Uzalendo Unambeba George Mpole

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Kila ukionekana unamshabikia Fiston kwenye mbio za kiatu unaambiwa wewe huyo Fiston si mzawa, sie tunataka Mpole achukue.

Kaugonjwa hako kamekwenda hadi kwa waamuzi ambao mara kibao wamekua wakionyesha wazi kutopenda Fiston ashinde.

Mara nyingi baada ya Fiston kutikisa nyavu wamekua ama wakisema ni offsideama watasema kuna faul mmefanyiwa Yanga hivyo ni Faul ipigwe.

Pia kingine wachezaji wengine timu pinzani wanamuona Fiston kuwa ni hatari sana.

Hivyo kupelekea kutompa mwanya wa kufanya lolote wakimkaba watatu au wanne kitu ambacho kwa George mpole hakipo.
 
Huyu kijana ana kipaji cha kufunga. Hongera nyingi kwake.

I wish angekuja kutuongezea nguvu wananchi pale mbele. Siyo mchezaji wa kubahatisha kwenye kufunga. Yeye ni one mistake, one goal!
 
Walichobakiza makolo ni kumshangilia Mpole tu..!! Maana kwingine washapigwa
 
Acheni siasa, Mpole Yuko vizuri, namba hazidanganyi.
 
Kuna watu mmejaliwa vipaji aisee. Goli la Mayele limekataliwa makusudi na mshika kibendela.
 
Kwahiyo tukusaidieje?
 
Mwananchi tetema...
Scars Ghazwat OKW BOBAN SUNZU GENTAMYCINE Championship
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…