POLE SANA,
PAMOJA NA HUYO MCHUMBA WAKO, NA NAAMINI KUPITIA HILI UMEJIFUNZA NA KUJUA MADHARA YA UONGO NA USIRI HATA KATIKA
MAMBO YA MSINGI KWA WAPENZI, LAKIN pia SHUKURU KWA SABABU KUPITIA HILO TATIZO UMEWEZA KUJUA TABIA YA HUYO,
MCHUMBA WAKO PINDI ANAPOKASIRIKA. UTAKUWA MAKINI SANA ILI USIMUUDHI,MANAKE UKIMUUDHI IPO HATA WEWE ANAWEZA,
KUKUDHURU,NI MTU AMBAYE HAWEZI KUCONTROL HASIRA ZAKE. JAPO NI KWELI INAUMA LAKIN HAO WATOTO ULIWAZAA UJANANI,
KABLA HAUJAKUTANA NAYE HAKUKUWA NA SABABU YA KUWA MBOGO KIASI HICHO,JE UKIJA KUZAA NJE MKIWA NDOANI ITAKUWAJE??,
ATAKUNYOFOA ULIMI WAKO KWA UKUCHA..lol.
WATU WOTE WAMECHANGIA VIZURI MPE MUDA HASIRA ZISHUKE HALAFU MPATE MUDA WA KUWEKANA SAWA,OMBA MSAMAHA KWA BIDII ZOTE.
Halafu nadhani hata mkioana naona hao watoto wako usiwalete hapo nyumbani kwako,
huyu siyo mama wa kulea mtoto asiyemzaa mwenyewe,
watoto wako watakosa upendo pia nyumbani kwako hakutakuwa na maelewano mazuri kati ya
mama yao wa kambo na watoto wako,kuepusha hayo watunzie mbali na mazingira ya huyo kama
atakuwa mkeo.Ksb nijuavyo mimi hakuna malaika so hao watoto wanaweza kumuudhi then kwa hasira hizo,
anaweza kuwafanya kitu mbaya sana .Kulea watoto kuna changamoto sana,kama mzazi na mlezi lazima,
uwe unajua kudhibiti hasira,upendo,uvumilivu ndani yake.
Kama MNAPENDANA KWA DHATI hao watoto wasiwe kikwazo cha upendo wenu,Omba msamaha maisha ya mapenzi yaendelee.