Uwezo wa Ronaldinho Gaucho uwanjani ulikuwa ni upi?

rate ya dribble ya messi unalinganisha na gaucho ?

nimkutajia vitu hapo juu je gaucho anawafikia hawa watu?

ukitoa control ya mpira
Sasa mbona vitu ulivyovitaji Cr7 ana viwili tu. kidogo Messi. Ila gaucho vyote ulivyoorodhesha anavyo jaribu fatilia highlights zake uangalie ufundi
 
Mbona unalinganisha Era mbili tofauti?Mimi nafikiri mjadala wako ungeweka kati ya Messi na CR7 maana wapo katika era zinazofanana.

Gaucho is something else huwezi kumuweka kapu moja na hawa vijana wa kisasa.
 
Naamini ukiingia YouTube ukazitizama hizo video nilizokuwekea Heshima na Mtizamo wako kwa Ronaldinho havitakuwa vilevile.

Ronaldinho aheshimiwe kwa Quality, quality ya vitu alikuwa anafanya ni vya daraja la juu Mno.
ukitaja vitu naomba unitajie hivo vitu hata viwili ili tujue ivo vitu ni muunganiko wa vitu gani ?

usiongee tu quality ,ya vitu, vitu gani?
 
Ulinganyo unaofanyika hapa ni batili kwa sababu Gaucho alikuwa na muda mchache sana kwenye peak kumlinganisha na Messi au Cr7...

Tukitaka tupate ulinganyo sahihi , mlinganishe Ronaldinho wa 2004-2006......


na Messi wa 2012.... Huu mwaka alipiga goli 90+



Ronaldo wa 2014....... goli 70+....
 
Sasa mbona vitu ulivyovitaji Cr7 ana viwili tu. kidogo Messi. Ila gaucho vyote ulivyoorodhesha anavyo jaribu fatilia highlights zake uangalie ufundi
upo sahihi

anavyo ndio je? ni kwa kiwango alicho nacho messi/cr7
 
sawa

ukitaja magoli utakua unamuonea gaucho
sababu hawafikii hata robo!

leta sifa nyingine

huyu jamaa anauwezo ndio ila si kwa kiwango cha cr7/ messi
 
Mbona unalinganisha Era mbili tofauti?Mimi nafikiri mjadala wako ungeweka kati ya Messi na CR7 maana wapo katika era zinazofanana.

Gaucho is something else huwezi kumuweka kapu moja na hawa vijana wa kisasa.
sifauwezo binafsi wa mchezaji azitegemei era

mkuu mchezaji kama anajua kupiga pasi/kuanzisha mashambulizi anajua tu hata acheze mda gani

mda hauondoi uwezo binafsi
 
sifauwezo binafsi wa mchezaji azitegemei era

mkuu mchezaji kama anajua kupiga pasi/kuanzisha mashambulizi anajua tu hata acheze mda gani

mda hauondoi uwezo binafsi
Wachezaji aliocheza nao Gaucho ni tofauti na aliochezanao Messi/CR7 esp; opponent team huoni tayari huo ni utofauti?

Huo uwezo binafsi unaupima akiwa peke yake na mpira au akiwa na wenzake 10 uwanjani?
 
Mtoa mada kacheki mechi ya Brazil vs England world cup 2002....ndo utaona ronadihno alivyo wa vusha Brazil kwenda nusu fainali.
 
Mtoa mada kacheki mechi ya Brazil vs England world cup 2002....ndo utaona ronadihno alivyo wa vusha Brazil kwenda nusu fainali.
unajifunga mkuu

kwa kigezo cha mechi kama izo cr7messi wanazo nyingi kuliko dinyo unasemaje hapo bado
 
Ila maswali mengine!! Basi tu.
 
Wachezaji aliocheza nao Gaucho ni tofauti na aliochezanao Messi/CR7 esp; opponent team huoni tayari huo ni utofauti?

Huo uwezo binafsi unaupima akiwa peke yake na mpira au akiwa na wenzake 10 uwanjani?
uwezo anaoonesha akiwa amepata mpira peke ake uwanjani!

kuna kutoa assist
kucreate chance
kutoa pass za uhakika
kufunga
kudrible
kufunga solo goal

izo ni moja ya sifa mchezaji anapopata mpira peke ake uwanjani na akzionesha kwa hali ya juu basi anakua mchezaji mzuri

gaucho kawazidi nini
 
magoli?

vipi kuhusu
assist
dribble per game
chance created
shoot
pass accurate
dribble speed
solo goals
free kick
Shida yako umekuja na matokeo yako kichwani Mpumbavu mkubwa ww.. kama umeleta Mada hapa subiri watu wakupe fact sio unaleta afu unabishana nao au unataka kujaza server? Wakati Ronaldinho anacheza kulikuwa pia na mabeki bora kabisa tena wenye skills na nguvu kubwa mno.. mabeki kama Jaap Stam, Maldini, cannavaro, carlos, cafu, viungo wa msuli mwingi kama Gattuso, zidane, viera nk Zama hizi zina mabeki dhaifu lkn pia sheria ziko so soft ukilinganisha za nyakati zile ambapo nguvu ilikuwa moja ya sifa za uchezaji wa mpira.
Katika ubora wake SI MESSI WALA RONALDO ANGEPATA NAFASI MBELE YA GAUCHO
 
twende taratibu kwa sifa kamahizi
unachukua mchezaji yupi.?

MCHEZAJI "A"
-goal_100%
_chance createtivity_80%
assist-40%
dribble-90%
-shoot-90
accuracy pass-80%

MCHEZAJI "B"
goal-40%
chance-60%
assist-20%
dribble-90%
shoot-70%
pass accuracy-80%
 
hahaahaha umesahau gaucho kacheza laliga?nayo cheza messi

sheria kama ipi?

maldini hakuawahi kucheza tackle sasa unamuogopaje beki kama huyu ?

unaweza mzuia messi bila tacke?
 
kingine hizo fact zako sijazikataa ndo nazisubiri

ila usililie kwamba kacheza na watu wagumu

sheria zipi zipo soft sasa hivi?
 
tuelewane

hata mimi namkubali gaucho kwa mdomo na maneno yasio fact

ila kwa data za uwezo binafsi uwanjani vitu ambavyo mchezaji anakupa akiwa yeye kama yeye akiwa uwanjani
mess cr7 wanavingi mno

na nimevitaja baadhi ila teamgaucho hamtaki kutaja hata kimoja
zaidi ya danadana za kifua
 
hahaahaha umesahau gaucho kacheza laliga?nayo cheza messi

sheria kama ipi?

maldini hakuawahi kucheza tackle sasa unamuogopaje beki kama huyu ?

unaweza mzuia messi bila tacke?
Unamjua maldini au umesimuliwa?
 
Gaucho sio sawa Messi au Ronaldo, hajawafikia hao. Ila Gaucho akicheza mpira anavutia zaidi kuangaliwa. Kila anapocheza kuna kitu kipya kizuri utakiona, na mpira wake haukua wa stress, hata wafungwe vipi yeye chenga atapiga tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…