Uwiano ya bajeti 2024 kwa idadi ya watu kati ya Zanzibar na Tanzania Bara siyo sawa. Zanzibar imependelewa zaidi mara 12. Ona hapa

Uwiano ya bajeti 2024 kwa idadi ya watu kati ya Zanzibar na Tanzania Bara siyo sawa. Zanzibar imependelewa zaidi mara 12. Ona hapa

Huoni unachoandika hapa? 😂😂

Sasa Bajeti ya Zanzibar inahusikaje na huku Bara?

Ndio manaa nasema nyie ni wajinga sana ,Huwa mnatafuta kusukumia ujinga wenu Kwa wasiohisika.
Kumbe hujui hata mgawanyo wa mikopo au mapato ya serikali yetu ya muungano ? Unawahi kutukana kwa usichokijua,rudi shule Mkuu.
 
Bajeti Tz Bara ni takriban trilioni 50 . Bajeti ya Tz Zanzibar ni takriban trilioni 5 . Hivyo Uwiano ni 10: 1

Ukija kwenye idadi ya watu Tz Bara ni takriban Milioni 60 , na Tz Zanzibar Milioni 0.5 (laki 5) . Hivyo uwiano 120: 1.
Ukiangalia mlinganyo huo, uwiano wa idadi ya watu kwa bajeti Zanzibar na Bara ni 120: 10 ambayo ni sawa na 12: 1.
Kwa tafsiri yangu ni kuwa gharama ya kuhudumia watu 12 Bara, kule Zanzibar inahudumia mtu 1. Kwa maana nyingine kiasi cha fedha za kutibu watu 12 Bara, kule Zanzibar kiasi hicho hicho kinatumika kutibu mtu 1.
Hii imekaaje kimaendeleo ? Naomba maoni na niko tayari kusahihishwa.
Je, ile maana ya kuwa hizi ni nchi mbili tofauti ndiyo hiyo?.
Maana yake ni kwamba mZanzibar ana thamani kubwa kuliko mTanganyika. Hakuna maana nyingine yoyote zaidi ya hiyo.
 
Kumbe hujui hata mgawanyo wa mikopo au mapato ya serikali yetu ya muungano ? Unawahi kutukana kwa usichokijua,rudi shule Mkuu.
Kwa nini nisijue? Kumbe unajua ni mgawanyo iliyoko kisheria Kwa mujibu wa makubaliano ya Muungano,Sasa unalia lia nini labda?
Screenshot_20240611-081228.jpg
Screenshot_20240611-083742.jpg
 
Bajeti Tz Bara ni takriban trilioni 50 . Bajeti ya Tz Zanzibar ni takriban trilioni 5 . Hivyo Uwiano ni 10: 1

Ukija kwenye idadi ya watu Tz Bara ni takriban Milioni 60 , na Tz Zanzibar Milioni 0.5 (laki 5) . Hivyo uwiano 120: 1.
Ukiangalia mlinganyo huo, uwiano wa idadi ya watu kwa bajeti Zanzibar na Bara ni 120: 10 ambayo ni sawa na 12: 1.
Kwa tafsiri yangu ni kuwa gharama ya kuhudumia watu 12 Bara, kule Zanzibar inahudumia mtu 1. Kwa maana nyingine kiasi cha fedha za kutibu watu 12 Bara, kule Zanzibar kiasi hicho hicho kinatumika kutibu mtu 1.
Hii imekaaje kimaendeleo ? Naomba maoni na niko tayari kusahihishwa.
Je, ile maana ya kuwa hizi ni nchi mbili tofauti ndiyo hiyo?.
Hii zanzibar yenye watu laki mboma siijui!!
 
Hiyo pesa haitoshi kulingana na umuhimu wa visiwani. Waongezewe bajeti, Zanzibar kwanza.
 
Bajeti Tanzania Bara ni takriban trilioni 50. Bajeti ya Tanzania Zanzibar ni takriban trilioni 5 . Hivyo Uwiano ni 10: 1

Ukija kwenye idadi ya watu Tanzania Bara ni takriban Milioni 60 , na Tz Zanzibar Milioni 0.5 (laki 5) . Hivyo uwiano 120: 1.
Ukiangalia mlinganyo huo, uwiano wa idadi ya watu kwa bajeti Zanzibar na Bara ni 120: 10 ambayo ni sawa na 12: 1.

Kwa tafsiri yangu ni kuwa gharama ya kuhudumia watu 12 Bara, kule Zanzibar inahudumia mtu 1. Kwa maana nyingine kiasi cha fedha za kutibu watu 12 Bara, kule Zanzibar kiasi hicho hicho kinatumika kutibu mtu 1.

Hii imekaaje kimaendeleo ? Naomba maoni na niko tayari kusahihishwa.

Je, ile maana ya kuwa hizi ni nchi mbili tofauti ndiyo hiyo?

PIA SOMA
- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Bajeti ya Tanzania inahusu pia Zanzibar kwenye shughuri za muungano, hata hivyo hivi sasa zimevurugwa ni ngumu kuzitofautisha. Kutokana na bajeti kuhusisha Zanzibar kwenye shughuri za muungano hivyo idadi ya watu siyo 60+m tu ni pamoja na idadi ya Zanzibar.
 
Bajeti ya Tanzania inahusu pia Zanzibar kwenye shughuri za muungano, hata hivyo hivi sasa zimevurugwa ni ngumu kuzitofautisha. Kutokana na bajeti kuhusisha Zanzibar kwenye shughuri za muungano hivyo idadi ya watu siyo 60+m tu ni pamoja na idadi ya Zanzibar.
Sina uhakika sana Kwa sababu Kuna clear distinction na shughuli za Muungano zinajulikana na.pia kanuni ya mgawanyo inajulikana so Bajeti ya Muungano ni ya Muungano Kwa mipaka yote ya Nchi na upande wa Zanzibar it's cover shughuli za Muungano Kwa kanuni ya mgawanyo hii hapa(9%) 👇
Screenshot_20240611-083742.jpg
 
Bajeti Tanzania Bara ni takriban trilioni 50. Bajeti ya Tanzania Zanzibar ni takriban trilioni 5 . Hivyo Uwiano ni 10: 1

Ukija kwenye idadi ya watu Tanzania Bara ni takriban Milioni 60 , na Tz Zanzibar Milioni 0.5 (laki 5) . Hivyo uwiano 120: 1.
Ukiangalia mlinganyo huo, uwiano wa idadi ya watu kwa bajeti Zanzibar na Bara ni 120: 10 ambayo ni sawa na 12: 1.

Kwa tafsiri yangu ni kuwa gharama ya kuhudumia watu 12 Bara, kule Zanzibar inahudumia mtu 1. Kwa maana nyingine kiasi cha fedha za kutibu watu 12 Bara, kule Zanzibar kiasi hicho hicho kinatumika kutibu mtu 1.

Hii imekaaje kimaendeleo ? Naomba maoni na niko tayari kusahihishwa.

Je, ile maana ya kuwa hizi ni nchi mbili tofauti ndiyo hiyo?

PIA SOMA
- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Kwanza Zanzibar ni nchi inajipangia mambo yake, pili uwage mkweli, Zanzibar ina watu km milioni 2 siyo laki 5.
 
Ila kusema ukweli katika dunia hii sijui kama kuna watu wengine mazuzu kuliko sisi Watanganyika!
Yaani tunakubali kabisa kutawaliwa na mtu ambaye sio raia wa nchi yetu! Na mwakani kuna Watanganyika kabisa watampigia kura! Kwa kweli binafsi siwezi kumpigia kura.
 
Ila kusema ukweli katika dunia hii sijui kama kuna watu wengine mazuzu kuliko sisi Watanganyika!
Yaani tunakubali kabisa kutawaliwa na mtu ambaye sio raia wa nchi yetu! Na mwakani kuna Watanganyika kabisa watampigia kura! Kwa kweli binafsi siwezi kumpigia kura.
Sio raia wa Nchi yetu kivipi ??
Kwani hamuutaki Muungano Adhimu wa Tanganyika na Zanzibar ???! 🙄🙄😳
 
Sio raia wa Nchi yetu kivipi ??
Kwani hamuutaki Muungano Adhimu wa Tanganyika na Zanzibar ???! 🙄🙄😳
Muungano wa kijinga tu,Muungano gani chao ni chao wao tu ila chetu ni chetu wote.
Leo hii ukienda tu Zanzibar siyo kuishi ila kutembea tu jamaa wanakuona kama mavi wanakunyanyapaa waziwazi utaonekana mwizi wewe, mtu mwenye tabia mbaya,mshenzi yaani sifa mbaya zote utapewa wewe ila wao wanakuja huku wakati wowote wanajimwaga tu halafu na sisi wenyewe tulivyo wajinga tunawashobokea sana eti tunajifanya sisi waungwana!
 
Back
Top Bottom