Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

Kwa uelewa wangu nakataa kabisa. Ni jambo linalowezekana kwa 100% kuongea na wafu. Nasio tu kuongea nao ndotoni hata moja kwa moja kanakwamba wapo hai.


Nikusaidie kitu Kaka. Hii sio elimu tu hapana ni kipawa ambacho kinakuwa connected kiuteule, nina ushahidi wa watu na tafiti kadhaa wenye kipawa chakuongea na wafu.


Pia inaweza kuwa elimu sababu kuna mtu aliwahi kuniambia nikitaka anaweza kunipa elimu na maarifa yote juu ya kuwa connected na wafu. So Duniani kuna maarifa ya Siri sana na maarifa haya yapo kwa watu wachache sana.
Mkuu funguka zaidi,how

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Iko hivi sikuwa anakataa live bali wakati wa kumvisha kama ni koti shati au hata suruali kuna kiungo kimoja hukakamaa kwa mfano kama ni mkono haunyanyuki au haukunjiki, kama ni mguu unajipinda au unakuwa mzito kunyanyua
Hivi vitu vinafanyika kwa namna ya ajabu na ya kipekee kabisa

Vilevile kuna kukosea vifungo au zipu kujichanganya! Yani mnaanza kufunga kifungo cha kwanza vizuri kabisa mkifika mwisho aidha vimepishana au mmeruka matundu, tulishawahi kukosea vifungo Mara SABA
Ni mpaka nilipotumia elimu niliyojifunza kuongea na marehemu kwa upole na kwa kumbembeleza ndio mambo yakawa sawa, na pia ndani ya chumba husika kama yupo mtu alikuwa na ugomvi na marehemu hakuna kitakachokwenda sawa hapo mpaka yule mtu atoke
Yeah ipo hivyo, nami nimeona
 
Back
Top Bottom