Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu kisicho cha kawaida kilitokea huko msibani ambacho hakikumfurahisha marehemuata mimi nakumbuka babu yangu alipofariki nilijikuta namwambia "BABU KUBARI TUKUSAFIRISHE KWENYE NYUMBA YAKO YA MILELE SALAMA" alifariki huku dar na tulikuwa tunasafirisha kuelekea huko singida saa ya kwenda tulisafiri salama tukazika salama ila kimbembe kilitokea muda wa kurudi tuligombana kwenye gari kufika dar kila mtu akashika njia yake bila maelewano na mwenzake....
Kama ulikuwepo vile...nina wasi wasi na ubongo wako mzee mwenzangu mbona unafanya kazi kuliko GOOGLE.COMKuna kitu kisicho cha kawaida kilitokea huko msibani ambacho hakikumfurahisha marehemu
Japo mwili hutawanyika na kuwa kitu kisicho kamili lakini maneno yoyote ya marehemu hubebwa na roho na nafsi yake
Hizi habari za wosia si kitu cha kupuuza hata maramoja waliopuuza walipata habari yake mifano halisi ipo mingi kama marehemu alisema sitaki hivi na mkafanya tofauti baada ya yeye kufa maafa hutokea mara zote
Mimi pia huwa inanitokea hali hii.
Ha ha ha haaaaa....wakuu lakini chini si wapo waheshimiwa wamepumzika kwa amani?Duu yale ni mfano wa makaburi yamekaa kama ma toy ungeenda kinondoni au ungekuja msata
Hahaha wewe umeenda kwenye yale makaburi ya kinyangema makaburi yana bustari nzuri za maua zimefagiliwa na Pana pendeza kweli... Hata mimi ningeweza kwnda kulala kabisa
Hahaha [emoji3] [emoji3] [emoji3]Ha ha ha haaaaa....wakuu akini chini si wapo waheshimiwa wamepumzika kwa amani?
Huko Kinindoni na msata ambapo ukikuta mtu yu kasimama nani aende!!
Kile kitu cha kinondoni makaburini ikifika muda fulani abiria wenyewe hawaaminiani.
Mmh ukiingia kilabu cha pombe za kienyeji bila kulazimishwa halafu ukawauliza uliowakuta kuwa kwanini kila siku mnakunywa hii pombe watakushangaa sana kisha watakuona wa ajabu mnoMkuu Mshana unapenda sana hizi story sasa zitatusaidiaje humu kila saa kutishana tu mkuu
Haswaaaa ila sijajua inakua vipi naskia maiti inaweza kufumbua jicho kisha ikafumba. Hapa inakuaje?Unajua ni kama software kubwa sana haizimi kama bulb ya Wat 10
Vituko na vibweka vya maiti ni vingi mno hasa zile ambazo vifo vyake niHaswaaaa ila sijajua inakua vipi naskia maiti inaweza kufumbua jicho kisha ikafumba. Hapa inakuaje?
Au kuna maiti nyingine zinaleta utata wakati wa mazishi ni vihoja vitupu.
Katika uzoefu wako wa miaka mi3 umeshuhudia hayo?
Hakuna muda maalum ndio maana mpaka leo hii Kuna ibada ma matambiko makaburini kwa ajili ya mambo kama hayoMshana naomba ushauri wako.Je ni weza kumuomba msamaha marehemu ambaye nilimkosea akiwa hai na ameshazikwa?Kama hilo linawezekana je anatakiwa awe ameshaishi kaburini kwa muda gani ndio bado anaweza kuwasiliana nami?
Hapa kuna ndio na hapanamshana jr sasa nakuuliza swali ambalo hujaulizwa kabsa humu plz usinijibu kama wa saaa swali langu ni hivi je marehemu au mzimu wake huchukia au huumia au kupata wivu endapo mke/mme alomuacha akaolewa/kuona au kuwa na mtu mwingine hii ni kwa faida ya wajane wote