Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Polen sanaMbona huwa inatokea sana tu mfano marehemu alisema nikifa nizikwe sehemu flani. Halafu nyie wanandugu mlete ujuaji mumzike mnapotaka ninyi hapo ndio mtatia akili. Kipindi flani nilisindikiza maiti kutoka Mbeya kwenda Moshi, Acha kabisa majanga yake kumbe Marehemu alishawahi kusema akifa azikwe kwenye eneo la nyumba yake ambayo ilikua Mbeya. Ilibidi mzee mmoja wa kichaga afanye mambo ndio ngoma ikakubali.
Kimwili ama kiroho?Sasa mtu kisha KUFA arudije tena!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] polen sanaata mimi nakumbuka babu yangu alipofariki nilijikuta namwambia "BABU KUBARI TUKUSAFIRISHE KWENYE NYUMBA YAKO YA MILELE SALAMA" alifariki huku dar na tulikuwa tunasafirisha kuelekea huko singida saa ya kwenda tulisafiri salama tukazika salama ila kimbembe kilitokea muda wa kurudi tuligombana kwenye gari kufika dar kila mtu akashika njia yake bila maelewano na mwenzake....
hii ni mbinu ya shetani ibilisi ya kutaka kuwafanya watu wawe kinyume na mafundisho ya biblia kuhusu wafu ila ukweli ni kwamba ukishakufa ndio mwisho wa maisha yako hakuna kinachoendelea tena.
Well, hivyo hapa tumeweza kuona kuwa NAFSI NA ROHO huwa hazifi ila kinachokufa ni MWILI PEKEE.
Na ndio mana nikasema kuwa KULLU NAFSI DHAAHIKATUL MAUT = KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI.
Nilijiuliza before kuwa kwa nini haikusemwa kuwa KILA NAFSI ITAKUFA, then nikauliza NINI MAANA YA KUONJA ?, KUONJA NI TOFAUTI NA KULA AU KUMEZA coz HUWEZI KULA BILA ya KUMEZA, kitu KINAPOMEZWA ndipo husemwa kuwa KIMELIWA lakini KUONJA ni kitendo cha KUTIA MDOMONI haijalishi kuwa KIMETEMWA AU KIMEMEZWA kinakuwa kipo BAINA NA BAINA ya KATIKATI ya kilipokuwa mwanzo i.e KWENYE SAHANI NA TUMBO kipo KATIKATO.
Na ndivyo ilivyo kwa NAFSI kuwa imesemwa kuwa ITAONJA UMAUTI, sitachelea kusema kuwa HAITAKUFA WALA HAITAKUWA HAI na ndio maana ikawa KATIKATI ya ME & I.
Mkuu watakaelewa watakuwa WAMEELEWA TU na wasioelewa inahitaji kutumia nguvu ya zaida kidogo kuelewa coz HII ILMU NI KUBWA MNO, sasa staki kuwapeleka THAT DEEP tusije tukawachanganya watu ila inahitaji UFAHAM NA UELEWA wa hali ya juu kwa mtu mwenye AKILI YA KAWAIDA kuweza kuelewa haya mambo coz DUNIA NI ZAIDI YA WANAVYOIJUA.
LET ME GO BACK TO CLASS.
[emoji115] [emoji106] [emoji817] [emoji817] [emoji817]Yeah ,it makes sense .Pia kwa kujazia ,kuonja means ku taste ,hii inadhihirisha kuwa kinachokufa ni mwili ,sababu ili uweze kuonja na ku feel kitu ni lazma uwe hai ,so ni nafsi ndiyo inaonja mauti kwasababu ndiyo yenye kubaki hai,kwa maana ndiyo itakayo feel na ku experience hizo feelings,vibrations,denial .sadness,regrets etc etc hence KUONJA,so it tastes.
This makes really sense that we are more than this physical body .And death is not just the end of life ,it is the beginning of new life .For sure death is transition state,and I guess it is very good ,death is very good ,because it tells us who we truly are .Think of it.
Haa ha ha, kaka eeh, vyote bwana.
[emoji3] [emoji3] [emoji115]Haa ha ha, kaka eeh, vyote bwana.
excuse me najua thread ni ya zamani lakini mshana jr how ??hii inatokea very strange[/QUOTE]Nikiwa mtu ambaye nilidili na miili ya marehemu kwa miaka mitatu mfululizo nilikutana mara nyingi tu na hizi hali, marehemu hataki dharau ubishi au kufokewa nguo hata iwe inamtosha Siku hiyo itakataa mpaka mumbembeleza
Mkuu Mshana swali moja LA kibashite kwako tafadhali,Hivi in kwanini unapoiachanisha roho nabmwili wakati was kufanya Astral Projection huwa hakuna maumivu yoyote tunayohisi ila inasemekana roho inapoacha mwili wakati wa umauti kiumbe huwa kinapata maumivu Makalu sana hata baadhi ya vitabu vya dini vimethibitisha jambo hili na hats mimi nimeshashuhudia mtu akifa mubashara kwa macho yangu kiukweli aliweweseka sana mpaka usiku was siku hiyo nilishindwa kulala.......Mchango wako japo kidogo kama hutojali
Hapo kuna mambo machache ya kuzingatiaMkuu Mshana swali moja LA kibashite kwako tafadhali,Hivi in kwanini unapoiachanisha roho nabmwili wakati was kufanya Astral Projection huwa hakuna maumivu yoyote tunayohisi ila inasemekana roho inapoacha mwili wakati wa umauti kiumbe huwa kinapata maumivu Makalu sana hata baadhi ya vitabu vya dini vimethibitisha jambo hili na hats mimi nimeshashuhudia mtu akifa mubashara kwa macho yangu kiukweli aliweweseka sana mpaka usiku was siku hiyo nilishindwa kulala.......Mchango wako japo kidogo kama hutojali
Hebu cheki post namba 499 nimejibuMfano Wa kitabu gani cha dini kinasema Mtu akifa anaumia ?
Vipi na wale wanaokufa usingizini,? Sipingi kama hakuna maumivu but sijui kama ni kweli au si kweli ila kuna vifo vya aina nyingi ,wapo watu kweli wanapata shida sana siku ya mauti yao ,na wapo wengine wanakufa taratibu na kwa amani,na wapo wengine umekaa nae hapo na anakufa bila we kujua.yaani kwa upole kabisa .Labda mshana atusaidie hapa .