Uwoya adaiwa ndio chanzo cha Dogo Janja kuwa na muonekano wa kike

huyu dogo hamuwezi huyo demu wake, huyo Uwoya anataka mwanaume mbishi kama mimi
 
Yaani mwanaume unajiremba kike, hadi dera unavaa eti ni ubunifu?
 
Aiseeee.......[emoji45] [emoji45]
Mdomo wangu umebaki wazi wallah [emoji47] [emoji47]
 
Siku si njingi kijana mwenzetu akilt yake itakuwa kama Chidi benz
 
Nilimsikia jamaa fulani anasema Dogo Janja ANA MDOMO MTAMU KUNYONYA. Nikashangaa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…