haaa makubwa haya mbna duh..Dah aisee
Nosipho ameumizwa sana na kifo cha baba yake, halafu walikuwa wanapendana sana yaani sasa sijui Why kajikuta kampa mate mastermind dah ๐๐
Mxo kakabidhiwa kiti sasa ila naona mk kamaindi kiaina..
Halafu huyu pastor mpya mbona kama anammaindi mama pastor?
Sio kwa mahubiri ya namna ile anamchana pastor wazi wazi..
Nosipho nadhani upweke ulimsumbua sana akaamua kujipeleka kwa mastermind.haaa makubwa haya mbna duh..
hahahahah nomaa ila mastermind anamsimamo sana.. na Nosipho ni stress tuu znamzinguaNosipho nadhani upweke ulimsumbua sana akaamua kujipeleka kwa mastermind.
Master ana moyo sana aisee akamchana nosi kiroho safi kuwa yeye ni kama Dada mdogo kwake. Hivyo xulu alikuwa kama baba yake tu. Hivyo wasirudie tena..! Sipati picha ningekuwa mimi aisee
ilo kanisa washarika ni wanafki na huyo pastor duh japo skucheki ila ningeghadhibika kwa kweli, uyo nombu na mxo wananichosha hahahhaYule pastor mpya anachamba kama mwanamke, mpaka mama nzuza kasepa waumini wanaongea chini chini..
Mxo alikuwa amelewa akaanza kuropoka na kumtukana ayanda, kwa sis D.
Ikabidi nombuso amnyanyue wakasepa. Halafu nao wajinga hawa wamenyanduana sema ITV wanakata mamaee zao
Sanaaa zweli huwa akishikilia anashikilia, kumbuka alivyomzingua hadi pastor. Hapendagi jau juzi alitaka kumzibua ayanda na chupa ๐๐hahahahah nomaa ila mastermind anamsimamo sana.. na Nosipho ni stress tuu znamzingua
Wanakera mama nzuza alimaindi yaani kakata tamaa.ilo kanisa washarika ni wanafki na huyo pastor duh japo skucheki ila ningeghadhibika kwa kweli, uyo nombu na mxo wananichosha hahahha
itv wanakatisha uhondo
kweli aseh...... ๐๐nosi...crush!crush!๐Sanaaa zweli huwa akishikilia anashikilia, kumbuka alivyomzingua hadi pastor. Hapendagi jau juzi alitaka kumzibua ayanda na chupa ๐๐
Nosi me nampenda nyie huyu, kalikuwa kana stress tu kweli kamekaa ofisini kwa baba yake ndio master akatokea pale...
kweli yani kama ata kukata tamaa unakata na kurudi nyumaWanakera mama nzuza alimaindi yaani kakata tamaa.
Yeye na pastor wamejitolea sana kwa waumini lakini waumini wamewarushia matapishi usoni namna hii?
kweli yani pastor alijicjimbia kaburi mwenyewe.... dhlomo na mabuza hahahah ni paka na panya ni full kizaizai.Pastor kama angetulia na family yake na kuacha kujifanya Super cop kumfatilia xulu ysingemkuta haya, mkewe anatia huruma mno huyu mama dah..
mabuza na dhlomo wamepelekana mpaka kwa commender wao ๐๐๐
Mimi nina interest na Leleti Khumalo tu (Sarafina).Ninasikitika namna ugonjwa wa vitiligo unamnyanyasa.Wakuu kwa Wale wapenzi wa isidingo tuliipenda sana lakini hakuna kisicho na mwisho. Hivyo kwa sisi wafuatiliaji wa itv. Wameamua kutuletea tamthilia mpya ya UZALO japo sina hakika kama ni mpya kabisa ni ya muda kidogo. Kama mwaka juzi
Hivyo uzi huu ni wa kupeana update kwa Wale watakaokosa na ikiwezekana kuweka mkeka wote kiufupisho kidogo hapa. Imeanza ina kama mwezi uzuri waigizaji wa isidingo wapo humu humu. Kuna lungi wa isidingo yupo humu kacheza kama sindi.
Kuna yule aliyekuwa mzee wake sechaba kacheza kama inspector dhlomo.
Ni balaa hii
View attachment 1831308
View attachment 1831309View attachment 1831310
View attachment 1831311
Yeah ugonjwa huo umepunguza ngozi yake nzuri kwa kiasi kikubwa.Mimi nina interest na Leleti Khumalo tu (Sarafina).Ninasikitika namna ugonjwa wa vitiligo unamnyanyasa.
Nataka nifunge Safari mpaka kwamashu huko bondeni.kweli aseh...... ๐๐nosi...crush!crush!๐
Its Pancho ๐
kweli uko makini kuchagua๐fanya himaa mkuu chaap ukaopoe๐Nataka nifunge Safari mpaka kwamashu huko bondeni.
Nikamchukue nosi yupo na stress sana na ni mtiifu sana.
Nosi akinizingua nabeba sma ana rangi tamu mnoo yaani.. ๐๐๐
Mkuu niachie mke wangu tafadhali nakuomba.Ila yule dada anayeitwa Nombuso kaipamba sana hii tamthilia. Napenda pozi zake na jinsi alivyo na nywele fupi.
Huyu pastor ni mpumbavu sana anataka kuwafyeka mdletshe wote kanisani.mxo mshenz sanaa anashindwa kutetea nafasi yake kama mtt wa kiume... et anaomba ushauri kwa mamayake mpuuzi kweli๐ ๐คฌ
huyu pastor nae ni mpuuzi tu utazan anaugomv na familia ya mdlech et ayanda atolewe kwenye kwaya aseh mtcheww! ๐ก
Naona yule pastor hajui kuwa ile kwaya imefika pale ilipo kwasababu ya Ayanda na nombuso na mda si mrefu Kuna uwezekano mkubwa Nombuso akaisaliti familia ya mchungaji sababu ya mxolisi.mxo mshenz sanaa anashindwa kutetea nafasi yake kama mtt wa kiume... et anaomba ushauri kwa mamayake mpuuzi kweli๐ ๐คฌ
huyu pastor nae ni mpuuzi tu utazan anaugomv na familia ya mdlech et ayanda atolewe kwenye kwaya aseh mtcheww! ๐ก