Uwiano sahihi kati ya mchanga na cement mfuko mmoja kwa ajili ya kuchapia nyumba

Uwiano sahihi kati ya mchanga na cement mfuko mmoja kwa ajili ya kuchapia nyumba

Zekoddo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
1,859
Reaction score
4,539
Ety wakuu,, hivi ratio nzuri kati ya Cement mfuko mmoja(Kg 50) na mchanga ni kiasi gani kwa matumizi ya kuchapia nyumba(Plaster). Maana nataka ukuta ulio imara zaidi hata msumari husiingie..
Hawa mafundi wa Mtaani wengi ni Ovyoovyo..
 
Ety wakuu,, hivi ratio nzuri kati ya Cement mfuko mmoja(Kg 50) na mchanga ni kiasi gani kwa matumizi ya kuchapia nyumba(Plaster). Maana nataka ukuta ulio imara zaidi hata msumari husiingie..
Hawa mafundi wa Mtaani wengi ni Ovyoovyo..
Mtu wa kukupa jibu sahihi ni injinia au architect aliye sanifu jengo lako. Sasa nikuulize je mmefwata huyo injinia akasema hajui ratio aliyo pendekeza mtumie kwenye plasta?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
1.nje: kama mazingira magumu mfano unyevunyevu tumia 1:3 ila kawaida kabisa ni 1:4
2: ndani tumia 1:5 kwa mchanga mnene au 1:6 kama mchanga ni laini
hizo ratio ni ujazo (volume) na sio uzito
nimeona hata raman yangu mchoraj kaweka 1:4
 
Kwa mahitaji ya fundi wa rangi Karibu tunafanya kazi bora kwa garama nafuu. Kujionea Karibu Instagram page yangu; James paint and decoration 2257
 
Ety wakuu,, hivi ratio nzuri kati ya Cement mfuko mmoja(Kg 50) na mchanga ni kiasi gani kwa matumizi ya kuchapia nyumba(Plaster). Maana nataka ukuta ulio imara zaidi hata msumari husiingie..
Hawa mafundi wa Mtaani wengi ni Ovyoovyo..
Kwa kuta za nje tumia ratio ya 1:4 na kwa kuta za ndani tumia 1:5

Katika kupiga plaster, tunatumia ratio ya 1:4 na 1:5 kwa sababu ratio ya udongo wa kujengea tofali tunatumia 1:6

Note: site mfuko mmoja huwa tunahesabu ni sawa na ndoo kubwa 2, so kwa ratio ya 1:4 ni sawa na ndoo kubwa 8 za mchanga na ratio ya 1:5 ni sawa na ndoo kubwa 10 za mchanga

Ukihitaji ramani au makadirio ya vifaa vya ujenzi usisite kuwasiliana nami
 
Back
Top Bottom