Edward Sambai
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 2,823
- 3,831
Hivi yule mkulima tulishamalizana nae?
Kama hatukumalizana nae vp kuhusu usalama wa njiwa wetu akiruka mbali?
Kama hatukumalizana nae vp kuhusu usalama wa njiwa wetu akiruka mbali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama atamalizana nae kidiplomasiaHivi yule mkulima tulishamalizana nae?
Kama hatukumalizana nae vp kuhusu usalama wa njiwa wetu akiruka mbali?
Yote siyo muhimu hayo...Wanazengo mnafahamu ni kwanini Rais Samia aliamua kupanda ndege ya Emirates na kuacha ndege 11 mpya zimepaki?!
_________________________________
Kutoka Dar es salaam kwenda New York Marekani ni Jumla ya Km 12,050 sawa na jumla ya Km 24,100 two ways,ikiwa ni sawa na safari ya masaa 21 na dk 31 Mchana na Usiku nani sawa na masaa 43 kwenda na kurudi,
Boing 787-8 engine inatumia lita 5,400 za mafuta kwa lisaa limoja yaani ( 5,400L/h )
Fanya hivi, chukua lita 5,400 za mafuta zidisha kwa masaa 21.31 utapata jumla ya Lita 115,074 za mafuta ili kufika New York Marekani yaani ( one way)
Tunafahamu,bei ya Lita moja ya mafuta ya ndege (Jet fuel) hapa Tanzania kama trh 24|09|2021 ni $0.501/lita sawa na Tshs 1,162
Ilikupata gharama ya mafuta Dar es salaam to New York ,Chukua lita hizi 115,074 zidisha kwa bei ya lita moja ambayo ni Tsh 1,162 utapata jumla ya Tshs 133,653,240 kwa Safari moja tu ( One way)
Ilikupata gharama ya safari zote mbili yaani kwenda New York na kurudi,Zidisha gharama ya mafuta ya kwenda Tshs 133,653,240 X 2 ilikupata gharama halisi ya mafuta ya Dar es Salaam to New York two ways ,Utapata Jumla ya Tsh267,306,480 hii ni pesa ya mafuta tu yakwenda New York na kurudi Dar es salaam,
Hapa hatujazungumzia rate ya landing fees, Parking fees nanyinginezo watu wa aviation wanafahamu hizi gharama vizuri, kwakuwa Mimi si mtaalum wa mambo Aviation naomba niishie hapa kwenye mathematical calculation ya gharama ya mafuta tu ambayo ni karibu 270M,
Sasa mnaolalamika Rais katumia gharama kubwa sikieni hii,Emirates gharama ya Mtu mmoja kwenda New York na kurudi Dar es salaam kwa Economy Class ni Tsh 2,854,500 kama utakaa huko chini ya Siku 7 ,
Sasa kwa kadirio la juu kabisa tufanye mama ameenda na watu|deligates 50 japo naamini ameenda na chini ya hawa,
Chukua 2,854,500 7X 50 Utapata jumla ya Tshs 142,725,000 ,
Chukua gharama ya mafuta ya Boing 787-8 ya kwenda New York na kurudi Dar es salaam ambayo ni Tshs 267,306,240 toa 142,725.000 ambayo ni nauli ya watu 50 utapata Salio la Tshs 124,581,240,
( watu 50 ni makadirio ya juu kabisa sio idadi kamili mwenye idadi kamili anaweza kutupa )
Rais Samia anajua umasikini wa watu wake, anajua hakuna madawa, anajua barabara mbovu, anajua watu wanamaisha magumu ndio maana anasafiri na Emirates pamoja na kwamba Tanzania tunazo ndege mpya 11,
Mnaotaka rais aende na dreamliner New York rudieni kusoma uchambuzi huu, Mnaosema rais anatumia gharama kubwa kwenda New York angalieni hii nia ya Rais katika kukwepa gharama zisizo za lazima,
NB, Kitendo cha Rais Samia kwenda na usafiri wa umma amepunguza gharama ya Safari kwa 40% na kwahaki nchi ilimsubiri kiongozi wa aina hii kwa muda mrefu,
_________________________________
![]()
Flights from Dar Es Salaam (DAR) to New York John F Kennedy (JFK) | Emirates Tanzania
Book flights from Dar Es Salaam to New York John F Kennedy today. Comfortable seats, gourmet meals and award-winning entertainment.www.emirates.com
![]()
ð¹ð¿ JP54, JET A1 price in Tanzania 83.7 bbl/$ [18.02.2025]
ð¹ð¿JET FUEL A1 Tanzania = 83.7bbl/$ 18.02.2025 graphjet-a1-fuel.com
![]()
Modern commercial aircraft vs cars: which is more fuel efficient?
There are good reasons why there's a push for aircraft engines continue to deliver better fuel efficiency.www.traveller.com.au
View attachment 1952267
mpiga picha wa Nyerere anasema Nyerere alikuwa anaenda na mkewe tuUnapofikiri unasifia kumbe unaharibu...., Bure hizi hoja ungeachana nazo kuliko kuwakumbusha watu.... ?
Unajua uzalendo zaidi na kupunguza gharama ? Kwenda na delegation ya watu wachache.
Wanazengo mnafahamu ni kwanini Rais Samia aliamua kupanda ndege ya Emirates na kuacha ndege 11 mpya zimepaki?!
_________________________________
Kutoka Dar es salaam kwenda New York Marekani ni Jumla ya Km 12,050 sawa na jumla ya Km 24,100 two ways,ikiwa ni sawa na safari ya masaa 21 na dk 31 Mchana na Usiku nani sawa na masaa 43 kwenda na kurudi,
Boing 787-8 engine inatumia lita 5,400 za mafuta kwa lisaa limoja yaani ( 5,400L/h )
Fanya hivi, chukua lita 5,400 za mafuta zidisha kwa masaa 21.31 utapata jumla ya Lita 115,074 za mafuta ili kufika New York Marekani yaani ( one way)
Tunafahamu,bei ya Lita moja ya mafuta ya ndege (Jet fuel) hapa Tanzania kama trh 24|09|2021 ni $0.501/lita sawa na Tshs 1,162
Ilikupata gharama ya mafuta Dar es salaam to New York ,Chukua lita hizi 115,074 zidisha kwa bei ya lita moja ambayo ni Tsh 1,162 utapata jumla ya Tshs 133,653,240 kwa Safari moja tu ( One way)
Ilikupata gharama ya safari zote mbili yaani kwenda New York na kurudi,Zidisha gharama ya mafuta ya kwenda Tshs 133,653,240 X 2 ilikupata gharama halisi ya mafuta ya Dar es Salaam to New York two ways ,Utapata Jumla ya Tsh267,306,480 hii ni pesa ya mafuta tu yakwenda New York na kurudi Dar es salaam,
Hapa hatujazungumzia rate ya landing fees, Parking fees nanyinginezo watu wa aviation wanafahamu hizi gharama vizuri, kwakuwa Mimi si mtaalum wa mambo Aviation naomba niishie hapa kwenye mathematical calculation ya gharama ya mafuta tu ambayo ni karibu 270M,
Sasa mnaolalamika Rais katumia gharama kubwa sikieni hii,Emirates gharama ya Mtu mmoja kwenda New York na kurudi Dar es salaam kwa Economy Class ni Tsh 2,854,500 kama utakaa huko chini ya Siku 7 ,
Sasa kwa kadirio la juu kabisa tufanye mama ameenda na watu|deligates 50 japo naamini ameenda na chini ya hawa,
Chukua 2,854,500 7X 50 Utapata jumla ya Tshs 142,725,000 ,
Chukua gharama ya mafuta ya Boing 787-8 ya kwenda New York na kurudi Dar es salaam ambayo ni Tshs 267,306,240 toa 142,725.000 ambayo ni nauli ya watu 50 utapata Salio la Tshs 124,581,240,
( watu 50 ni makadirio ya juu kabisa sio idadi kamili mwenye idadi kamili anaweza kutupa )
Rais Samia anajua umasikini wa watu wake, anajua hakuna madawa, anajua barabara mbovu, anajua watu wanamaisha magumu ndio maana anasafiri na Emirates pamoja na kwamba Tanzania tunazo ndege mpya 11,
Mnaotaka rais aende na dreamliner New York rudieni kusoma uchambuzi huu, Mnaosema rais anatumia gharama kubwa kwenda New York angalieni hii nia ya Rais katika kukwepa gharama zisizo za lazima,
NB, Kitendo cha Rais Samia kwenda na usafiri wa umma amepunguza gharama ya Safari kwa 40% na kwahaki nchi ilimsubiri kiongozi wa aina hii kwa muda mrefu,
_________________________________
![]()
Flights from Dar Es Salaam (DAR) to New York John F Kennedy (JFK) | Emirates Tanzania
Book flights from Dar Es Salaam to New York John F Kennedy today. Comfortable seats, gourmet meals and award-winning entertainment.www.emirates.com
![]()
ð¹ð¿ JP54, JET A1 price in Tanzania 83.7 bbl/$ [18.02.2025]
ð¹ð¿JET FUEL A1 Tanzania = 83.7bbl/$ 18.02.2025 graphjet-a1-fuel.com
![]()
Modern commercial aircraft vs cars: which is more fuel efficient?
There are good reasons why there's a push for aircraft engines continue to deliver better fuel efficiency.www.traveller.com.au
View attachment 1952267
Hivi yule mkulima tulishamalizana nae?
Kama hatukumalizana nae vp kuhusu usalama wa njiwa wetu akiruka mbali?
Sawa, Ila aliiache uchumi unakua kwa 2.1% toka 6.8% Leo Samia kaurudisha 5 8%,Usiwe kama zezeta,Ebu acheni kutuletea ujinga wenu hapa. Mtahangaika naye sana huyo mtu wenu.
Tunataka kichwa kama cha JPM ambaye alitumia akili zake kutafuta fedha kwa ajili ya kuendeshea miradi, na alifaulu sana.
Hatutaki mtu anayetumia akili zake kuzurura huku na huko kutafuta misaada, mwisho wa hiyo misaada ni kuuza Nchi.
"There is no free lunch in the World"
RIP, JPM Baba yetu. Tunakukumbuka sana. Mungu akupe heri ya milele. Amina.
Kwa hiyo na huku nchini atakua anapanda magari ya abiria kupunguza gharama? Pamoja na delegate yake?Duuuuh,
Naona vijana mnakaza kwelikweli, hatupumui,
Nikweli alichofanya Rais nikupunguza gharama sana,
kwenda na ndege binafsi gharama ni kubwa,
Hongera rais Samia, Karibu nyumbani
Utaka nayeye asindikizwe na magari 200?Kwa hiyo na huku nchini atakua anapanda magari ya abiria kupunguza gharama? Pamoja na delegate yake?
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
mkuu mm ninamashaka.sina utaalam kabisa na mambo ya hayo ysnayoluka juu.
hivi lina injini kubwa kiasigani hadi kula mafuta lita 5400 kwa saa 1?
Niwazo zuri piaKwani nani alisema kuwa aende na Boeing? Kwani Kikwete alikuwa anakwenda Boeing ambazo hazikuwapo wakati huo? si angeenda na Gulfstream ambayo ndiyo ndege rasmi ya rais? Kwanza Gulfstream ina range kubwa sana na haili mafuta kama Boeing; akienda na Gulfstream hawezi kubeba delegation ya watu 40!
Kwa taarifa yako, ndege inatumia mafuta ya taa!Kumbe mafuta ya ndege lita moja ni cheap kuliko petroli! Lita moja TZS 1,162/=!! Aisee