Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe nae umeandika nini sijui, wengi hawajengi kwa kuwazingatia hao watu uliowatajaMtu wa kukupa jibu sahihi ni injinia au architect aliye sanifu jengo lako. Sasa nikuulize je mmefwata huyo injinia akasema hajui ratio aliyo pendekeza mtumie kwenye plasta?
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Ahahahahahaah huko itakua mbagala au chanika huko ndani ndaniKuna sehemu nilikuwa nafanya kazi za saidia fundi tulikuwa tunaweka ndoo ndogo (zile za lita 10) 30 za mchanga kwa mfuko mmoja wa cement
Mwanza mkuuAhahahahahaah huko itakua mbagala au chanika huko ndani ndani
Unaposema 1:3 unamaanisha mfumo mmoja wa cement, je hiyo 3 nini, ndoo za mchanga, dololi au ndoo kubwa?1.nje: kama mazingira magumu mfano unyevunyevu tumia 1:3 ila kawaida kabisa ni 1:4
2: ndani tumia 1:5 kwa mchanga mnene au 1:6 kama mchanga ni laini
hizo ratio ni ujazo (volume) na sio uzito
Kwanza tuelewe hiyo ni ratio ya ujazo.Unaposema 1:3 unamaanisha mfumo mmoja wa cement, je hiyo 3 nini, ndoo za mchanga, dololi au ndoo kubwa?
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kama hawazingatii nilio wataja kwanini kaja hapa?wewe nae umeandika nini sijui, wengi hawajengi kwa kuwazingatia hao watu uliowataja
Mkuu mimi mchanga wangu ni mlaini na natumia cement ya 42.5 sehemu hiyo Ina unyevu nyevu. Pia kama unajua dawa ya fungus kuchanganya na udongo wakati wa plaster naomba uniambie inaitwaje.1.nje: kama mazingira magumu mfano unyevunyevu tumia 1:3 ila kawaida kabisa ni 1:4
2: ndani tumia 1:5 kwa mchanga mnene au 1:6 kama mchanga ni laini
hizo ratio ni ujazo (volume) na sio uzito