Hiyo ya marehemu kusikia ipo for muslim katika christians hakuna.Katika uislam mtu akiwa anazikwa kuna maswali anaambiwa ukiulizwa ...jibu....Not in Christianity.Sijui kuhusu imani zingine.Imani ni nyingi na kila imani ina utaratibu wake.toka lini wafu wakaongea hizo iman haba kwamba wafu huadhibiwa wakiwa kaburin kitu ambacho hakiwazekan ktk hari ya kawaida,nackia hata sanda inachanwa kwenye masikio ili marehem asikie sauti?!
Nani aliwapa uwezo huo, kwa nini na kwa lengo gani?Anayedai anaongea na wafu anajidanganya.Hakuna yeyote mbinguni wala ardhini awezaye kuwazungumzisha wafu isipokua ni Mwenyezi Mungu.Sauti wanazosikia ni za mashetani.Hawa wamepewa uwezo wa kujibadilisha umbo lolote na kutumia ya sauti ya kiumbe yeyote hasa mwanadamu ili kutimiza malengo yake.Na kwa mtego huu,wengi wamenasa.Mtu anajua anaongea na baba 'ake aliye kaburini kumbe anaongea na shetani aliyeteka nyara Sauti ya baba 'ake ili kumpoteza.Na hata hiyo inayodaiwa ni mizimu,ni mashetani tu hayo.Shetani na majeshi yake wana mbinu nyingi,wana maarifa na uwezo mkubwa wa kututia kwenye maangamizi.Tujihadhari na hawa viumbe.
Sasa mkuu si umesema na tunajua kwamba nafsi roho na mwili vikitengana huwa haviungani tena, na mkuu hapo juu kasema bibi yake alimtokea live, hakuwa amelalamangatara hii habari yako imenifanya nisisimke, haya mambo yapo na watu wana shuhuda nyingi basi tu hawataki kuziweka wazi
Ni sahihi Kabisa kilichomtokea ni roho ya mfu(bibi yake) katika umbo na sio mwili halisi wa nyamaSasa mkuu si umesema na tunajua kwamba nafsi roho na mwili vikitengana huwa haviungani tena, na mkuu hapo juu kasema bibi yake alimtokea live, hakuwa amelala
Kipi kilichokujulisha kwamba hizo ni imani haba?toka lini wafu wakaongea hizo iman haba kwamba wafu huadhibiwa wakiwa kaburin kitu ambacho hakiwazekan ktk hari ya kawaida,nackia hata sanda inachanwa kwenye masikio ili marehem asikie sauti?!
Hali ya kawaida ipi unayoizungumzia wewe?Cha ajabu kwako kwao cha kawaida.Na wakubwa katika elimu husema "Ukijua sababu kuwepo kitu fulani,basi ajabu hutoweka".Katika hili kuna mifano kadha wa kadha.Mfano ukijua ni vipi simu hufanya kazi,ajabu yake hutoweka.Embu tupe usahihi wa imani juu ya hilo.toka lini wafu wakaongea hizo iman haba kwamba wafu huadhibiwa wakiwa kaburin kitu ambacho hakiwazekan ktk hari ya kawaida,nackia hata sanda inachanwa kwenye masikio ili marehem asikie sauti?!
Hawa ndio wale wanaoitwa walikufa wakaenda kuzimu kisha wakarudi kule Misozwe namjua mmoja mpaka leo hazijarudi vizurimshana jr umewahi kukutana na habari ya mgonjwa anakaa wiki hata zaidi hali, hanywi kuna wakati hapumui (wenyewe wanasema mizimu iliyotangulia haitaki kumpokea ili afe kwa madai aliwakosea marehemu) japo inafika mida anashituka na kutulia tena.
Unamaanisha nn unaposema "wakarudi misozwe"Hawa ndio wale wanaoitwa walikufa wakaenda kuzimu kisha wakarudi kule Misozwe namjua mmoja mpaka leo hazijarudi vizuri
Misozwe ni wapi....wakarudi, kule Misozwe namjua mmoja..
.
kweli kabisaIko hivi sikuwa anakataa live bali wakati wa kumvisha kama ni koti shati au hata suruali kuna kiungo kimoja hukakamaa kwa mfano kama ni mkono haunyanyuki au haukunjiki, kama ni mguu unajipinda au unakuwa mzito kunyanyua
Hivi vitu vinafanyika kwa namna ya ajabu na ya kipekee kabisa
Vilevile kuna kukosea vifungo au zipu kujichanganya! Yani mnaanza kufunga kifungo cha kwanza vizuri kabisa mkifika mwisho aidha vimepishana au mmeruka matundu, tulishawahi kukosea vifungo Mara SABA
Ni mpaka nilipotumia elimu niliyojifunza kuongea na marehemu kwa upole na kwa kumbembeleza ndio mambo yakawa sawa, na pia ndani ya chumba husika kama yupo mtu alikuwa na ugomvi na marehemu hakuna kitakachokwenda sawa hapo mpaka yule mtu atoke
Ka-umri kangu haka si haba lakini naendelea na ninapenda kujifunza kila siku mkuu.
Naomba mbinu za kutambua wachawi.Nashukuru kaka japo kuna changamoto zake wakati mwingine lakini changamoto ni sehemu ya maisha