Uwongo umeniponza

Lakini dada NK wanawake wa hivo ni waaminifu sana kwenye ndoa vitu nitanunua tu lakini hata nikisafiri mwaka na amani, halafu si mpaka nifanye kosa kubwa ndio anavunja vitu ?
 
hiyo ni noma mtu wangu, umeona faida ya kutokuwa mkweli kwa mwenzio sasa kazi kwako, kama mdomo pazuri mpe maneno matamu tu na ahadi nyingi na atatulia tu, na kama ulikuwa unamfikisha mahali pake aaaaaaaah atoki.
 
kumbe kuna majin ya kichaga loh!
 
Kagundua mwenyewe

yani mi nashangaa kwanini wanaume wengi hawabadiliki kwanini usiwe muwazi tangu mwanzo kama akiridhika ok bt if not aangalie ustaarab kwngine! We unafkir kulea wtt2 wa mama tofauti tofaut mchezo, hapo bado hajaanza kua na wakwake. Bora kama mama zao wanaj22mua bt kama ni golikipa je? Mh!
 
........uwongo mbaya na kweli ulikosea, hivi kuna ubaya gani hadi anaamua kuvunja vitu? Kwani kasikia upendo wako kwake umeisha!! Hebu mwambie kwamba unampenda sana tu japo una watoto nje..........omba msamaha kama ni mwelewa atakuelewa, kwanza watoto ni baraka inabidi akusamehe tu na maisha yaendelee.
 
uwoga wa kuwa mkweli utafanya watoto wako waje wateswe hapo baadae.....

mwambie huyo msichana wako advantage ya wewe kuzaa kabla ni kuwa hutamsumbua sana azae..au azae mtoto wa jinsia ipi?
atakuwa free zaidi hata kutokuzaa....
 
Reactions: Mbu
uwoga wa kuwa mkweli utafanya watoto wako waje wateswe hapo baadae.....

mwambie huyo msichana wako advantage ya wewe kuzaa kabla ni kuwa hutamsumbua sana azae..au azae mtoto wa jinsia ipi?
atakuwa free zaidi hata kutokuzaa....
jamani kweli kwasasa kuna mtu asiyependa mtt wa kuzaa mwenyewe?
 
Pole sana gwakumyitu.
Tafuta watu anaowaamini wakuombee msamaha, akikataa anza upya kubembeleza we mwenyewe, si mbaya ukadondosha machozi mbele yake.
 
mi nadhan huyo dada anakupenda mno dat y aliumia sana alipogundua umemcheat. Kaa chini jipange hasira zake zikiisha atakuelewa tu. Bt its better wtt hao uwatunze mwenyewe na mkeo uwafundishe maadili mema mapema kabla hawajapollutiwa na mama zao, c unajua watoto wa kambo lawama!
 
uwoga wa kuwa mkweli utafanya watoto wako waje wateswe hapo baadae.....

mwambie huyo msichana wako advantage ya wewe kuzaa kabla ni kuwa hutamsumbua sana azae..au azae mtoto wa jinsia ipi?
atakuwa free zaidi hata kutokuzaa....

bonge la advice
 
Bembeleza tu, dawa yetu mabinti ni maneno matamu tu, pia tu wepesi wa kusamehe
 
Dah! Inaonyesha ni jinsi gani watu tusivyopenda watoto tusiowazaa. Ikiwezekana mrudie mmoja kati ya wale
 
Pole sana. Lkn kilichojificha ndani ya kuvunja vitu ni kasoro kubwa na kielelezo cha ROHO MBAYA. Yaani Tukose wote na hao watoto wasifaidi. Hakuna sababu ya kuuma maneno, huyo mtu hawezi kuwapokea hao watoto, na wakirudi kwa baba yao ni mateso mtindo mmoja. Kadri mnapozungumza kupatana, suala la kuvunja vyombo liwe sehemu ya mjadala, msiliweke kando eti ni HASIRA.
 



Pole sana Mikela na mkasa ulokupata. Dada bado anahasira ungempa nafasi ya kupoa, akisha poa kili ukweli kwake kua ulikua unaogopa kumkwaza lakini hukuwa na nia mbaya.

Huyo dada amechanganikiwa cause nafikiri anakupenda sana, hapo mahala kafika na hakutegemea kua kuna wakati inaweza fika mkapata tatizo la kusababisha muachane. kilichomchanganya zaidi kichwani kwake sio kusikia kua una mtoto mwingine... bali kwamba wewe si mwaminifu kabisa na kwamba unaweza mficha kitu kikubwa kama hicho! maswali anayojiuliza ni kua atakuamini vipi tena? una siri gani nyingine hujamwambia? watoto ni hao wawili tu? ungemwambia wewe mwenyewe ingekua kesi nafuu kidogo - lakini issue kagundua mwenyewe. Na usipoangalia huyo dada unampoteza hata kama bado anakupenda; Trust ni muhimu sana katika mahusiano...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…