MakukoyaKuna mtu amewakataza watu wa Bara kuongeza uzalishaji na kulipa.kodi? Nyie si hamtaki kulipa Kodi mnadai zinaibiwa?
Toka nimekuwa mtu mzima,nachokiona huku Bara Huwa ni watu walalamishi,wakulaumu,Wavivu na wajinga wa kufikiri.
Endeleeni hivyo hivyo au laa Punguzeni kuzaa
Mbaya zaidi pesa za bajiti ya Zanzibar zinatoka Tanganyika, hawalipii umeme, wanachukua ajira zetu nk. Tuamke watanganyikaBajeti Tanzania Bara ni takriban trilioni 50. Bajeti ya Tanzania Zanzibar ni takriban trilioni 5 . Hivyo Uwiano ni 10: 1
Ukija kwenye idadi ya watu Tanzania Bara ni takriban Milioni 60 , na Tz Zanzibar Milioni 0.5 (laki 5) . Hivyo uwiano 120: 1.
Ukiangalia mlinganyo huo, uwiano wa idadi ya watu kwa bajeti Zanzibar na Bara ni 120: 10 ambayo ni sawa na 12: 1.
Kwa tafsiri yangu ni kuwa gharama ya kuhudumia watu 12 Bara, kule Zanzibar inahudumia mtu 1. Kwa maana nyingine kiasi cha fedha za kutibu watu 12 Bara, kule Zanzibar kiasi hicho hicho kinatumika kutibu mtu 1.
Hii imekaaje kimaendeleo ? Naomba maoni na niko tayari kusahihishwa.
Je, ile maana ya kuwa hizi ni nchi mbili tofauti ndiyo hiyo?
PIA SOMA
- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Sijawahi kuwa na shobo nao na wala siwapendi labda dada zao akijichanganya na nna shukuru Mungu kipande hii hamna Hao jamaa kabisa na hawawezi kuishi hii zoneMuungano wa kijinga tu,Muungano gani chao ni chao wao tu ila chetu ni chetu wote.
Leo hii ukienda tu Zanzibar siyo kuishi ila kutembea tu jamaa wanakuona kama mavi wanakunyanyapaa waziwazi utaonekana mwizi wewe, mtu mwenye tabia mbaya,mshenzi yaani sifa mbaya zote utapewa wewe ila wao wanakuja huku wakati wowote wanajimwaga tu halafu na sisi wenyewe tulivyo wajinga tunawashobokea sana eti tunajifanya sisi waungwana!
Maendeleo ya nchi yako unapanga kulingana na pato lako si kwa idadi ya watuBajeti Tanzania Bara ni takriban trilioni 50. Bajeti ya Tanzania Zanzibar ni takriban trilioni 5 . Hivyo Uwiano ni 10: 1
Ukija kwenye idadi ya watu Tanzania Bara ni takriban Milioni 60 , na Tz Zanzibar Milioni 0.5 (laki 5) . Hivyo uwiano 120: 1.
Ukiangalia mlinganyo huo, uwiano wa idadi ya watu kwa bajeti Zanzibar na Bara ni 120: 10 ambayo ni sawa na 12: 1.
Kwa tafsiri yangu ni kuwa gharama ya kuhudumia watu 12 Bara, kule Zanzibar inahudumia mtu 1. Kwa maana nyingine kiasi cha fedha za kutibu watu 12 Bara, kule Zanzibar kiasi hicho hicho kinatumika kutibu mtu 1.
Hii imekaaje kimaendeleo ? Naomba maoni na niko tayari kusahihishwa.
Je, ile maana ya kuwa hizi ni nchi mbili tofauti ndiyo hiyo?
PIA SOMA
- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Hoja ndiyo hiyo kama Zanzibar pato lao ni kubwa wanayo haki ya kutumia kikubwa kwa sababu Zanzibar kwenye bajet ni nchi inayo jitegemea kama vile kenya uganda.Jikite kwenye hoja ya msingi
Una uhakika Zanzibar watu ni 0.5 milioni au unasherehesha jukwaa tu?Bajeti Tanzania Bara ni takriban trilioni 50. Bajeti ya Tanzania Zanzibar ni takriban trilioni 5 . Hivyo Uwiano ni 10: 1
Ukija kwenye idadi ya watu Tanzania Bara ni takriban Milioni 60 , na Tz Zanzibar Milioni 0.5 (laki 5) . Hivyo uwiano 120: 1.
Ukiangalia mlinganyo huo, uwiano wa idadi ya watu kwa bajeti Zanzibar na Bara ni 120: 10 ambayo ni sawa na 12: 1.
Kwa tafsiri yangu ni kuwa gharama ya kuhudumia watu 12 Bara, kule Zanzibar inahudumia mtu 1. Kwa maana nyingine kiasi cha fedha za kutibu watu 12 Bara, kule Zanzibar kiasi hicho hicho kinatumika kutibu mtu 1.
Hii imekaaje kimaendeleo ? Naomba maoni na niko tayari kusahihishwa.
Je, ile maana ya kuwa hizi ni nchi mbili tofauti ndiyo hiyo?
PIA SOMA
- News Alert: - Waziri Mwigulu awasilisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025
Nyie mnalipa kodi gani? Mbunge Kessy aliwaambia kweli kodi zenu zipo chini halafu mnataka mlete bidhaa bara na zisitozwe ushuruKuna mtu amewakataza watu wa Bara kuongeza uzalishaji na kulipa.kodi? Nyie si hamtaki kulipa Kodi mnadai zinaibiwa?
Toka nimekuwa mtu mzima,nachokiona huku Bara Huwa ni watu walalamishi,wakulaumu,Wavivu na wajinga wa kufikiri.
Endeleeni hivyo hivyo au laa Punguzeni kuzaa
Ahahahahaha!!Unaweza kusahihisha ukitumia takwimu zako. Hata hivyo kuna post imejaribu kurekebisha still yet point yangu ikawa valid.
Tuvunje huu muungano fakeZanzibar sio wenzenu wakuu jana tarehe 13 wameshaingiziwa mishahara wote watu wanajiandaa na skukuu.
Tuvunje huu muungano fakeKelele za chura na ukiziwi unatisha mwaka huu mwakani atakaa bench hatoamini Tanganyika ni lidude kubwa sana time will tell
Mbaya zaidi pesa za bajiti ya Zanzibar zinatoka Tanganyika, hawalipii umeme, wanachukua ajira zetu nk. Tuamke watanganyika
Si kuvunja ni muondowe majeshi yenu yaliyojaa kila mtaa pamoja na TISS zenu wenye makambi kila mtaa mpaka wengine wanavaa rubega Za kimasai😭😭Tuvunje huu muungano fake
Hapana, point yako haina mashiko.Kwa hiyo 3 folds out of 12 ni 4. Whatever the case, my point still hold water
As of June 2023, the population of Zanzibar was 1,889,773, which is a five-fold increase from 1967, when the population was 354,815. Projections for 2025 estimate the population will be close to 1.9 million
Ningekushauri urekebishe andiko lako katika namba kabla ya kuendelea kujadili hoja. Na uwaombe radhi wasomaji wote.Bajeti Tanzania Bara ni takriban trilioni 50. Bajeti ya Tanzania Zanzibar ni takriban trilioni 5 . Hivyo Uwiano ni 10: 1
Ukija kwenye idadi ya watu Tanzania Bara ni takriban Milioni 60 , na Tz Zanzibar Milioni 0.5 (laki 5) . Hivyo uwiano 120: 1
Ndugu mpendwa sana sana atafanyaje hayo. ???Muungano wa kijinga tu,Muungano gani chao ni chao wao tu ila chetu ni chetu wote.
Leo hii ukienda tu Zanzibar siyo kuishi ila kutembea tu jamaa wanakuona kama mavi wanakunyanyapaa waziwazi utaonekana mwizi wewe, mtu mwenye tabia mbaya,mshenzi yaani sifa mbaya zote utapewa wewe ila wao wanakuja huku wakati wowote wanajimwaga tu halafu na sisi wenyewe tulivyo wajinga tunawashobokea sana eti tunajifanya sisi waungwana!