Uyahudi na Watu weusi

Uyahudi na Watu weusi

Mweusi ameumbwa Africa na yupo Africa na atazidi kuishi Africa.
Na yule Alie nje ya afrika atarudiiiii

Ijapokua Kuna uongo mwingi, lakini biblia ni historia ya mtu MWEUSI.
Na Bustani ya Eden iko Africa!!
 
kwanza ni kupitia rekodi za kihistoria za waarabu,
Hakuna taifa la kiarabu Duniani hao unao waona hao wanao jiita waarabu, sijui Bara Arab!! hakuna lolote ni Machotara wa kizungu na waafrica pure!!....ila Mungu aliwahi sema kamwe chuma na udongo havita shikamana(rejea ndoto ya Nabii Daniel)

Manake nikuwa Hao machotara na sisi weusi ni kamwe kuwa wamoja, hata uzae vipi na Mzungu hiyo Damu haita changanyana na watu weusi watajitenga tu!! na wao watakuwa weupeee!!...na weupe hatawapenda weusi...na weusi watawashangaa weupe!

na ndivo ilivo mpaka leo!! zaa na Mzungu then mpeleke huyo mwanao kijijini hukooo Kiribho ujamaa village uone atakavyo shangaza watu wa huko!... jamii ya Waarabu walikuwa ni watu weusi!..

ila hao wagunya wakapora hilo jina na wakawafukuzilia mbali watu weusi kuelekea kusini mwa jangwa la Sahara. mpaka leo iko ivo!! na huko kusini waliogopa jua na mbung'o! ziliwangata si kawaida! wkt huo hakukuwa na Dawa!

Baadaye sana wakajipendekeza upya baada ya kuona Lugha ya Kiyahudi kinaongewa sana Africa!! hapo wakajifanya wafanya Biashara ya utumwa na waleta Maendeleo kwa watu washamba ili tupigwe changa la macho!! kuwa wao walikuja huku km wafanya Biashra!

Na kweli Historia ikaandika ivo upya kwa nguvu na vitisho! Dini za asili za wayahudi weusi ikazimwa miaka kibao na Biblia zilichomwa moto Matani kwa matani yakatupwa Baharini.ilikuwa ni marufuku Mtumwa mweusi kusoma Biblia wala kusali! kote Duniani!

Misri ya mweusi ikapigwa kiberiti!! Mkataba kuu ya Faraoh wa Misri ikapigwa moto!! na weupe weengi tu Manguli wa sayansi walisoma nakupata maarifa ya vita hapoo Misri ya weusi mfano Archimedes, Aristotle, Avogadro nk!

na haya yooote yameandikwa kwenye Biblia takatifu! acha hii ya leo ya UK! USAnk...... original ipo?? hivi umewahi kujiuliza pale Biblia inaposema ivi ''Wanefili walikuwepo kabla na Baada ya Gharika??''.....je hao watu ndo ni akina nani leo hii??
 
Hakuna taifa la kiarabu Duniani hao unao waona hao wanao jiita waarabu, sijui Bara Arab!! hakuna lolote ni Machotara wa kizungu na waafrica pure!!....ila Mungu aliwahi sema kamwe chuma na udongo havita shikamana(rejea ndoto ya Nabii Daniel)

Manake nikuwa Hao machotara na sisi weusi ni kamwe kuwa wamoja, hata uzae vipi na Mzungu hiyo Damu haita changanyana na watu weusi watajitenga tu!! na wao watakuwa weupeee!!...na weupe hatawapenda weusi...na weusi watawashangaa weupe!

na ndivo ilivo mpaka leo!! zaa na Mzungu then mpeleke huyo mwanao kijijini hukooo Kiribho ujamaa village uone atakavyo shangaza watu wa huko!... jamii ya Waarabu walikuwa ni watu weusi!..

ila hao wagunya wakapora hilo jina na wakawafukuzilia mbali watu weusi kuelekea kusini mwa jangwa la Sahara. mpaka leo iko ivo!! na huko kusini waliogopa jua na mbung'o! ziliwangata si kawaida! wkt huo hakukuwa na Dawa!

Baadaye sana wakajipendekeza upya baada ya kuona Lugha ya Kiyahudi kinaongewa sana Africa!! hapo wakajifanya wafanya Biashara ya utumwa na waleta Maendeleo kwa watu washamba ili tupigwe changa la macho!! kuwa wao walikuja huku km wafanya Biashra!

Na kweli Historia ikaandika ivo upya kwa nguvu na vitisho! Dini za asili za wayahudi weusi ikazimwa miaka kibao na Biblia zilichomwa moto Matani kwa matani yakatupwa Baharini.ilikuwa ni marufuku Mtumwa mweusi kusoma Biblia wala kusali! kote Duniani!

Misri ya mweusi ikapigwa kiberiti!! Mkataba kuu ya Faraoh wa Misri ikapigwa moto!! na weupe weengi tu Manguli wa sayansi walisoma nakupata maarifa ya vita hapoo Misri ya weusi mfano Archimedes, Aristotle, Avogadro nk!

na haya yooote yameandikwa kwenye Biblia takatifu! acha hii ya leo ya UK! USAnk...... original ipo?? hivi umewahi kujiuliza pale Biblia inaposema ivi ''Wanefili walikuwepo kabla na Baada ya Gharika??''.....je hao watu ndo ni akina nani leo hii??
Naskializia utamu[emoji16]. Endelea kuusu wanefili wa leo.
 
Hizi porojo tunazijua taaangu tuko na miaka mitano tu!........lkn pia kumbuka hao! wayahudi weusi Wazawa wa Uyahudi ya kale walizaa na Jamii ya weupe including watawala wa wakati huo yaani Magiriki/Wayunani pia,

na huo uzao,(Machotara/Arabs) ndo upo hapo Mpaka leo na mpaka kesho, ...je wao siyo Wayahudi?? Ukizingatia kwamba mazalia ya vizazi vya huko nyuma mpaka sasa yana damu(DNA) ya kiyahudi original??..wao unawaweka kundi gani?

Kumbuka huko nyuma wakati wayahudi walipo kaa utumwani Misri takribani miaka 400! si padogo hapo!!....wakiwa hukoo utumwani....nchi yao ya Isarel walikaa watu !! je hao watu waliokuwa wakiishi pale unawaweka kundi gani?

kwa sababu wayahudi walipo irudia nchi yao ya ahadi, kwa msaada wa Mungu, hawakuipata kirahisi tu!! iliwabidi wapigane vita kali hasa, ili waipate dhidi ya jamii ya watu waliokuwepo hapo!!.... je waliokutwa pale walienda wapi??

Lazima na wao watakuwa ni wayahudi! kwa kuwa Biblia haisemi walipo shindwa ile vita walikimbilia wapi!!....je hao waliokutwa pale walikuwa ni weusi pia, au weupe??.....(Biblia)

Mungu anatamka wazi aki sema namnukuu ''Israel ni nchi yangu humpa yeyote nimpendaye'' na kiukweli Israel iliwahi kaliwa na itakaliwa na Mataifa meeengi! kulingana na Mungu anavotaka yeye! na ndivo ilivo!

Ni kama ilivo hapo kwenu Tanganyika au zanzibar kuna wahindi, waarabu, wazungu wengiii tena wa asili kabisaaaa km tajiri Dewji huwezi kusema yule si mtanganyika na ukaeleweka!..ivoivo na Israel pia!

Sawa labda utasema Manabii walikuwa weusi!! sawa uko sahihi!! lkn hii haiwafanyi Wazungu pia wasiwe Manabii kwa muktadha uleule, pia hata kwa majina mfanano! Mfano leo kuna Nabii Bhonke ni mzungu huyu,

Mwingira mswahili, TB joshua nk lkn Mbaguzi mmoja miaka ijayo huko mbele atatamka maksudi tu eti Manabii wa zamani zile ni weusi tu.. just because alimuona TB joshua/mwingira tuu! hilo ni kosa la kutokujua!

Mungu alitamka waziii namnukuu ''Msipo niabudu na kuzishika amri zangu nitanyanyua Mawe yaniabudu''....basi jua haya ya leo ndo mawe yake Mungu mwenyewe msilie lie hapa!!...mjilaumu kivyenu ...... Waarabu/Waafrica,

Hawa walishindwa kijinga sana tu kumuabudu Mungu, na kutunza kumbukumbu za mji Mtakatifu Jerusalemu, MUNGU AKANYANYUA hayo mawe yake, yatunze hizo sehemu taktifu zenye kumbukumbu nyeti....Mfano

Mlima mtamu sana na nyeti Duniani.....Mt of Ascensions!... Hapa piga ua, Mtalii mweusi utapaona kwa mbaaali tu!! na pia huambiwi maana yake,... panatunzwa na kulindwa kwa gharama kubwa kuliko chochote Duniani!

Tena MUNGU Aliwaambia weusi wazi wazi juu ya Madhara watakayo pata km wakimuacha!! namnukuu......''Mlitoka Misri kwa miguu yenu!! lkn sasa mkiniasi tu ... Mtarudishwa Misri kwa Mitumbwi na huko mtaabudu msicho kijua''........

Mpaka sasa navoandika hapa andiko hilo ni kweli na uzima hakuna kilicho pindishwa hapo ...waafrica wooote isipokuwa Mimi na wachache ...mnaabudu msichokijua!......Hamuelewi somo hilo!

akawalaani zaidi akasema ...Mtajitoa kwa Maadui zenu! wawanunue nyie na Mabinti zenu lkn hamtanunuliwa!!.......Na haya yoote ni kweli yalikuwepo na/yana timia mpaka leo!.......kumbukumbu hii ipo hai mpaka sasa navoongea nawe!

WEUSI wooote leo wanatamani kwenda Ulaya/USA nk! lkn ni kwa shida mnooo!karibia na kifo! kumbuka zamani Babu zetu walichukuliwa huku wakilia kwa uchungu mkubwa na wengine walijiua!!

lkn leo kiambie kibabu kiafrica cheusi kuhusu trip za Ulaya weee! !faster tu katasahau hata kuvaa kufuri!.....na hata kufika huko Ubalozini kwao ni kwa mbinde, unapigwa inter view mpka ukome na unalipa kiingilio .non refendable fees!..

na mpaka uchujwe weeee!! ubalozini tena kwa Malipo maalumu! lkn wao kuja huko kwenu africa aaah! faster tu! hya yooote mlishaambiwaga na bado!! ...mpaka aje mwana wa Adamu!

Yesu alisema ''mpaka arudi mara ya pili'' ndo mtarudia mji huo.........Sasa weye leo Nenda palee ''Tel Aviv'' jifanye yahudi mweusi umerudi kwenu utachapwa mboko mpaka usahau naniliu......
 
jamani acheni kukomaza vichwa mi mbona niliacha huu ubishi muda weusi ni vijakazi tuu uwezi shindana na mweupe kama una huo uwezo wa kiyahudi pambaneni mrudishe hiyo miliki...wakuu weupe ndio watu walio bora kwa kila kitu endeleeni kupiga soga kwenye hivi vifaa vyao nyie mmekimbia mazeze na ngoma vijijini kwenu huko!![emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hizi soga huwa napenda kuzisoma.

Kwanini tuko hapa tulipo!??
Okay tuachane na hayo je asili yetu sisi watanzani ni wapi/ipi. Maana mara nyingi watu humu huuelezea uafrika kwa ujumla wakigusia nchi za kaskazini tu.

Hutaskia S.A ikitajwa wala kenya wala hapa tz.
Huyu jamaa kaja hadi karibia mwaka 1500 AD lakini wala hajazigusia nchi zetu hizi ina maana mpaka mwaka huo hakukua na watu hizi nchi??

Haya makabila yametokea wapi??
 
Hizi soga huwa napenda kuzisoma.

Kwanini tuko hapa tulipo!??
Okay tuachane na hayo je asili yetu sisi watanzani ni wapi/ipi. Maana mara nyingi watu humu huuelezea uafrika kwa ujumla wakigusia nchi za kaskazini tu.

Hutaskia S.A ikitajwa wala kenya wala hapa tz.
Huyu jamaa kaja hadi karibia mwaka 1500 AD lakini wala hajazigusia nchi zetu hizi ina maana mpaka mwaka huo hakukua na watu hizi nchi??

Haya makabila yametokea wapi??
Mpaka leo hujui Tz ilitoka vip? Hata kenya?

Jibu ni kuwa, ktk asili ya Africa OG kulkuwa na Asili ama falme4 ambazo ndzo chimbuko la jamii zote za watu weusi, ndiomaan unakuta kuna kuna ubantu, nilotes,kush&nubies na mengineyo nimesahau kidg.

Ukitaka kujua waTz wametoka wapi anza kufuatilia kila kabila asili yake, mfano ukianza na kabila la wangoni utakuta ni jamii ya wabantu waliokuja Tz wakitokea south afrika na asili yao ni huko huko, na unapokuja kwa mlugulu nae ni mbantu, so tutamuinclude ktk kundi la ubantu alilopo huyo mngoni, pia mnyakyusa,msukuma nao ni wale wale wabantu tokea msumbiji&zimbabwe,south&west africa na hawa wote ni aina moja ya kundi la ubantu ktk makabila tofauti.

Na unapokuja kwa mmasai,mchaga mrundi ama mrwanda na muithiopia hawa wote unawainclude ktk kundi ka wakushi ambapo ndipo asili ya waethiopia wote na wengine wa sudani ama wanubies hawa wote kundi moja ktk vijikabila tofauti na ktk
kundi hili la sudanese ya sasa ama nubies na jamii za makabila yanayotoka hapa ndlo walilounda ile misri ya kale ama kemet hao watu wa nubies ama sudan ya kileo.

Sasa ili kujua wew na kabila lako umetokea wapi jarbu kuchunguza up ktk kundi lip? Na baada ya hapo ujuwe pia hata makundi ndyo yaliunda empire za afrika ya kale yaan Africa masharik ilipokuwa edeni ya kale ama bustan ya edeni na falme za babilon

Pia afrika kusini walipokuwa falme za zaman, na hao wabantu asili yao ni Africa ya kati na magharibi yote na hapa watu wa makabila yanayounda ubantu ndipo asili yao(yerusalem),
Hata east afrika walikuwepo japo ilikuwa ni kusini mwa ngombe ya kushi(ethiopia).

Na mujuwe kuwa baada ya uvamiz wa hao watu weupe walivuruga kabisa tawala za kiafrika na kusababisha migration kubwa za jamii za watu weusi na kupelekea mutafaruko na ngome kuvunjika ndio haya mpka sasa hamujui asili zenu ni wapi kwkuwa tumeshaharibiwa.

Ni wachache sana wenye elimu hii maana hakuna mtaala wa mzungu utakufundisha haya mambo kama hutaki kujifunza nje ya box.

Dunia nzima ilitakiwa ikaliwe na mtu mweusi tu lkn baada ya sisi kuhasi na kushirikiana na wale mashetan ndipo likatokea anguko la mtu mweusi na kuja kutokea uzao wa laana wa watu weupe kuja kuitawala dunia na uzao wa mtu mweusi.

Hapo nyumbani kwako tafta udongo wa aina yoyote na uunde kinyago mfano wa mwanadamu and then ukikaushe kikija kukamilika na kuwa mfanano na mtu mweupe basi nakuhakikishia acha kuamini kuna Muumba maana elimu ya dini imeongopa kuwa mtu aliundwa kwa udongo then why asifanane na mtu mweusi amby ndy original creation ya soil.

Makabila 12 ya israel ya kwel yanatoka ktk jamii ya watu weusi japo tumeshagawanyika ktk hivi vijikabila vya sasa visivyo na msingi wowote wa maana lkn main/ nature yetu inaingia ktk yale 12 tribes ambayo mmeshayasahau.
 
Mtu aanayesema Hao waarabu wa kileo wanaojiita wayahudi walikuwepo utumwani atuletee huo ushahidi wa uwepo wa watumwa wa kiisrael nchini misri,najua hujui hata hiyo misri inayozungumziwa ktk biblia ni ipi, au kama anazani ni hapo yalipo mapiramidi hee? Bas atuletee ushahidi wa kisayansi na kihistoria, na ukija kuwachunguza hao wayahudi wenu wa uongo hapo middle east hawana historia yoyte ya kuwepo utumwan pia hawana historia yoyote ile ya maana nje ya propaganda zilizozuka baada ya kudundwa na hitra, hao wanaojiita wayahudi wa kileo ni jamii za wakimbiz wa kiarabu tokea uturuki waliorubuniwa na mzungu kuikalia ardhi ya palestina kimabavu kwa maslahi mapana ya kiuchumi, kidini(kudanganya) na kuunda migogoro ambayo nayo ni mtaji wa hao hao wazungu wazee wa kuunda tatizo na kuliletea solution [emoji23][emoji23]
 
Nenda YouTube andika how white people worshipped black deities..mtafute dockter sebi.nimegundua waafrika ndo watu original.Dada zangu acheni kujibleach weusi ni asili ya Muumba.toka nimegundua uthamani wa weusi wangu nimempenda Mungu zaidi.watu weusi tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.mkorogo ni propaganda za MTU mweupe kutupotezea uthamani wetu...wanajua tu watu asili wanatuoneaa wivuu mno.wametudanganya sana.tupende weusi wetu.hata civilization ya Europe ni MTU mweusi kaupeleka.muvie ile black panther inasemelea teknolojia ya mwafrika iliyouzwa na washenzi kwa weupe.weusi Mali...
 
Nenda YouTube andika how white people worshipped black deities..mtafute dockter sebi.nimegundua waafrika ndo watu original.Dada zangu acheni kujibleach weusi ni asili ya Muumba.toka nimegundua uthamani wa weusi wangu nimempenda Mungu zaidi.watu weusi tumeumbwa kwa mfano wa Mungu.mkorogo ni propaganda za MTU mweupe kutupotezea uthamani wetu...wanajua tu watu asili wanatuoneaa wivuu mno.wametudanganya sana.tupende weusi wetu.hata civilization ya Europe ni MTU mweusi kaupeleka.muvie ile black panther inasemelea teknolojia ya mwafrika iliyouzwa na washenzi kwa weupe.weusi Mali...
Hiyo black panther walioitengeneza na wanaoimiliki ni kina nani??
 
wayahudi walimkasirikia Musa kwa sababu ya mwanamke mkushi(muafrika) aliyekuwa amemuoa
Musa mtumishi wa Mungu pamoja na wayahudi wote Mungu hakutaka waoe kwenye mataifa mengine au koo zingine hakuna kuhoji kwanini Mungu alitaka hivi
 
Koran Ukiisoma haielezei kuwa Wayahudi na Wakristo ni weusi. na Allah anaufahamisha kabisa ulimwengu wa Uislam kuwa Wayahudi na Wakristo ndio waliopata kitabu kabla yao, tuendelee weusi una picha mbaya maana Aposte MO alioteshwa ndoto akamuona Shetwan akiwa huko Hell na watu wa motoni wanangozi nyeusi pia ni kosa na ni marufuku Kumuita Mtume kama mtu mweusi, Maana Weusi ni Watumwa tu hata Mo alimiliki Mtumwa wake, Watu wa Ethiopia wamezungumziwa kuwa ni watu weusi tena wanafanana na satan kwa weusi wao. Hadith ya Sahih Bukhari 9:87:161
Kwa wale Wafia Dini ya Haki wanajijua rangi za Ngozi zao na hawana nafasi kwenye Paradiso
Profile photo for Ahmed Aleem
Ahmed Aleem
·
Follow
1y
Is it true prophet Muhammad compared a black man to Satan? Is it true that it’s punishable by death to call prophet Muhammad black (it’s said in a Hadith is that Hadith authentic)? Is it true that the people that go to hell all turn black in Islam?
Well here are some hadiths
Narrated 'Abdullah: The Prophet said, "I saw (in a dream) a black woman with unkempt hair going out of Medina and settling at Mahai'a, i.e., Al-Juhfa. I interpreted that as a symbol of epidemic of Medina being transferred to that place (Al-Juhfa)."
Sahih Bukhari 9:87:161
"I have heard the Apostle say: 'Whoever wants to see Satan should look at Nabtal.' He was a sturdy black man with long flowing hair, Ishaq:243
Narrated Anas bin Malik: Allah's Apostle said, "You should listen to and obey, your ruler even if he was an Ethiopian (black) slave whose head looks like a raisin."
Sahih Bukhari 9:89:256
In another Hadith, Mohammed is quoted as saying that Blacks are, "pug-nosed slaves". (Sahih Moslem vol. 9 pages 46 and 47).
However Arabs had negative perception of Turks and Kurds also
This is not the only example of Muhammad using negative physical descriptors for non-Arabs. He describes Turks “as if their eyes are the pupils of locusts and as if their faces are hammered shields” or “shields coated with leather.” (Bukhari 2928, Ibn Majah 4099)
Muhammad’s Arab bias is also found in his preference for freeing Arab slaves. While blacks were obviously disproportionately enslaved compared to Arabs in 7th century Arabia (including by Muhammad himself), Muhammad nevertheless highlights in multiple hadiths the superiority of freeing Arabs. (Bukhari 2543, Abu Dawud 5077, note that the term “descendant of Ishmael” means an Arab)
 
Back
Top Bottom