Uzalendo na utumishi waliokuwa nao akina Sokoine, Warioba haupo tena, waliopo ni wote ni wezi tu wenye wivu

Uzalendo na utumishi waliokuwa nao akina Sokoine, Warioba haupo tena, waliopo ni wote ni wezi tu wenye wivu

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Watanzania wa leo kwa asilimia 99%, ni wezi tu, uzalendo na utumishi kwa ajili ya umma wa watanzania haupo tena, kwa leo hii usione mtu anapigia kelele mwenzake au kiongozi fulani ni mwizi ukazani huyo ni mzalendo, sivyo kabisa, huyo anapiga kelele kwa kukosa uteuzi ili yeye yale ya wizi akafanye yeye badala ya yule mteuliwa, hivyo hivyo kwa upinzani na kote Tanzania, uchungu kwa taifa na kwa watanzania haupo tena, kilichobakia ni kila mteuliwa na familia yake na genge lake kwanza.

#Ujumbe huu wa babu yenu!
 
CCM imeua taasisi watu
Don't blame ccm, hali hii tunaiona hata huko kwenye vyama vingine, uzalendo, utaifa, kama wa mwalimu haupo tena, ni vita vya kupata mali kwa kuiba mali za umma, ndicho kilichopo!,
 
Watanzania wa leo kwa asilimia 99%,ni wezi tu, uzalendo na utumishi kwa ajili ya umma wa watanzania haupo tena, kwa leo hii usione mtu anapigia kelele mwenzake au kiongozi fulani ni mwizi ukazani huyo ni mzalendo, sivyo kabisa, huyo anapiga kelele kwa kukosa uteuzi ili yeye yale ya wizi akafanye yeye badala ya yule mteuliwa, hivyo hivyo kwa upinzani na kote Tanzania, uchungu kwa taifa na kwa watanzania haupo tena, kilichobakia ni kila mteuliwa na familia yake na genge lake kwanza /
#Ujumbe huu wa babu yenu!
Uko sahihi siku hizi maana ya uongozi ni kupata nafasi ya upigaji tu. Rais wa mchongo alithibitisha hilo alipotamka, bila aibu, eti kila kiongozi ale kwa urefu wa kamba yake
 
Don't blame ccm, hali hii tunaiona hata huko kwenye vyama vingine, uzalendo, utaifa, kama wa mwalimu haupo tena, ni vita vya kupata mali kwa kuiba mali za umma, ndicho kilichopo!,
CCM ndio imejenga mfumo huo
 
Watanzania wa leo kwa asilimia 99%, ni wezi tu, uzalendo na utumishi kwa ajili ya umma wa watanzania haupo tena, kwa leo hii usione mtu anapigia kelele mwenzake au kiongozi fulani ni mwizi ukazani huyo ni mzalendo, sivyo kabisa, huyo anapiga kelele kwa kukosa uteuzi ili yeye yale ya wizi akafanye yeye badala ya yule mteuliwa, hivyo hivyo kwa upinzani na kote Tanzania, uchungu kwa taifa na kwa watanzania haupo tena, kilichobakia ni kila mteuliwa na familia yake na genge lake kwanza.

#Ujumbe huu wa babu yenu!
Hizi ni fikra mbaya kwa mustakabali wa jamii na taifa kwa ujumla.
Wazalendo wapo na pia tunatakiwa tuwajenge wengine kifikra (wenzetu, watoto wetu na vizazi vijavyo).
Kwa hiyo, unachotakiwa ni kutaja au kushawishi hatua dhidi ya wezi na mafisadi kuambatanisha na vitendo vyao.
Katika idadi ya watanzania million 60, wezi na mafisadi ni wachache wanaoweza kusafishwa kwa muda mfupi.
Tanzania ipo na itaendelea kuwepo vizazi hadi vizazi. Lazima tuwe na mawazo chanya na tuyasambaze kwa wenzetu.
 
Back
Top Bottom