Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

Roho na nafsi huwa havifi bali hubaki vikizunguka huko na huko na ndio maana kwasababu haijakamilika kuwa binadamu kamili basi huitwa mzimu/mizimu
Mizimu si majini wala vinyamkera bali ni roho za watu waliokuwa na maisha yao kama sisi
Zamani tukienda kutambika tulikuwa tunaimba hivi
Taaambaa tiase nkoba, tiombe Mungu mzimu wa Saita kagone
Yaani tughani tutupe tunguli, tumuombe Mungu MZIMU wa Saita kalale
Haya ni mambo ya kimila.mizimu ilikuwepo na iliabudiwa
Kwakwel niseme ukweli uzi umenibamba sana. Lakin nina swali chief.

Inakuwaje baba yangu kabla hajafariki nikiwa namuona ndotoni alikuwa anaongea sauti inatoka vzr,lakin tokea amefariki sasa imepita miaka 9 akinijia ndotoni hutoa ishara tu....kuna nini hapo?
Maana kuna wakat nlimuota namueleza shida yangu badala yake kuna kitu akanipa baadae akaondoka na nyingne nyingi
 
Kwakwel niseme ukweli uzi umenibamba sana. Lakin nina swali chief.

Inakuwaje baba yangu kabla hajafariki nikiwa namuona ndotoni alikuwa anaongea sauti inatoka vzr,lakin tokea amefariki sasa imepita miaka 9 akinijia ndotoni hutoa ishara tu....kuna nini hapo?
Maana kuna wakat nlimuota namueleza shida yangu badala yake kuna kitu akanipa baadae akaondoka na nyingne nyingi
Wakati akiwa hai mlikuwa na mawasiliano ya moja kwa moja kwakuwa wote mlikuwa kwenye level moja ya kibinadamu... Baada ya yeye kuondoka mmetengana kwakuwa sasa yeye ni roho tu nawe ni roho na mwili...
Mawasiliano ya ishara ni kuonesha bado ana connection na wewe kiroho, wengine huwa ni sauti hivyo usijali kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati akiwa hai mlikuwa na mawasiliano ya moja kwa moja kwakuwa wote mlikuwa kwenye level moja ya kibinadamu... Baada ya yeye kuondoka mmetengana kwakuwa sasa yeye ni roho tu nawe ni roho na mwili...
Mawasiliano ya ishara ni kuonesha bado ana connection na wewe kiroho, wengine huwa ni sauti hivyo usijali kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja chief nakubali sana
 
Dunia imekuwa kama kijiji kutokana na uwezo mkubwa aliounyesha mwanadamu wa kugundua hata ambavyo vilifikirika kwamba haviwezekani

Elimu na ufahamu kuhusu mwili wa mwanadamu kuanzia kuumbwa tumboni kuzaliwa hadi kufa umetafitiwa na kunyumbulishwa kwa mapana yake na wengi wamepata elimu ya juu kabisa PhD kwenye hili eneo, lakini wakashishindwa kitu kimoja tuu!!! Uwezo wa kumuita marehemu na kuongea naye

Zamani kabla ya dini za kigeni hazijaja Africa tulikuwa kwa kiasi fulani tuna uwezo wa kuwaita marehemu kwa njia ya matambiko na kuwaomba hili au lile, lakini ikumbukwe kwamba hawakuja live bali dalili na ishara kadha zilionyesha uwepo wao na kukubali au kukataa ombi husika

Tumekuwa tunaondokewa na wapendwa wetu na watu tunaowahitaji mno katika maisha yetu, tumekuwa na vipindi vigumu kabisa ambapo tunawahamu na kuwahitaji japo wajitokeze kwa dakika chache tu lakini haikuwezekana kabisa

Mfu ni mfu na hatuna uwezo wowote iwe wa kimwili au wa kiroho kuweza kumuita na kuongea naye lolote, hii ni kwakuwa roho inapotengana na mwili hakuna tena huyo MTU bali kunatokea vitu vitatu visivyoweza kuungana tena na kutengeneza kitu kimoja. vitu hivyo ni roho mwili na nafsi, vitatu hivi ndio vinatengeneza MTU nje ya hapo kuna 'mwili wake', 'roho yake' au 'nafsi yake'

Watu wamejaribu kutoa shuhuda nyingi za kutokewa na marehemu, hili linawezekana kwasababu baada ya kifo kuna roho huwa zinawayawaya duniani, zipo tu na hizi ndizo ambazo hugeuka mizimu mizuri au mibaya

Wakati mmoja tu marehemu anaweza kusikia sauti ya mwanadamu na kuitii ni pale tu anapoandaliwa kwa safari yake ya mwisho kaburini, hasa kwenye ishu ya kumsafirisha au kumvalisha nguo

Nikiwa mtu ambaye nilidili na miili ya marehemu kwa miaka mitatu mfululizo nilikutana mara nyingi tu na hizi hali, marehemu hataki dharau ubishi au kufokewa nguo hata iwe inamtosha Siku hiyo itakataa mpaka mumbembeleza

Tuna wajuaji wengi Siku hizi wanaojifanya wametokewa na marehemu fulani na kumpa maagizo Fulani hizi kwa asilimia 90 ni story tu kwakuwa hatujakuwa na uwezo wa kuwaita au wao kututokea tu na uchafu wote huu tulionao
M
Dunia imekuwa kama kijiji kutokana na uwezo mkubwa aliounyesha mwanadamu wa kugundua hata ambavyo vilifikirika kwamba haviwezekani

Elimu na ufahamu kuhusu mwili wa mwanadamu kuanzia kuumbwa tumboni kuzaliwa hadi kufa umetafitiwa na kunyumbulishwa kwa mapana yake na wengi wamepata elimu ya juu kabisa PhD kwenye hili eneo, lakini wakashishindwa kitu kimoja tuu!!! Uwezo wa kumuita marehemu na kuongea naye

Zamani kabla ya dini za kigeni hazijaja Africa tulikuwa kwa kiasi fulani tuna uwezo wa kuwaita marehemu kwa njia ya matambiko na kuwaomba hili au lile, lakini ikumbukwe kwamba hawakuja live bali dalili na ishara kadha zilionyesha uwepo wao na kukubali au kukataa ombi husika

Tumekuwa tunaondokewa na wapendwa wetu na watu tunaowahitaji mno katika maisha yetu, tumekuwa na vipindi vigumu kabisa ambapo tunawahamu na kuwahitaji japo wajitokeze kwa dakika chache tu lakini haikuwezekana kabisa

Mfu ni mfu na hatuna uwezo wowote iwe wa kimwili au wa kiroho kuweza kumuita na kuongea naye lolote, hii ni kwakuwa roho inapotengana na mwili hakuna tena huyo MTU bali kunatokea vitu vitatu visivyoweza kuungana tena na kutengeneza kitu kimoja. vitu hivyo ni roho mwili na nafsi, vitatu hivi ndio vinatengeneza MTU nje ya hapo kuna 'mwili wake', 'roho yake' au 'nafsi yake'

Watu wamejaribu kutoa shuhuda nyingi za kutokewa na marehemu, hili linawezekana kwasababu baada ya kifo kuna roho huwa zinawayawaya duniani, zipo tu na hizi ndizo ambazo hugeuka mizimu mizuri au mibaya

Wakati mmoja tu marehemu anaweza kusikia sauti ya mwanadamu na kuitii ni pale tu anapoandaliwa kwa safari yake ya mwisho kaburini, hasa kwenye ishu ya kumsafirisha au kumvalisha nguo

Nikiwa mtu ambaye nilidili na miili ya marehemu kwa miaka mitatu mfululizo nilikutana mara nyingi tu na hizi hali, marehemu hataki dharau ubishi au kufokewa nguo hata iwe inamtosha Siku hiyo itakataa mpaka mumbembeleza

Tuna wajuaji wengi Siku hizi wanaojifanya wametokewa na marehemu fulani na kumpa maagizo Fulani hizi kwa asilimia 90 ni story tu kwakuwa hatujakuwa na uwezo wa kuwaita au wao kututokea tu na uchafu wote huu tulionao
Kuongea na mfu?? Iv n maana ya kifo ?? Ama kweli giza limetanda asubuhi ya mapambazuko inakaribia
 
M

Kuongea na mfu?? Iv n maana ya kifo ?? Ama kweli giza limetanda asubuhi ya mapambazuko inakaribia
Kifo kipo cha aina nyingi.. Lakini kwa muktadha wa mada ni ile hali ya roho kutengana na mwili moja kwa moja!
 
Wafu unaongea nao Tena bila shida na mkajibizana vizuri tu ila inahitaji ufahamu na nguvu za rohoni
 
Wafu unaongea nao Tena bila shida na mkajibizana vizuri tu ila inahitaji ufahamu na nguvu za rohoni
Huo n umizimu kama huujui n malaika waovu wanachukua maumbo ya wafu sura zao tabia yao sauti zao na kujibu au hata kutembelea ili walimwengu waendelee kuamini kuwa MUNGU aliposema HAKIKA UTAKUFA kuwa aliongopa. Angalizo n kuwa wasije kuanza kukwambia uwapelekee vyakula kwa makaburi kwa nguvu hizo huziitazo za rohon
 
Kwanza lazima tukubaliane kuwa ndoto ni vague memories ya matukio yote ya kila siku yawe ya kuwaza kunena na kutenda lakini inapotokea marehemu kakutokea ndoroni na ujumbe fulani kwako hiyo ni ndoto ya ujumbe yenye uhalisia

Binafsi babu yangu mzaa mama aliniaga, nakumbuka ilikuwa kwenye saa nane usiku hivi nikajikuta niko nyumbani kwa babu tumekaa naye kuna kitu ananianbia

Kuamka asubuhi zikaja taarifa za kifo chake na sehemu tulipokuwa tumekaa ule usiku ndipo alipozikwa

Ndo aliye kurithisha ulozi
 
Uzi wa muda mrefu lakini umenikumbusha Mkasa wa Mfalme Sauli kuongea na Nabii Samweli. Wakati huo Samweli akiwa alishafariki miaka ya kutosha, Mambo yalivyomchachia Mfalme Sauli, alienda kwa mganga na akafanikiwa kuongea na Samweli. Hii Elimu /ujuzi ipo/upo ila nadhani inapaswa Kiwango fulani cha utakatifu.

Mada njema Sana hii Mshana Jr.
 
IKO HIVYO INAWEZEKANA KUWASILIANA NAO, KUNA BWANA MMOJA AILISHA DHIBITISHA KUONGEA NA BABA YAKE USINGIZINI AKIMUOMBA AMSAIDI KULIPA DENI KWA MTU FULANI AMBAYE MWANAE HAKUWAHI KUJUA KAMA WANA DAIANA NA MZEE WAKE, NA ALIPOKWENDA KWA HUYU MZEE ALIKIRI KWELI ALIKUA AKIMDAI. NA HII ILIKUA NATURAL TU AKIWA USINGIZINI KWENYE NJOZI TU SIO VYENGINEVYO.
SASA KWA WENGINE WANAWEZA FANYA WANAYO YAJUA, ISHU WAFU WANAONGEA INAWEZEKANA KABISA MAANA ROHO HAZIFI.
 
Roho haifi, roho haizikwi kinachoadhibiwa si mwili bali ni nafsi+roho, mwili ni boya tu la kubeba nafsi/ufahamu na uhai/roho
Reicarnation yaweza kufanyika kwa zaidi ya roho moja.Rejea tafsiri ya roho lakini vilevile waweza ishi zaidi ya reincarnation tatu kwa kulipa mabaya ya reincarnation moja

Kwenye Biblia takatifu mafundisho yanatuasa kulinda moyo kuliko kitu kingine chochote kile kwakuwa humo ndio chemchem ya uzima hutoka
Karma life
 
Only in Africa ndipo watu wanaweza kupoteza muda namna hii.Sijaona hoja ya maana hapa kuhusu wafu.Ukisha kufa umekufa hakuna kuongea kinafsi wala chochote ,kinachobaki ni hisia zenu mliobaki tu zinazoongozwa na emotions.

Niwape mfano mmoja unaohusiana na hicho mkisemacho hasa pale kwamba marehem anaacha wosia.,mfano marehemu aache wosia kwamba akifa azikwe kijijini kwao Lindi lakini kwa bahati mbaya kafia majini akiwa safarini kwenda znz.Kutokana na mait yake kuharibuka serikal ikaamua wazikwe kabur la pamoja huko znz.,Hakuna chochote kitakacho tokea kinachohusiana na maneno /maagizo ya marehemu.

Wakati mwingine mnatakiwa mfikiria kama watu mlioko karne ya 21 na msiturudishe nyuma.Hivyo vitu vingine ni kuendekeza tu na kuendelea kufanya jamii kuwa maskini kwa fikra za zamani.

Only in Africa ambapo utaona mtu anamshika mtu kichwa na kutamka et shetani toka kisha mtu yule akaanza kurusha miguu juu.Huu ni upuuzi na umaskini wa mawazo,kwani ni waafrica tu ndiyo walio na majini?.Hii ni hatar sana.

Only in africa ndipo utakuwa watu wameacha kufanya kazi ama kupumzika na familia zao wameenda kukusanyana wakisali ,kuimba na kutoa pesa huku wakiamini kwamba wanaondolewa dhambi zao na eti wakifa wataenda mbinguni.
Mifano yako haiendani na mada husika. Sio lzm upinge na kusema hovyo,kukaa kimya nao ni ustaarabu. Nani alikwambia issue za imani zina karne!?
 
Uzi wa muda mrefu lakini umenikumbusha Mkasa wa Mfalme Sauli kuongea na Nabii Samweli. Wakati huo Samweli akiwa alishafariki miaka ya kutosha, Mambo yalivyomchachia Mfalme Sauli, alienda kwa mganga na akafanikiwa kuongea na Samweli. Hii Elimu /ujuzi ipo/upo ila nadhani inapaswa Kiwango fulani cha utakatifu.

Mada njema Sana hii Mshana Jr.
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1548][emoji1548][emoji1548][emoji1548]
 
IKO HIVYO INAWEZEKANA KUWASILIANA NAO, KUNA BWANA MMOJA AILISHA DHIBITISHA KUONGEA NA BABA YAKE USINGIZINI AKIMUOMBA AMSAIDI KULIPA DENI KWA MTU FULANI AMBAYE MWANAE HAKUWAHI KUJUA KAMA WANA DAIANA NA MZEE WAKE, NA ALIPOKWENDA KWA HUYU MZEE ALIKIRI KWELI ALIKUA AKIMDAI. NA HII ILIKUA NATURAL TU AKIWA USINGIZINI KWENYE NJOZI TU SIO VYENGINEVYO.
SASA KWA WENGINE WANAWEZA FANYA WANAYO YAJUA, ISHU WAFU WANAONGEA INAWEZEKANA KABISA MAANA ROHO HAZIFI.
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Iko hivi sikuwa anakataa live bali wakati wa kumvisha kama ni koti shati au hata suruali kuna kiungo kimoja hukakamaa kwa mfano kama ni mkono haunyanyuki au haukunjiki, kama ni mguu unajipinda au unakuwa mzito kunyanyua
Hivi vitu vinafanyika kwa namna ya ajabu na ya kipekee kabisa

Vilevile kuna kukosea vifungo au zipu kujichanganya! Yani mnaanza kufunga kifungo cha kwanza vizuri kabisa mkifika mwisho aidha vimepishana au mmeruka matundu, tulishawahi kukosea vifungo Mara SABA
Ni mpaka nilipotumia elimu niliyojifunza kuongea na marehemu kwa upole na kwa kumbembeleza ndio mambo yakawa sawa, na pia ndani ya chumba husika kama yupo mtu alikuwa na ugomvi na marehemu hakuna kitakachokwenda sawa hapo mpaka yule mtu atoke
nitakuwa wa mwisho kuamini maarifa yako.
 
Dunia imekuwa kama kijiji kutokana na uwezo mkubwa aliounyesha mwanadamu wa kugundua hata ambavyo vilifikirika kwamba haviwezekani

Elimu na ufahamu kuhusu mwili wa mwanadamu kuanzia kuumbwa tumboni kuzaliwa hadi kufa umetafitiwa na kunyumbulishwa kwa mapana yake na wengi wamepata elimu ya juu kabisa PhD kwenye hili eneo, lakini wakashishindwa kitu kimoja tuu!!! Uwezo wa kumuita marehemu na kuongea naye

Zamani kabla ya dini za kigeni hazijaja Africa tulikuwa kwa kiasi fulani tuna uwezo wa kuwaita marehemu kwa njia ya matambiko na kuwaomba hili au lile, lakini ikumbukwe kwamba hawakuja live bali dalili na ishara kadha zilionyesha uwepo wao na kukubali au kukataa ombi husika

Tumekuwa tunaondokewa na wapendwa wetu na watu tunaowahitaji mno katika maisha yetu, tumekuwa na vipindi vigumu kabisa ambapo tunawahamu na kuwahitaji japo wajitokeze kwa dakika chache tu lakini haikuwezekana kabisa

Mfu ni mfu na hatuna uwezo wowote iwe wa kimwili au wa kiroho kuweza kumuita na kuongea naye lolote, hii ni kwakuwa roho inapotengana na mwili hakuna tena huyo MTU bali kunatokea vitu vitatu visivyoweza kuungana tena na kutengeneza kitu kimoja. vitu hivyo ni roho mwili na nafsi, vitatu hivi ndio vinatengeneza MTU nje ya hapo kuna 'mwili wake', 'roho yake' au 'nafsi yake'

Watu wamejaribu kutoa shuhuda nyingi za kutokewa na marehemu, hili linawezekana kwasababu baada ya kifo kuna roho huwa zinawayawaya duniani, zipo tu na hizi ndizo ambazo hugeuka mizimu mizuri au mibaya

Wakati mmoja tu marehemu anaweza kusikia sauti ya mwanadamu na kuitii ni pale tu anapoandaliwa kwa safari yake ya mwisho kaburini, hasa kwenye ishu ya kumsafirisha au kumvalisha nguo

Nikiwa mtu ambaye nilidili na miili ya marehemu kwa miaka mitatu mfululizo nilikutana mara nyingi tu na hizi hali, marehemu hataki dharau ubishi au kufokewa nguo hata iwe inamtosha Siku hiyo itakataa mpaka mumbembeleza

Tuna wajuaji wengi Siku hizi wanaojifanya wametokewa na marehemu fulani na kumpa maagizo Fulani hizi kwa asilimia 90 ni story tu kwakuwa hatujakuwa na uwezo wa kuwaita au wao kututokea tu na uchafu wote huu tulionao
Mzee unapatikana wapi; nina hamu ya kuongea na marehemu baba yangu alifariki miaka 20 iliyopita. Nisaidie kama kweli inawezekana ingawa huwa siamini hizi metaphysics, ila kama kweli inawezekana nitaipokea!
 
Mzee unapatikana wapi; nina hamu ya kuongea na marehemu baba yangu alifariki miaka 20 iliyopita. Nisaidie kama kweli inawezekana ingawa huwa siamini hizi metaphysics, ila kama kweli inawezekana nitaipokea!
Nisaidie kama kweli inawezekana ingawa huwa siamini hizi metaphysics,[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Kichuguu Tayari umeshaweka shaka hapo
Ngoja tutawasiliana
 
Back
Top Bottom