Uzalendo: Wabunge wa CHADEMA waliohamia NCCR Mageuzi watoa "viinua mgongo" vyao kati ya Tsh. 40m na 50m kila mmoja kufadhili Mkutano Mkuu!

Uzalendo: Wabunge wa CHADEMA waliohamia NCCR Mageuzi watoa "viinua mgongo" vyao kati ya Tsh. 40m na 50m kila mmoja kufadhili Mkutano Mkuu!

Hii kama siyo rushwa basi ni uzalendo na Utu uliotukuka.

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mh Mbatia amewashukuru waliokuwa wabunge kupitia Chadema na sasa wamehamia chama hicho kwa mchango wao mkubwa wa fedha uliofanikisha mkutano mkuu ufanyike.

Mbatia amewataja mh Selasini. Mh Komu, mh Suzan Masele na mwingine mmoja kwamba kila mmoja wao ametoa kiinua mgongo chake cha miaka 5 kuchangia gharama za mkutano mkuu.

Mbatia amebainisha wabunge hao wa zamani wa CHADEMA kutoa kiasi cha sh milioni 40 hadi 50, na kwamba hilo siyo jambo dogo na ameahidi chama kuwaenzi.

Maendeleo hayana vyama!
Futuhiii ndio ni Futuhii.
 
Una hakika gani hizo pesa hawajarudishiwa kwa mlango wa nyuma?!

Hiyo ahadi aliyoitoa Mbatia ya chama kuwaenzi unaijua maana yake?
Kinachofanyika ni kuficha chanzo cha zile 200M zilizotolewa na Serikali ya CCM kwa ahadi ya kuifanya NCCR chama kikuu cha upinzani.
Lakini nguvu ya Lissu imevuruga mission nzima maana CCM itambebaje nccr wakati yenyewe inapumulia machine?
 
Hii kama siyo rushwa basi ni uzalendo na Utu uliotukuka.

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mh Mbatia amewashukuru waliokuwa wabunge kupitia Chadema na sasa wamehamia chama hicho kwa mchango wao mkubwa wa fedha uliofanikisha mkutano mkuu ufanyike.

Mbatia amewataja mh Selasini. Mh Komu, mh Suzan Masele na mwingine mmoja kwamba kila mmoja wao ametoa kiinua mgongo chake cha miaka 5 kuchangia gharama za mkutano mkuu.

Mbatia amebainisha wabunge hao wa zamani wa CHADEMA kutoa kiasi cha sh milioni 40 hadi 50, na kwamba hilo siyo jambo dogo na ameahidi chama kuwaenzi.

Maendeleo hayana vyama!
Siku nyingine uandike ukiwa umetulia
 
Hii kama siyo rushwa basi ni uzalendo na Utu uliotukuka.

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mh Mbatia amewashukuru waliokuwa wabunge kupitia Chadema na sasa wamehamia chama hicho kwa mchango wao mkubwa wa fedha uliofanikisha mkutano mkuu ufanyike.

Mbatia amewataja mh Selasini. Mh Komu, mh Suzan Masele na mwingine mmoja kwamba kila mmoja wao ametoa kiinua mgongo chake cha miaka 5 kuchangia gharama za mkutano mkuu.

Mbatia amebainisha wabunge hao wa zamani wa CHADEMA kutoa kiasi cha sh milioni 40 hadi 50, na kwamba hilo siyo jambo dogo na ameahidi chama kuwaenzi.

Maendeleo hayana vyama!
Wakishinda uchaguzi ujao naenda kukojolea kwenye corridor la ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro!
 
Hii kama siyo rushwa basi ni uzalendo na Utu uliotukuka.

Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi mh Mbatia amewashukuru waliokuwa wabunge kupitia Chadema na sasa wamehamia chama hicho kwa mchango wao mkubwa wa fedha uliofanikisha mkutano mkuu ufanyike.

Mbatia amewataja mh Selasini. Mh Komu, mh Suzan Masele na mwingine mmoja kwamba kila mmoja wao ametoa kiinua mgongo chake cha miaka 5 kuchangia gharama za mkutano mkuu.

Mbatia amebainisha wabunge hao wa zamani wa CHADEMA kutoa kiasi cha sh milioni 40 hadi 50, na kwamba hilo siyo jambo dogo na ameahidi chama kuwaenzi.

Maendeleo hayana vyama!
Wajaribu Wabunge wa Chadema waone kesho asubuhi "Press Conference" ya Boss wa TAKUKURU....Hakika hii ni TAKUKUCHA
 
Hii pia inaweza kuwa ni kununua nafasi ya kuwakilisha chama / jimbo ili waweze kurudi bungeni kutengeneza zaidi ya hizo
 
Back
Top Bottom