Hizi soga huwa napenda kuzisoma.
Kwanini tuko hapa tulipo!??
Okay tuachane na hayo je asili yetu sisi watanzani ni wapi/ipi. Maana mara nyingi watu humu huuelezea uafrika kwa ujumla wakigusia nchi za kaskazini tu.
Hutaskia S.A ikitajwa wala kenya wala hapa tz.
Huyu jamaa kaja hadi karibia mwaka 1500 AD lakini wala hajazigusia nchi zetu hizi ina maana mpaka mwaka huo hakukua na watu hizi nchi??
Haya makabila yametokea wapi??
Mpaka leo hujui Tz ilitoka vip? Hata kenya?
Jibu ni kuwa, ktk asili ya Africa OG kulkuwa na Asili ama falme4 ambazo ndzo chimbuko la jamii zote za watu weusi, ndiomaan unakuta kuna kuna ubantu, nilotes,kush&nubies na mengineyo nimesahau kidg.
Ukitaka kujua waTz wametoka wapi anza kufuatilia kila kabila asili yake, mfano ukianza na kabila la wangoni utakuta ni jamii ya wabantu waliokuja Tz wakitokea south afrika na asili yao ni huko huko, na unapokuja kwa mlugulu nae ni mbantu, so tutamuinclude ktk kundi la ubantu alilopo huyo mngoni, pia mnyakyusa,msukuma nao ni wale wale wabantu tokea msumbiji&zimbabwe,south&west africa na hawa wote ni aina moja ya kundi la ubantu ktk makabila tofauti.
Na unapokuja kwa mmasai,mchaga mrundi ama mrwanda na muithiopia hawa wote unawainclude ktk kundi ka wakushi ambapo ndipo asili ya waethiopia wote na wengine wa sudani ama wanubies hawa wote kundi moja ktk vijikabila tofauti na ktk
kundi hili la sudanese ya sasa ama nubies na jamii za makabila yanayotoka hapa ndlo walilounda ile misri ya kale ama kemet hao watu wa nubies ama sudan ya kileo.
Sasa ili kujua wew na kabila lako umetokea wapi jarbu kuchunguza up ktk kundi lip? Na baada ya hapo ujuwe pia hata makundi ndyo yaliunda empire za afrika ya kale yaan Africa masharik ilipokuwa edeni ya kale ama bustan ya edeni na falme za babilon
Pia afrika kusini walipokuwa falme za zaman, na hao wabantu asili yao ni Africa ya kati na magharibi yote na hapa watu wa makabila yanayounda ubantu ndipo asili yao(yerusalem),
Hata east afrika walikuwepo japo ilikuwa ni kusini mwa ngombe ya kushi(ethiopia).
Na mujuwe kuwa baada ya uvamiz wa hao watu weupe walivuruga kabisa tawala za kiafrika na kusababisha migration kubwa za jamii za watu weusi na kupelekea mutafaruko na ngome kuvunjika ndio haya mpka sasa hamujui asili zenu ni wapi kwkuwa tumeshaharibiwa.
Ni wachache sana wenye elimu hii maana hakuna mtaala wa mzungu utakufundisha haya mambo kama hutaki kujifunza nje ya box.
Dunia nzima ilitakiwa ikaliwe na mtu mweusi tu lkn baada ya sisi kuhasi na kushirikiana na wale mashetan ndipo likatokea anguko la mtu mweusi na kuja kutokea uzao wa laana wa watu weupe kuja kuitawala dunia na uzao wa mtu mweusi.
Hapo nyumbani kwako tafta udongo wa aina yoyote na uunde kinyago mfano wa mwanadamu and then ukikaushe kikija kukamilika na kuwa mfanano na mtu mweupe basi nakuhakikishia acha kuamini kuna Muumba maana elimu ya dini imeongopa kuwa mtu aliundwa kwa udongo then why asifanane na mtu mweusi amby ndy original creation ya soil.
Makabila 12 ya israel ya kwel yanatoka ktk jamii ya watu weusi japo tumeshagawanyika ktk hivi vijikabila vya sasa visivyo na msingi wowote wa maana lkn main/ nature yetu inaingia ktk yale 12 tribes ambayo mmeshayasahau.