Uzalendo ndio huu, Dar-New York kwa B787-8 gharama ya mafuta ni TZS 267M

Uzalendo ndio huu, Dar-New York kwa B787-8 gharama ya mafuta ni TZS 267M

Ni kweli nakubaliana na mtoa hoja kwamba iwapo angetumia ndege ya serikali gharama zingekuwa kubwa zaidi . Hivyo kutumia ndege ya usafiri wa uma gharama zimekuwa nafuu. Hongera kwa kuliona jambo hili
 
Wanazengo mnafahamu ni kwanini Rais Samia aliamua kupanda ndege ya Emirates na kuacha ndege 11 mpya zimepaki?!
_________________________________

Kutoka Dar es salaam kwenda New York Marekani ni Jumla ya Km 12,050 sawa na jumla ya Km 24,100 two ways,ikiwa ni sawa na safari ya masaa 21 na dk 31 Mchana na Usiku nani sawa na masaa 43 kwenda na kurudi,

Boing 787-8 engine inatumia lita 5,400 za mafuta kwa lisaa limoja yaani ( 5,400L/h )

Fanya hivi, chukua lita 5,400 za mafuta zidisha kwa masaa 21.31 utapata jumla ya Lita 115,074 za mafuta ili kufika New York Marekani yaani ( one way)

Tunafahamu,bei ya Lita moja ya mafuta ya ndege (Jet fuel) hapa Tanzania kama trh 24|09|2021 ni $0.501/lita sawa na Tshs 1,162

Ilikupata gharama ya mafuta Dar es salaam to New York ,Chukua lita hizi 115,074 zidisha kwa bei ya lita moja ambayo ni Tsh 1,162 utapata jumla ya Tshs 133,653,240 kwa Safari moja tu ( One way)

Ilikupata gharama ya safari zote mbili yaani kwenda New York na kurudi,Zidisha gharama ya mafuta ya kwenda Tshs 133,653,240 X 2 ilikupata gharama halisi ya mafuta ya Dar es Salaam to New York two ways ,Utapata Jumla ya Tsh267,306,480 hii ni pesa ya mafuta tu yakwenda New York na kurudi Dar es salaam,

Hapa hatujazungumzia rate ya landing fees, Parking fees nanyinginezo watu wa aviation wanafahamu hizi gharama vizuri, kwakuwa Mimi si mtaalum wa mambo Aviation naomba niishie hapa kwenye mathematical calculation ya gharama ya mafuta tu ambayo ni karibu 270M,

Sasa mnaolalamika Rais katumia gharama kubwa sikieni hii,Emirates gharama ya Mtu mmoja kwenda New York na kurudi Dar es salaam kwa Economy Class ni Tsh 2,854,500 kama utakaa huko chini ya Siku 7 ,

Sasa kwa kadirio la juu kabisa tufanye mama ameenda na watu|deligates 50 japo naamini ameenda na chini ya hawa,
Chukua 2,854,500 7X 50 Utapata jumla ya Tshs 142,725,000 ,

Chukua gharama ya mafuta ya Boing 787-8 ya kwenda New York na kurudi Dar es salaam ambayo ni Tshs 267,306,240 toa 142,725.000 ambayo ni nauli ya watu 50 utapata Salio la Tshs 124,581,240,
( watu 50 ni makadirio ya juu kabisa sio idadi kamili mwenye idadi kamili anaweza kutupa )

Rais Samia anajua umasikini wa watu wake, anajua hakuna madawa, anajua barabara mbovu, anajua watu wanamaisha magumu ndio maana anasafiri na Emirates pamoja na kwamba Tanzania tunazo ndege mpya 11,

Mnaotaka rais aende na dreamliner New York rudieni kusoma uchambuzi huu, Mnaosema rais anatumia gharama kubwa kwenda New York angalieni hii nia ya Rais katika kukwepa gharama zisizo za lazima,

NB, Kitendo cha Rais Samia kwenda na usafiri wa umma amepunguza gharama ya Safari kwa 40% na kwahaki nchi ilimsubiri kiongozi wa aina hii kwa muda mrefu,

_________________________________


View attachment 1952267
Yote siyo muhimu hayo...

Tunachokitaka sisi kwa sasa kama taifa ni MARIDHIANO YA KITAIFA...

Maridhiano ya kitaifa yachagizwe na demokrasia ya kweli, haki kwa wote na uhuru wa watu...

Hata hivyo, tukirudi kwake Rais Samia, hivi ni sababu gani ilimfanya aambatane na msururu wa watu 50 au 25 au hata 10...?

Wote wa nini hawa kwa sababu alikuwa anakwenda kwenye kikao tu na wala haikuwa ziara ya kiserikali?

Ni kwanini asimwige mwenzake Haikainde Hichilema aliyekwenda na maafisa wengine wasaidizi wake watatu tu; walinzi 2 na mbeba mkoba 1 na bado kaupiga mwingi kuliko madikteta kadhaa wa Afrika kama Rais Samia, Museven, Kagame...???
 
Unapofikiri unasifia kumbe unaharibu...., Bure hizi hoja ungeachana nazo kuliko kuwakumbusha watu.... ?

Unajua uzalendo zaidi na kupunguza gharama ? Kwenda na delegation ya watu wachache.
mpiga picha wa Nyerere anasema Nyerere alikuwa anaenda na mkewe tu
 
Wanazengo mnafahamu ni kwanini Rais Samia aliamua kupanda ndege ya Emirates na kuacha ndege 11 mpya zimepaki?!
_________________________________

Kutoka Dar es salaam kwenda New York Marekani ni Jumla ya Km 12,050 sawa na jumla ya Km 24,100 two ways,ikiwa ni sawa na safari ya masaa 21 na dk 31 Mchana na Usiku nani sawa na masaa 43 kwenda na kurudi,

Boing 787-8 engine inatumia lita 5,400 za mafuta kwa lisaa limoja yaani ( 5,400L/h )

Fanya hivi, chukua lita 5,400 za mafuta zidisha kwa masaa 21.31 utapata jumla ya Lita 115,074 za mafuta ili kufika New York Marekani yaani ( one way)

Tunafahamu,bei ya Lita moja ya mafuta ya ndege (Jet fuel) hapa Tanzania kama trh 24|09|2021 ni $0.501/lita sawa na Tshs 1,162

Ilikupata gharama ya mafuta Dar es salaam to New York ,Chukua lita hizi 115,074 zidisha kwa bei ya lita moja ambayo ni Tsh 1,162 utapata jumla ya Tshs 133,653,240 kwa Safari moja tu ( One way)

Ilikupata gharama ya safari zote mbili yaani kwenda New York na kurudi,Zidisha gharama ya mafuta ya kwenda Tshs 133,653,240 X 2 ilikupata gharama halisi ya mafuta ya Dar es Salaam to New York two ways ,Utapata Jumla ya Tsh267,306,480 hii ni pesa ya mafuta tu yakwenda New York na kurudi Dar es salaam,

Hapa hatujazungumzia rate ya landing fees, Parking fees nanyinginezo watu wa aviation wanafahamu hizi gharama vizuri, kwakuwa Mimi si mtaalum wa mambo Aviation naomba niishie hapa kwenye mathematical calculation ya gharama ya mafuta tu ambayo ni karibu 270M,

Sasa mnaolalamika Rais katumia gharama kubwa sikieni hii,Emirates gharama ya Mtu mmoja kwenda New York na kurudi Dar es salaam kwa Economy Class ni Tsh 2,854,500 kama utakaa huko chini ya Siku 7 ,

Sasa kwa kadirio la juu kabisa tufanye mama ameenda na watu|deligates 50 japo naamini ameenda na chini ya hawa,
Chukua 2,854,500 7X 50 Utapata jumla ya Tshs 142,725,000 ,

Chukua gharama ya mafuta ya Boing 787-8 ya kwenda New York na kurudi Dar es salaam ambayo ni Tshs 267,306,240 toa 142,725.000 ambayo ni nauli ya watu 50 utapata Salio la Tshs 124,581,240,
( watu 50 ni makadirio ya juu kabisa sio idadi kamili mwenye idadi kamili anaweza kutupa )

Rais Samia anajua umasikini wa watu wake, anajua hakuna madawa, anajua barabara mbovu, anajua watu wanamaisha magumu ndio maana anasafiri na Emirates pamoja na kwamba Tanzania tunazo ndege mpya 11,

Mnaotaka rais aende na dreamliner New York rudieni kusoma uchambuzi huu, Mnaosema rais anatumia gharama kubwa kwenda New York angalieni hii nia ya Rais katika kukwepa gharama zisizo za lazima,

NB, Kitendo cha Rais Samia kwenda na usafiri wa umma amepunguza gharama ya Safari kwa 40% na kwahaki nchi ilimsubiri kiongozi wa aina hii kwa muda mrefu,

_________________________________


View attachment 1952267
instagram_1632583029388.jpg

kulikuwa na upotoshaji kweli
 
Hakuna cha gharama, hiyo bora isingetumika hata senti kwa uongo was wazi alioenda kuongea juu yetu huko Duniani.
 
Mbona linapoondolewa kwenye ramani ya dunia hawakutwambia nani aliyefanya hivo na tulipata hasara gani au hasara ndo kutegemea ajira ya machinga kila mahali maana tulipoteza wawekezaji.
 
Ebu acheni kutuletea ujinga wenu hapa. Mtahangaika naye sana huyo mtu wenu.
Tunataka kichwa kama cha JPM ambaye alitumia akili zake kutafuta fedha kwa ajili ya kuendeshea miradi, na alifaulu sana.
Hatutaki mtu anayetumia akili zake kuzurura huku na huko kutafuta misaada, mwisho wa hiyo misaada ni kuuza Nchi.
"There is no free lunch in the World"
RIP, JPM Baba yetu. Tunakukumbuka sana. Mungu akupe heri ya milele. Amina.
 
Hivi yule mkulima tulishamalizana nae?
Kama hatukumalizana nae vp kuhusu usalama wa njiwa wetu akiruka mbali?
Ebu acheni kutuletea ujinga wenu hapa. Mtahangaika naye sana huyo mtu wenu.
Tunataka kichwa kama cha JPM ambaye alitumia akili zake kutafuta fedha kwa ajili ya kuendeshea miradi, na alifaulu sana.
Hatutaki mtu anayetumia akili zake kuzurura huku na huko kutafuta misaada, mwisho wa hiyo misaada ni kuuza Nchi.
"There is no free lunch in the World"
RIP, JPM Baba yetu. Tunakukumbuka sana. Mungu akupe heri ya milele. Amina.
Sawa, Ila aliiache uchumi unakua kwa 2.1% toka 6.8% Leo Samia kaurudisha 5 8%,Usiwe kama zezeta,
 
Kwani nani alisema kuwa aende na Boeing? Kwani Kikwete alikuwa anakwenda Boeing ambazo hazikuwapo wakati huo? si angeenda na Gulfstream ambayo ndiyo ndege rasmi ya rais? Kwanza Gulfstream ina range kubwa sana na haili mafuta kama Boeing; akienda na Gulfstream hawezi kubeba delegation ya watu 40!
 
Kwani nani alisema kuwa aende na Boeing? Kwani Kikwete alikuwa anakwenda Boeing ambazo hazikuwapo wakati huo? si angeenda na Gulfstream ambayo ndiyo ndege rasmi ya rais? Kwanza Gulfstream ina range kubwa sana na haili mafuta kama Boeing; akienda na Gulfstream hawezi kubeba delegation ya watu 40!
Niwazo zuri pia
 
Kumbe mafuta ya ndege lita moja ni cheap kuliko petroli! Lita moja TZS 1,162/=!! Aisee
 
Back
Top Bottom