mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 704
- 2,435
Uwezo wangu wa kununua nafaka kutoka kwa wakulima na kupeleka sokoni kwa ajili ya walaji unazidi kupungua, mzigo niliookuwa nakusanya kwa milioni kumi nahitaji kupata kwa milioni 13, 14.
Nipo Ikungi Singida muda huu nilikuwa napita kwa wakulima natafuta alizeti na mahindi, ni kweli mashambani mazao yapo changamoto ni bei zake, sielewi kwa bei hizi nikinunua nitauza kwa bei ipi.
Hii hali ipo pia dukani mzigo wa duka uliokuwa unachukuliwa siku za nyuma na unaochukuliwa sasa ni tofauti na kila ninapouza ni lawama kwa wateja, faida ipo kiduchu sana.
Najiona naenda kufirisika kabisa otherwise nibadili biashara tu.
Maombi yenu.
Nipo Ikungi Singida muda huu nilikuwa napita kwa wakulima natafuta alizeti na mahindi, ni kweli mashambani mazao yapo changamoto ni bei zake, sielewi kwa bei hizi nikinunua nitauza kwa bei ipi.
Hii hali ipo pia dukani mzigo wa duka uliokuwa unachukuliwa siku za nyuma na unaochukuliwa sasa ni tofauti na kila ninapouza ni lawama kwa wateja, faida ipo kiduchu sana.
Najiona naenda kufirisika kabisa otherwise nibadili biashara tu.
Maombi yenu.