Uwii, Sepp Blutter kamwaga mboga yote

Uwii, Sepp Blutter kamwaga mboga yote

wewe nawe sijui umekula maharage ya wapi,kumbuka Sepp alikuwa Raisi wa FIFA,hivyo UEFA ilikuwa chini yake,kama aliona uozo kwa nini hakukemea kipindi kile?Mbona hasemi ilikuwaje mpaka Qatar wakapata uandaaji wa kombe la dunia 2022?
Atakemeaje wakati mambo hayo hata FIFA yalikuwepo?
 
Mwanzoni mwa miaka ya 2000 mara nyingi ilikuwa man utd vs real madrid mpaka Ferguson akalalamika
 
maskini ya mungu Arsenal, yani yeye kila droo na Barcelona tu kumbe alikua anawekwa kwanza keenye friji !!!!!!!!


Yaani nimecheka weeeeeeeeeeeeeeeeeeee mpaka mbavu zinaniuma sana....duh, andiko lako zuri sana...
 
Back
Top Bottom