Uwezo wa Roma Mkatoliki kutunga na kuandika nyimbo za harakati za kisiasa na utawala ni mdogo mno

Wewe huna hoja nimeamua nikupuuze rasmi sasa
Unajua Hip Hop wewe! Hip Hop is about reality, No blah blah in Hip Hop. Wewe tunakujua ni Mzee wa kusifu na kuabudu lijiwe, huna jipya. Hujui hip hop labda taarabu.
 
Wewe unauwezo mdogo kama Roman mcatholic
 
Sio mwanamuziki lkn naelewa uwezo wa wanamuziki
Ww sio mwanamuziki huwezi kumkosoa mwanamziki
Ww sio daktari huwezi kumkosoa daktari katika kutib
Ww sio kocha wala hukiwahi kucheza mpira huwezi kukosoa wachezaji wa mpira
Kujifanya ujuaji wa Kila jambo wakati huna ujuzi nalo ni dalili ya ukichaa
 
Kwani lazima usome Ndio uweze kutambua?
Wewe umetumia vigezo gani kutambua huo udogo wa uwezo?

Wewe unadegree ngapi katika mziki wa hip hop Mana tumeambiwa nyie wenye degree nyingi ndo mnaupeo mkubwa wa kupambanua Mambo
 
CCM sikilizeni nyimbo za uwezo wenu kwa Wasanii kama Harmonize, Hizi za Roma akili kubwa hamtaelewa kitu hahaa.
 
Nimefatilia sana post na comments zako mtoa mada endeleza juhudi uteuzi waja
 
Wewe Ndio unaakili kubwa Mkuu
Acha wabwekaji wanaotumika na Mabeberu waendelee kutetea ujinga
Roma namkubali sana ila katika nyimbo zake zote za kiharakati kwa hii ameshuka kiwango kidogo
 
Kweli UJINGA ni mzigo mkubwa kuliko kontena la korosho ghafi, yaani ambazo hazijabanguliwa na wanajeshi kwa meno.

1. Umesema uwezo wake ni mdogo kwa hiyo hajimudu hata kufikisha ujumbe ALIOUKUSUDIA... πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€. Umejuaje kwamba huo ujumbe uliokufukia sio alioukusudia? Mlijadiliana naye akakwambia unachoelewa sio alichokusudia?

2. Umepata muda wa KUSIKILIZA (bila shaka umesikia redioni) lakini HUJAONA cha maana. Jombaa, ukitaka kuona, washa ANGALIA VIDEO, kwa kusikiliza huwezi kuona.

3. Unawasemea watu gani kuwa MNAWACHOKA wanamuziki wa sasa? Watu hao hao ambao umetoka kuwashangaa kwa jinsi walivyoupokea wimbo kwa kishindo?

Una kazi ngumu sana.
 
Mbona wapinzani mlikuwa mnasema Nchi isiyomiliki usafiri wa anga ni sawa na Nchi iliyokufa kiuchumi?
Tuyaache ayo [emoji41] vip korosho za mtwara maana wapiga kura wengi n wakulima na wafanya biasha [emoji849][emoji849][emoji849]
 
Nipe link ya wimbo wako nilinganishe na Roma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…