Uwiano ya bajeti 2024 kwa idadi ya watu kati ya Zanzibar na Tanzania Bara siyo sawa. Zanzibar imependelewa zaidi mara 12. Ona hapa

Uwiano ya bajeti 2024 kwa idadi ya watu kati ya Zanzibar na Tanzania Bara siyo sawa. Zanzibar imependelewa zaidi mara 12. Ona hapa

Bajeti Tanzania Bara ni takriban trilioni 50. Bajeti ya Tanzania Zanzibar ni takriban trilioni 5 . Hivyo Uwiano ni 10: 1

Ukija kwenye idadi ya watu Tanzania Bara ni takriban Milioni 60 , na Tz Zanzibar Milioni 0.5 (laki 5) . Hivyo uwiano 120: 1.
Ukiangalia mlinganyo huo, uwiano wa idadi ya watu kwa bajeti Zanzibar na Bara ni 120: 10 ambayo ni sawa na 12: 1.

Kwa tafsiri yangu ni kuwa gharama ya kuhudumia watu 12 Bara, kule Zanzibar inahudumia mtu 1. Kwa maana nyingine kiasi cha fedha za kutibu watu 12 Bara, kule Zanzibar kiasi hicho hicho kinatumika kutibu mtu 1.

Hii imekaaje kimaendeleo ? Naomba maoni na niko tayari kusahihishwa.

Je, ile maana ya kuwa hizi ni nchi mbili tofauti ndiyo hiyo?

PIA SOMA
- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Mbaya zaidi pesa za bajiti ya Zanzibar zinatoka Tanganyika, hawalipii umeme, wanachukua ajira zetu nk. Tuamke watanganyika
 
Muungano wa kijinga tu,Muungano gani chao ni chao wao tu ila chetu ni chetu wote.
Leo hii ukienda tu Zanzibar siyo kuishi ila kutembea tu jamaa wanakuona kama mavi wanakunyanyapaa waziwazi utaonekana mwizi wewe, mtu mwenye tabia mbaya,mshenzi yaani sifa mbaya zote utapewa wewe ila wao wanakuja huku wakati wowote wanajimwaga tu halafu na sisi wenyewe tulivyo wajinga tunawashobokea sana eti tunajifanya sisi waungwana!
Sijawahi kuwa na shobo nao na wala siwapendi labda dada zao akijichanganya na nna shukuru Mungu kipande hii hamna Hao jamaa kabisa na hawawezi kuishi hii zone
 
Bajeti Tanzania Bara ni takriban trilioni 50. Bajeti ya Tanzania Zanzibar ni takriban trilioni 5 . Hivyo Uwiano ni 10: 1

Ukija kwenye idadi ya watu Tanzania Bara ni takriban Milioni 60 , na Tz Zanzibar Milioni 0.5 (laki 5) . Hivyo uwiano 120: 1.
Ukiangalia mlinganyo huo, uwiano wa idadi ya watu kwa bajeti Zanzibar na Bara ni 120: 10 ambayo ni sawa na 12: 1.

Kwa tafsiri yangu ni kuwa gharama ya kuhudumia watu 12 Bara, kule Zanzibar inahudumia mtu 1. Kwa maana nyingine kiasi cha fedha za kutibu watu 12 Bara, kule Zanzibar kiasi hicho hicho kinatumika kutibu mtu 1.

Hii imekaaje kimaendeleo ? Naomba maoni na niko tayari kusahihishwa.

Je, ile maana ya kuwa hizi ni nchi mbili tofauti ndiyo hiyo?

PIA SOMA
- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Maendeleo ya nchi yako unapanga kulingana na pato lako si kwa idadi ya watu
 
Bajeti Tanzania Bara ni takriban trilioni 50. Bajeti ya Tanzania Zanzibar ni takriban trilioni 5 . Hivyo Uwiano ni 10: 1

Ukija kwenye idadi ya watu Tanzania Bara ni takriban Milioni 60 , na Tz Zanzibar Milioni 0.5 (laki 5) . Hivyo uwiano 120: 1.
Ukiangalia mlinganyo huo, uwiano wa idadi ya watu kwa bajeti Zanzibar na Bara ni 120: 10 ambayo ni sawa na 12: 1.

Kwa tafsiri yangu ni kuwa gharama ya kuhudumia watu 12 Bara, kule Zanzibar inahudumia mtu 1. Kwa maana nyingine kiasi cha fedha za kutibu watu 12 Bara, kule Zanzibar kiasi hicho hicho kinatumika kutibu mtu 1.

Hii imekaaje kimaendeleo ? Naomba maoni na niko tayari kusahihishwa.

Je, ile maana ya kuwa hizi ni nchi mbili tofauti ndiyo hiyo?

PIA SOMA
- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Una uhakika Zanzibar watu ni 0.5 milioni au unasherehesha jukwaa tu?
 
Kuna mtu amewakataza watu wa Bara kuongeza uzalishaji na kulipa.kodi? Nyie si hamtaki kulipa Kodi mnadai zinaibiwa?

Toka nimekuwa mtu mzima,nachokiona huku Bara Huwa ni watu walalamishi,wakulaumu,Wavivu na wajinga wa kufikiri.

Endeleeni hivyo hivyo au laa Punguzeni kuzaa
Nyie mnalipa kodi gani? Mbunge Kessy aliwaambia kweli kodi zenu zipo chini halafu mnataka mlete bidhaa bara na zisitozwe ushuru

Mfano. Kuingiza Konteina lilikuwa milion 3 la vifaa vya pikipiki zenji wakati bara milion 40,

Sasa hapo wapi kwa wapi?
 
Una uhakika Zanzibar watu ni 0.5 milioni au unasherehesha jukwaa tu?
Unaweza kusahihisha ukitumia takwimu zako. Hata hivyo kuna post imejaribu kurekebisha still yet point yangu ikawa valid.
 
Mbaya zaidi pesa za bajiti ya Zanzibar zinatoka Tanganyika, hawalipii umeme, wanachukua ajira zetu nk. Tuamke watanganyika

Kumbe wewe ndiye unayetulipia Luku, ? Mbona sisi wengine umetusahau kutulipia??
 
Kwa hiyo 3 folds out of 12 ni 4. Whatever the case, my point still hold water
Hapana, point yako haina mashiko.
Ukikosea hesabu kwa kiasi hicho, credibility ya chochote unachoandika kinakosa uhalali wa kuaminika. Hivyo unaharibu hoja yako nzima na michango yako mbeleni.
As of June 2023, the population of Zanzibar was 1,889,773, which is a five-fold increase from 1967, when the population was 354,815. Projections for 2025 estimate the population will be close to 1.9 million
Bajeti Tanzania Bara ni takriban trilioni 50. Bajeti ya Tanzania Zanzibar ni takriban trilioni 5 . Hivyo Uwiano ni 10: 1

Ukija kwenye idadi ya watu Tanzania Bara ni takriban Milioni 60 , na Tz Zanzibar Milioni 0.5 (laki 5) . Hivyo uwiano 120: 1
Ningekushauri urekebishe andiko lako katika namba kabla ya kuendelea kujadili hoja. Na uwaombe radhi wasomaji wote.
 
Muungano wa kijinga tu,Muungano gani chao ni chao wao tu ila chetu ni chetu wote.
Leo hii ukienda tu Zanzibar siyo kuishi ila kutembea tu jamaa wanakuona kama mavi wanakunyanyapaa waziwazi utaonekana mwizi wewe, mtu mwenye tabia mbaya,mshenzi yaani sifa mbaya zote utapewa wewe ila wao wanakuja huku wakati wowote wanajimwaga tu halafu na sisi wenyewe tulivyo wajinga tunawashobokea sana eti tunajifanya sisi waungwana!
Ndugu mpendwa sana sana atafanyaje hayo. ???

Mtakuwa munawasingizia tu 😳
 
Back
Top Bottom