Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Imekaa vzr .tuna subiri muendelezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao nitakuja na uzi waoKwahiyo Hao wazungu Tunao waona wana chinjana na wa Palestine nini kipo Hapo?
Na Bustani ya Eden iko Africa!!Mweusi ameumbwa Africa na yupo Africa na atazidi kuishi Africa.
Na yule Alie nje ya afrika atarudiiiii
Ijapokua Kuna uongo mwingi, lakini biblia ni historia ya mtu MWEUSI.
Hakuna taifa la kiarabu Duniani hao unao waona hao wanao jiita waarabu, sijui Bara Arab!! hakuna lolote ni Machotara wa kizungu na waafrica pure!!....ila Mungu aliwahi sema kamwe chuma na udongo havita shikamana(rejea ndoto ya Nabii Daniel)kwanza ni kupitia rekodi za kihistoria za waarabu,
Naskializia utamu[emoji16]. Endelea kuusu wanefili wa leo.Hakuna taifa la kiarabu Duniani hao unao waona hao wanao jiita waarabu, sijui Bara Arab!! hakuna lolote ni Machotara wa kizungu na waafrica pure!!....ila Mungu aliwahi sema kamwe chuma na udongo havita shikamana(rejea ndoto ya Nabii Daniel)
Manake nikuwa Hao machotara na sisi weusi ni kamwe kuwa wamoja, hata uzae vipi na Mzungu hiyo Damu haita changanyana na watu weusi watajitenga tu!! na wao watakuwa weupeee!!...na weupe hatawapenda weusi...na weusi watawashangaa weupe!
na ndivo ilivo mpaka leo!! zaa na Mzungu then mpeleke huyo mwanao kijijini hukooo Kiribho ujamaa village uone atakavyo shangaza watu wa huko!... jamii ya Waarabu walikuwa ni watu weusi!..
ila hao wagunya wakapora hilo jina na wakawafukuzilia mbali watu weusi kuelekea kusini mwa jangwa la Sahara. mpaka leo iko ivo!! na huko kusini waliogopa jua na mbung'o! ziliwangata si kawaida! wkt huo hakukuwa na Dawa!
Baadaye sana wakajipendekeza upya baada ya kuona Lugha ya Kiyahudi kinaongewa sana Africa!! hapo wakajifanya wafanya Biashara ya utumwa na waleta Maendeleo kwa watu washamba ili tupigwe changa la macho!! kuwa wao walikuja huku km wafanya Biashra!
Na kweli Historia ikaandika ivo upya kwa nguvu na vitisho! Dini za asili za wayahudi weusi ikazimwa miaka kibao na Biblia zilichomwa moto Matani kwa matani yakatupwa Baharini.ilikuwa ni marufuku Mtumwa mweusi kusoma Biblia wala kusali! kote Duniani!
Misri ya mweusi ikapigwa kiberiti!! Mkataba kuu ya Faraoh wa Misri ikapigwa moto!! na weupe weengi tu Manguli wa sayansi walisoma nakupata maarifa ya vita hapoo Misri ya weusi mfano Archimedes, Aristotle, Avogadro nk!
na haya yooote yameandikwa kwenye Biblia takatifu! acha hii ya leo ya UK! USAnk...... original ipo?? hivi umewahi kujiuliza pale Biblia inaposema ivi ''Wanefili walikuwepo kabla na Baada ya Gharika??''.....je hao watu ndo ni akina nani leo hii??
Mpaka leo hujui Tz ilitoka vip? Hata kenya?Hizi soga huwa napenda kuzisoma.
Kwanini tuko hapa tulipo!??
Okay tuachane na hayo je asili yetu sisi watanzani ni wapi/ipi. Maana mara nyingi watu humu huuelezea uafrika kwa ujumla wakigusia nchi za kaskazini tu.
Hutaskia S.A ikitajwa wala kenya wala hapa tz.
Huyu jamaa kaja hadi karibia mwaka 1500 AD lakini wala hajazigusia nchi zetu hizi ina maana mpaka mwaka huo hakukua na watu hizi nchi??
Haya makabila yametokea wapi??
Hiyo black panther walioitengeneza na wanaoimiliki ni kina nani??Nenda YouTube andika how white people worshipped black deities..mtafute dockter sebi.nimegundua waafrika ndo watu original.Dada zangu acheni kujibleach weusi ni asili ya Muumba.toka nimegundua uthamani wa weusi wangu nimempenda Mungu zaidi.watu weusi tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.mkorogo ni propaganda za MTU mweupe kutupotezea uthamani wetu...wanajua tu watu asili wanatuoneaa wivuu mno.wametudanganya sana.tupende weusi wetu.hata civilization ya Europe ni MTU mweusi kaupeleka.muvie ile black panther inasemelea teknolojia ya mwafrika iliyouzwa na washenzi kwa weupe.weusi Mali...
Nimeipenda sana hii!!...... lkn binafsi ilinichukua miaka mingi kulijua hili jambo!! JF big up sana!....tena ndo Bustanini kabisaaa!! bila chenga wanyama wa kila aina ni hapo!Africa masharik ilipokuwa edeni ya kale ama bustan ya edeni na falme za babilon
Musa mtumishi wa Mungu pamoja na wayahudi wote Mungu hakutaka waoe kwenye mataifa mengine au koo zingine hakuna kuhoji kwanini Mungu alitaka hiviwayahudi walimkasirikia Musa kwa sababu ya mwanamke mkushi(muafrika) aliyekuwa amemuoa
Hao ni wazungu walikusanywa tu na UN nankufanywa Taifa kuanzia miaka ya 1948 hakuna jipya hukoKwahiyo Hao wazungu Tunao waona wana chinjana na wa Palestine nini kipo Hapo?