Uwoya amnyima penzi dogo janja tangu Ndiku afe.

Uwoya amnyima penzi dogo janja tangu Ndiku afe.

Dogo hakushauriwa/kushaurika. Uwoya ni kulumbembe wa level nyingine. siyo level ya kumfanya mke. Hata hivyo binadam hujifunza kutokana na makosa. Yeye na wengine wajifunze kwamba "kunguru hafugiki"
Mkuu inawezekana kweli Dogo aliwavimbia waliomshauri ila wale wakubwa zake kukubali kumuozesha Dogo huku wakijuwa fika wanamvisha Bomu kiunoni pale wamezingua, mana inawezekana Genye ndo zilikuwa zinaongoza akili ya Dogo. Aidha tuwatakie Ndoa yenye furaha na amani tele!!!
 
hivi mmejauje kama anamyima?...wa kusema ni dogo janja lkn kwamaelezo yako umesema dogo akiulizwa anakwepa
 
Back
Top Bottom