Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze zaidi kufanya editingWakuu Baada ya kuona makolo wanalia Lia kuwa Kuna muamko mdogo wa michango kutoka mkwa makolo wavunja viti .....
Kulingana na kupenda soka nimeona nichangie kiasi kidogo Cha laki Saba 700,000 Kwa makolo Ili kuwapa comfort
NB: Je umechangia makolo Tsh? Share muamala wako tuone
Cc : Kalpana View attachment 3203505
Hapo ndio utaona upopoma wa Ahmed Ally na kuthibitisha kuwa kule kuna Mbumbumbu wengi kama Rage alivyosema.Hii meseji ya muamala imetrend sana mtandao wa X kwa ufeki wake wa kueditiwa.
Nadhani wewe ungekua makini na maisha, sidhani ungepata mda wa kuandiki upumbavu wako hapa!!!Daaah umakini huo ungeutumia kwenye maisha....ungetoboa sana
Atakama wewe huwezi kuwa Mo kamweMkuu....humu tunaficha ID ...unajuaje labda mi ndo mo dewj
Unadhani katika hawa mashabiki wa Yanga wanaotoa hela zao kuna anayemfikia Pacome kwa kipato?Mngelisaidia masikini ingelipendwza lakini mnasaidia wenye mafanikio
Huna cha kunishangaza mkuu uho ndio ukweliI wish one day tukutane.....nikushangaze
Embu fanya tuone kuwa unapesaDaaah nachukia hizi dharau....cjui niji expose tu[emoji51][emoji51]
Ada ya laki 7 haizidi 8000Wakuu Baada ya kuona makolo wanalia Lia kuwa Kuna muamko mdogo wa michango kutoka mkwa makolo wavunja viti .....
Kulingana na kupenda soka nimeona nichangie kiasi kidogo Cha laki Saba 700,000 Kwa makolo Ili kuwapa comfort
NB: Je umechangia makolo Tsh? Share muamala wako tuone
Cc : Kalpana View attachment 3203505
Kwan wale walimu wanao daiwa Kila siku na kausha damu lakn juz walimchangia Rais form ya kugombea Urais Wana ela Zaid yake??Unadhani katika hawa mashabiki wa Yanga wanaotoa hela zao kuna anayemfikia Pacome kwa kipato?
Tena naye aliamua aende na kamfuko kabisa 😀
View attachment 3203541