Du mkuu umenivunja mbavu,,, binafsi sijaona hicho aliochookiita macho ya dunia yako Igunga..jambo lingine nlilolifanyia tathmini ndongo huju january si mzungumzaji mzuri mfano katika hotuba ametamka "CCM wamekamata ardhi na kwa sasa wako angani" je kauli hii inahusiana nini na mahitaji ya wanaigunga?
January makamba pamoja na kubebwa rakini habebeki hana mvuto, hana uwezo wa kurimudu jukwaa na pombe nyingi kule morogoro enzi zake zimeharibu sura yake anaonekana ka zezeta sasa
aaaaah mkuu,una uhakika?huyu ni rais mtarajiwa!
Kumbe nae ni mropokaji kama baba yake?
kilaza wetu maarufu baada ya kutua igunga amedanganya wananchi wa igunga eti macho ya dunia yako igunga
macho ya dunia ipi kama uchaguzi mkuu wa rais dunia haina habari
Kumbe nae ni mropokaji kama baba yake?
Kumbe nae ni mropokaji kama baba yake?
Mkuu hapo kwenye Blue umeniacha hoi sana, hata mimi nililiona nilitakakuiposti usiku huo huo hapa jamvini lakini nashukuru kwa kuliona kwako hili. Kweli kabisa Tumaini la wana Igunga ni CDM.Ni macho ya watanzania wenye access ya habari pekee ndio wanaoiangalia Igunga kwa sasa, sio Dunia
Niliona jamaa mmoja na bango limeandikwa 'Chadema,tumaini letu wana Igunga' huyu jamaa alikuwa amechoka sana tena sana maskini...
Nadhani tumaini la wana Igunga na watanzania wote ni serikali komavu ,na si vyama vya siasa...so painful hii nchi tunakoelekea kwa sasa...
But again pengine siasa hizi zimeleta changamoto ya mwamko wa mwenendo wa serikali, zamani serikali had an 'I don't care attitude' sasa hivi CDM whistles and govt listens @least bungeni....
Ni kweli January si mzungumzaji kama akina Zitto lakini ni bingwa wa fitina yule jamaa, ana vyanzo vingi sana vya habari jambo ambalo ni advantage yake. Ukichunguza hoja nyingi tata bungeni yeye aliibuka kama mtu wa kati (mpatanishi) na kutoa suluhisho tena la serikali kama si chama!Du mkuu umenivunja mbavu,,, binafsi sijaona hicho aliochookiita macho ya dunia yako Igunga..jambo lingine nlilolifanyia tathmini ndongo huju january si mzungumzaji mzuri mfano katika hotuba ametamka "CCM wamekamata ardhi na kwa sasa wako angani" je kauli hii inahusiana nini na mahitaji ya wanaigunga?
Atapotea kwenye duru za Kisiasa kama Nnauye Junior wa JF.Labda Raisi wa CCM, kichwa kama baba yake kasoro nundu! Aende akaoge tena ile dawa ya mvuto kwa babu yake tanga aliyooga kipindi kile cha bunge imeshachuja. Na asipojiangalia atapoteza mvuto na kupotea moja kwa moja.