu.Huu ni upuuzi na umaskini wa mawazo,kwani ni waafrica tu ndiyo walio na majini?.Hii ni hatar sana.
Only in africa ndipo utakuwa watu wameacha kufanya kazi ama kupumzika na familia zao wameenda kukusanyana wakisali ,kuimba na kutoa pesa huku wakiamini kwamba wanaondolewa dhambi zao na eti wakifa wataenda mbinguni.
Na yule TiibiiJeiGwajima alidai anaweza kufufua wafu .unafiki wake uliishia pale walipokufa watoto kanisani kwake.
Mavi debe ikabidi akaeleze kilicho tokea.
Hana uwezo wa Kufufua hata Nzi. Tapeli mkubwa.
Kazi kuibia ma mbulumundu tu (kondoo)
iiiIko hivi sikuwa anakataa live bali wakati wa kumvisha kama ni koti shati au hata suruali kuna kiungo kimoja hukakamaa kwa mfano kama ni mkono haunyanyuki au haukunjiki, kama ni mguu unajipinda au unakuwa mzito kunyanyua
Hivi vitu vinafanyika kwa namna ya ajabu na ya kipekee kabisa
Vilevile kuna kukosea vifungo au zipu kujichanganya! Yani mnaanza kufunga kifungo cha kwanza vizuri kabisa mkifika mwisho aidha vimepishana au mmeruka matundu, tulishawahi kukosea vifungo Mara SABA
Ni mpaka nilipotumia elimu niliyojifunza kuongea na marehemu kwa upole na kwa kumbembeleza ndio mambo yakawa sawa, na pia ndani ya chumba husika kama yupo mtu alikuwa na ugomvi na marehemu hakuna kitakachokwenda sawa hapo mpaka yule mtu atoke
Umeongea kwa upande mmoja na uko sahihi kabisa lakini kwenye uhalisia duniani ina pande nyingihizo zote ni propaganda za uongo za shetani kutaka kuwawekea watu hofu na kupotosha ukweli.huenda yanayozungumzwa ikawa kweli lakini mambo hayo hufanywa na shetani.kumbukeni katika bustani ya eden shetani alipinga amri ya mungu kuhusu kula tunda na madhara yake kwa kusema "hakika hamtakufa" lakini ukweli ulikuja kujulikana na Adam na hawa walikufa.huyo mwovu anataka kuindeleza propaganda yake watu waamini kua hata mtu anapokufa bado anaishi jambo ambalo ni kinyume na andiko la Ezekiel 18:4 tukitambua kua sisi wote tuna dhambi tuliorithi kupitia Adam. pia hao sijui mizuka au watu waliokufa hawana uwezo Wa kufanya lolote soma mhubiri 9:5,6,10 hawana uwezo Wa kutufanya lolote. hao wapo kaburini wanasubiri ufufuo soma Yohana 5:28,29. kwa mkataa huo roho inakufa na hakuna utofauti kati ya nafsi na mwili ni kitu kimoja na vyote hufa. wanasubiri siku ya ufufuo.nasubiri maswali yenu ila naombeni hoja yangu muifikirie kwa uzito kwani inapatana na akili kabisa