katib mkoa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 1,574
- 2,161
Umeanza kufuatilia mpira katika Era ipi?? Yaani katika miaka ipi ulikuwa upo serious na mchezo wa mpira???mnaosema hakuna kama gaucho mnatumia kigezo gani?
mmefika mbali mpaka kumlinganisha gaucho na messi/ronaldo c
hivi gaucho ukitoa control ya mpira iliopitiliza (hata mimi namkubali kwa hili) ana kipi kuwapita watu hao wawili?
hapa naongelea uwezo binafsi ambao hauna msaada wa timu
usitaje makombe
mfano
-speed
-dribble speed
-shoot power
-free kick
-solo goals
-na vingine vitokanavyo na uwezo kipaji binafsi
gaucho anamzidi messi/ronaldo nini kati ya ivo
-
rate ya dribble ya messi unalinganisha na gaucho ?Umeanza kufuatilia mpira katika Era ipi?? Yaani katika miaka ipi ulikuwa upo serious na mchezo wa mpira???
Uliwahi kufuatilia mechi ambazo Gaucho alikuwa anakuwa featured katika level ya club na timu ya Taifa???
Majibu ya maswali yako naweza kujaribu kukujibu kama ifuatavyo..
Uwezo:
Alikuwa na uwezo wa ku dribble, stamina ya kuficha na control ya hali ya juu!!
Pia alikuwa na skills, creativity ya hali ya juu ambapo aliweza kuonesha utofauti akiwa uwanjani..
Nawakubali sana Messi na Ronaldo ila siwezi kudharau wa nyuma yao maana kila zama na ma gwiji wake
yani ukiimtolea kunatanata na mpira hamna kitu hata kwa neyma hafikiGaucho is overrated
dribble haitegemei club mkuuUnapozungumzia ubora wa mchezaji huwezi kukwepa mafanikio yake, jiulize huyo messi na ubora wake binafsi angecheza Sevilla Fc angefanya nini cha maana?
nambie kawazid nini kati ya hivo nilivotaja?Usimfananishe gaucho na yusuf macho
Chuki zako haziwezi kubadilisha ukweli, una shida kichwani kumlinganusha Gaucho na Neyma.yani ukiimtolea kunatanata na mpira hamna kitu hata kwa neyma hafiki
nimemjibu jaamaa ivo tuChuki zako haziwezi kubadilisha ukweli, una shida kichwani kumlinganusha Gaucho na Neyma.
Sasa mbona una limit vigezo vya kusifia ubora wake??? Kwanini tuishie katika kujadili mambo ya dribbling tu!! Kwanini ball control ionekane ni kitu cha kawaida sana kwako???rate ya dribble ya messi unalinganisha na gaucho ?
nimkutajia vitu hapo juu je gaucho anawafikia hawa watu?
ukitoa control ya mpira
Hiyo burudani hata Okocha alikuwa nayo ambayo haina msaada kwa timuMpira ni burudani na mpira wa gaucho una kika aina ya vionjo ili kukamilisha BURUDANI kwa wapenzi wa soka.
hahaha mkuu unamiliki timu yako unaambiwa uchague mmoja kati yao unachukua nani?Matatizo haya tena makubwa.kawaulize messi na c,ronaldo watakupa majibu.
NB;Messi na C,ronaldo wamemzidi RONALDINHO GAUCHO magoli tu.
dembele ana world cup unajua hiloGaucho kabeba worl cup ila messi na ronaldo hawajabeba word cup.