Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Hawezi kumkalia EDA katauti kwa kuwa walisha achanaatakuwa yupo edda
Hizo ndio zinaitwa kero za muungano.
bro kama wewe ni mwanaume aisee shida ipoKwa habari za kunyapia nyapia ni kwamba Irene Pancras Uwoya (Sheila Abdul) aanza kumchukia dogo janja kiasi cha kuyumbisha penzi lao na mbaya zaidi amekuwa akimnyima penzi dogo janja na mara nyingi hupenda kumkwepa kwepa janjaro na kiasi fulani anahisi kama janjaro ndo chanzo cha mumewe kipenzi Hamadi Kataut.
Dogo janja mara kwa mara akitafutwa kujibu suala hili la kunyimwa penzi na uwoya amekuwa akibabaika sana na muda mwengine hupenda kujibu nje ya mada ili asiendelee kuulizwa.
Dogo hakushauriwa/kushaurika. Uwoya ni kulumbembe wa level nyingine. siyo level ya kumfanya mke. Hata hivyo binadam hujifunza kutokana na makosa. Yeye na wengine wajifunze kwamba "kunguru hafugiki"Ila dogo anauthubutu na ujasiri wa kiwango cha Tarmac road..,
Baada ya Dr shika kuzima kiki zao na wakapotea na kufa kifo cha mende miguu juu ,nyanganyanga kwa sauti ya lipumba
Wameamua kuja kwa kiki nyingine
Natamani Dr shika atoe kiki moja matata ili kiki za hawa majamaa ziyeyuke tena
Baada ya Dr shika kuzima kiki zao na wakapotea na kufa kifo cha mende miguu juu ,nyanganyanga kwa sauti ya lipumba
Wameamua kuja kwa kiki nyingine
Natamani Dr shika atoe kiki moja matata ili kiki za hawa majamaa ziyeyuke tena
Kataut cyo mkiristo mkuuHawezi kumkalia EDA katauti kwa kuwa walisha achana
Pia wakristo huwa hawana EDA.
"Wapiga chabo"Aiseeee aiseeee hadi ya chumban mnafatiliaaaa!!?
Rekebisha usemi hakuwa kipenzi chake alichokifuata kwa Ndiku hakukipata akandoka, kipenzi chake ni dogo janja maana kwa ndiku hakukubali kubadili dini kwa dogo kabadili mwenyewe sasa huu unafiki wa kujidai ati mumewe kipenzi imetoka wapi? Nafsi itamsuta maisha yake yoteKwa habari za kunyapia nyapia ni kwamba Irene Pancras Uwoya (Sheila Abdul) aanza kumchukia dogo janja kiasi cha kuyumbisha penzi lao na mbaya zaidi amekuwa akimnyima penzi dogo janja na mara nyingi hupenda kumkwepa kwepa janjaro na kiasi fulani anahisi kama janjaro ndo chanzo cha mumewe kipenzi Hamadi Kataut.
Dogo janja mara kwa mara akitafutwa kujibu suala hili la kunyimwa penzi na uwoya amekuwa akibabaika sana na muda mwengine hupenda kujibu nje ya mada ili asiendelee kuulizwa.