Mimi Utopolo mkuu, pambaneni tuu mchangie timu yenuKachangie timu mkuu
Mabilionaire hawana mda wa kuandika udaku mitandaoni, always they think how to expand their business, na kuwaza namna ya ku'mantain pale walipo.Kwenye list ya mabilionaire hap TZ huwezi kosa jina langu
Fedha za viingilio Huwa wanapeleka wapi Hadi waombe kuchangiwaWakuu Baada ya kuona makolo wanalia Lia kuwa Kuna muamko mdogo wa michango kutoka mkwa makolo wavunja viti .....
Kulingana na kupenda soka nimeona nichangie kiasi kidogo Cha laki Saba 700,000 Kwa makolo Ili kuwapa comfort
NB: Je umechangia makolo Tsh? Share muamala wako tuone
Cc : Kalpana View attachment 3203505
UtopoloUnajua mi nani??