MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Wanasema unaweza kuruka vikwazo vingi lkn ni mara chache sana unaweza kuruka vikwazo vyote.Michuano ya Sportpesa upande wa Simba imewachukua muda mwingi bila kutolewa sababu wamepitia njia nyepesi ukilinganisha na Singida utd lkn hatimaye leo wamekutana na kisiki.
Uzalendo kwanza lkn haibadilishi the fact kwamba Kagere na Tuyiseng... Leo lazima watupie at least kila mtu goli moja moja.
Kila la kheri vijana,Uingereza sio sehemu ya kila mtu.
Uzalendo kwanza lkn haibadilishi the fact kwamba Kagere na Tuyiseng... Leo lazima watupie at least kila mtu goli moja moja.
Kila la kheri vijana,Uingereza sio sehemu ya kila mtu.