Mrembo by Nature nipe muda kwenye hili nisikurupuke
Nimelitafakari nimemeditate Kwa muda hili ni kubwa kwangu Ila kw ufupi tu n kwamba huyu nduguyo bado roho yake inaishi na hajawa radhi kupumzika kaburini anasubiri kisasi au anasubiri ukweli ujulikane
Huyo mumewe ana Siri kubwa sana moyoni ila hana amani na anatumia sana nguvu Za giza kulizima hili. Ila lina mwisho wake na wakati utalakapotimia na akalitema wewe ndio utakuwa shuhuda, na huu ndio ukweli
Kwenye hicho kifo cha huyo mama na huo mkangangiko wote kuna kitu kisicho cha kawaida kilitokea na bado mumewe akihusika kwa Karibu.....lakini ni suala la muda tuu
Dunia ina mengi yaliyo kizani na mwanadamu amenyimwa ufahamu WA kuyajua yote