SoC04 Uzalendo ndani ya mtoto wa Tanzania

SoC04 Uzalendo ndani ya mtoto wa Tanzania

Tanzania Tuitakayo competition threads

Aikasia James

Member
Joined
Jun 21, 2024
Posts
5
Reaction score
1
Taasisi ya elimu ingeandaa masomo ya kizalendo kwa watoto sio ti stadi za kazi.Watoto wanabidi wafundishwe uzuri wa nchi yao na pia kupenda nchi yao maana ndio urithi wao ni kazi yao kuilinda. Jeshini zile siku za mwanzoni huwa wanafundishwa uzalendo nyimbo za uzalendo.

Lakini kama mashuleni hata kwa mwezi mara mbili wawe na siku ya kufundishwa na watu wa kidiplomasia juu ya uzuri wa nchi yao. Na kwa kufanya hivi inatusaidia kuwafanya watoto waisamini nchi yao.Qakielezwa kuwa uzalendo ni kuzuia rushwa, wizina vitu vinginevyo visivyo haki
 
Upvote 3
Back
Top Bottom