The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 41,015
- 93,277
Tony hakuongea kichumi aliongea as if ni schooless person, utasemaje eti nchi tunazo trade nazo ni maskini ameangalia gdp au kitu gn ndipo joto akamuweka sawa, ss we unakuja na majibu yako ya bila kutumia akili au unajitoa ufahamu ukiwa unaelewa.Ndio nikakuuliza katika akili zao hawajui kabisa km kenya sio nchi maskini kwao na wala haina impact yyte hta wasipofanya nao biashara..
Hyo comment haina tofauti na vile tony alivyomwambia km hzo ni nchi maskini, lkn hakumaanisha km kenya haifanyi biashara na burundi hko tunaita kupanua matawi lln ukwel unajulikana
Jambo la kwanza ninapenda kukushauri kwamba sio busara kujibu post za kila mtu hapa JF, hii inakufanya kushindwa kupata muda wa kusoma kwa makini na kuelewa kile kinachokusudiwa, matokeo yake unajibu nje kabisa na kile kinachozungumzwa, post zako nyingi zinaonyesha kutokua makini katika majibu yako.Marekani haitegemei soko la kenya cz hata tusippnunua bado wanawashirika wengi sana na wenye kutuzidi na mbali..
Kw mfano ukiangalia matumizi ya saruji kenya huenda ikawa ni nusu hta zaidi ya nchi km tatu katika hzo ulizozitaja..
Bei hizi hapa, Kenya bado ni ghali kuliko TanzanianAcha kudanganya watu wewe, mikoani saruji ni 700 na unapelekewa mpka kw site, au nyinyi hko mikoani hakuna free delivery
Bei hizi hapa za wastan, bado Tanzania ni cheaperKenya kuna cement hadi ya ksh550
Bamburi ndio expensive at 700-680,
[emoji3][emoji3][emoji3] bro hapo umenena kwenye mbio hapo watatuzid kwel lakini sio maua TZ haijaweka kipaombele tuNa hata hyo chai na maua ni kutokuwa serious tu, ofcz kenya haipaswi kuizidi Tz kwa chochote kile labda mbio tu.
Na Kwa kuongezea TANZANIA ni kubwa zaidi ya kenyaBidhaa inaweza ikazalishwa kwa wingi lakini isifike kwa mlaji katika kiwango kile kinachohitajika, au kikamfikia kwa gharama kubwa kutokana na gharama za mlolongo mzima was usambazaji.
Mfano mzuri ni tofauti kati ya Kenya na Tanzania katika uzalishaji na usambazaji wa umeme na gharama zake, Kenya wanazalisha umeme mwingi zaidi ya Tanzania, lakini Tanzania imesambaza umeme kwa wanainchi zaidi ya Kenya kwa gharama ndogo zaidi ya Kenya.
2times[emoji3][emoji3]Na Kwa kuongezea TANZANIA ni kubwa zaidi ya kenya
Soma post yangu. Niliongea kuhusu uchumi wa nchi hizo. Pia nilitaja purchasing power yao.Tony hakuongea kichumi aliongea as if ni schooless person, utasemaje eti nchi tunazo trade nazo ni maskini ameangalia gdp au kitu gn ndipo joto akamuweka sawa, ss we unakuja na majibu yako ya bila kutumia akili au unajitoa ufahamu ukiwa unaelewa.
Punguza umama na uache kucatch mafeelings ovyo ovyo.Punguza ujinga
Tatizo huku hyo dangato sijawai ionaBei hizi hapa, Kenya bado ni ghali kuliko Tanzanian
Dangote’s low cement prices upset East African firms
Kw ile mishahara yenu kiduchu halafu kumbe saruji kenya tanzania bei zimepishana kw kitu ksh30-50..Bei hizi hapa za wastan, bado Tanzania ni cheaper
Dangote’s low cement prices upset East African firms
Alaaa!!umeanza kurukaruka sio, mbna pale tonny aliposem mnauzia nchi maskini ulipinga mpka kutoa mfano wa marekani kuhusu kufanya biashara..Jambo la kwanza ninapenda kukushauri kwamba sio busara kujibu post za kila mtu hapa JF, hii inakufanya kushindwa kupata muda wa kusoma kwa makini na kuelewa kile kinachokusudiwa, matokeo yake unajibu nje kabisa na kile kinachozungumzwa, post zako nyingi zinaonyesha kutokua makini katika majibu yako.
Nani aliyesema kwamba Tanzania tunategemea soko la nchi moja?, sisi tumesema tunauza Cement yetu katika nchi mbalimbali zilizotuzunguka na hata nchi za mbali kama Zimbabwe na South Africa, hii habari ya Marekani kutotegemea Kenya na Tanzania kutegemea Djibouti imekujaje na inahusianaje?, sisi tumetaja nchi ambazo tunaziuzia Cement na zile ambazo tunategemea kuziuzia siku zijazo, sasa huko kutegemea kumeanzia wapi?, wacha kudandia kujibu bila kuelewa mada husika
Kisha nimeku reply tu, lkn unapoleta link lete vitu updated hapa..Bei hizi hapa za wastan, bado Tanzania ni cheaper
Dangote’s low cement prices upset East African firms
Naona sasa mumeanza kujinasua pole pole, ila msijali hapa ni sehemu ya kuwekana sawa..Tony hakuongea kichumi aliongea as if ni schooless person, utasemaje eti nchi tunazo trade nazo ni maskini ameangalia gdp au kitu gn ndipo joto akamuweka sawa, ss we unakuja na majibu yako ya bila kutumia akili au unajitoa ufahamu ukiwa unaelewa.
Wewe leta link ambayo ni update zaidi ya hii tulinganisheKisha nimeku reply tu, lkn unapoleta link lete vitu updated hapa..
Sasa hii link ya 2016 itatusaidia na nn hapa
Wewe una matatizo ya akili, sisi kuwauzia cement nchi hizo mnazoziita masikini ni sawa na Marekani kuwauzia kenya bidhaa, hiyo haimainishi kwamba Marekani inaitegemea Kenya wala sio kwamba Tanzania inaitegemea Djibouti, hiyo ni biashara, tunazo nchi nyingi ambazo tunaweza kuwauzia hatutegemei nchi moja kama ambavyo Marekani inaweza kuacha kuwauzia Kenya na isiathirike kibiashara, hata Tanzania tunaweza tusiuzie Comoro au Djibouti na tusiathirike kibiashara kwasababu hatuzitegemei kama wewe unavyisema.Alaaa!!umeanza kurukaruka sio, mbna pale tonny aliposem mnauzia nchi maskini ulipinga mpka kutoa mfano wa marekani kuhusu kufanya biashara..
Sasa umeona nimeanza kukufinyilia makendw vizuri eti unajitia una hekima na kutaka kujinasua..
Pole sana jomba
Sahizi kukaa wiki tatu ndo itoke order yako kawaida afu mtu anajitapa tunazalisha sana ati uwekezaji mkubwa huku haukidhi mahitajiLkn hapa hapa bongo cement bado haijatosheleza, hususani miezi hii huwa inasumbua sana
Wengine wanaongea tu hawahui hata issue zinaendaje huku mtaaniSahizi kukaa wiki tatu ndo itoke order yako kawaida afu mtu anajitapa tunazalisha sana ati uwekezaji mkubwa huku haukidhi mahitaji
Walituambia dangote ikianza saruji itashuka lakini wapi,,Mara nyingi ccm huwa hawaaminiki.Hii inasaidia nini kama hapa Mwanza nanunua cement kwa Tsh 19000
Asante sana kw kuelewa somo[emoji122][emoji122]Wewe una matatizo ya akili, sisi kuwauzia cement nchi hizo mnazoziita masikini ni sawa na Marekani kuwauzia kenya bidhaa, hiyo haimainishi kwamba Marekani inaitegemea Kenya wala sio kwamba Tanzania inaitegemea Djibouti, hiyo ni biashara, tunazo nchi nyingi ambazo tunaweza kuwauzia hatutegemei nchi moja kama ambavyo Marekani inaweza kuacha kuwauzia Kenya na isiathirike kibiashara, hata Tanzania tunaweza tusiuzie Comoro au Djibouti na tusiathirike kibiashara kwasababu hatuzitegemei kama wewe unavyisema.