BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pastor kakimbia utasema ana turbo miguuni.[emoji23][emoji23]
Hahahaha Pastor alitolewa mbio tatizo lake alianza kuiponda tena familia ya mchungaji.Leo li-pastor limeumbuka
[emoji23][emoji23]
Kwa kile kipigo alikuwa hana Jinsi zaidi ya kukubali tu.Mk kakiri kumuua Zulu
Huyu msichana anaweza sababisha mauaji hivihiviHaya wenye mpenzi wenu Nombuso
Yan hajielewi anachotaka
mimi hili demu nasemaga ni kilaza sasa sijui ataishi nao wote?Haya wenye mpenzi wenu Nombuso
Yan hajielewi anachotaka
Najiuliza Amandla ndio mama akemwenye Picha ya pastor akichochora.?[emoji3][emoji3][emoji3]
Tatizo alijifanya kuwazingua mdletshe..
Halafu kuna huyu phindile sijui ni ndugu wa kina sma? Anaonekana ni mdangaji
nadhani ni mama yake kwa jinsi alivyokuwa wanaitanaNajiuliza Amandla ndio mama ake
Siwezi kuwa na mpenzi mpumbavu kama huyuHaya wenye mpenzi wenu Nombuso
Yan hajielewi anachotaka
nimeuliza me mwenyewe, mxo na hivi alivyo lege chamoto watakiona nasubiri sinema mk shughuli yake sio ndogo.Nawaza tu,MK akipona kasheshe lake hilo si kitoto...
sana angeenda taratbu kama alivyopanga mwanzo,sema pia amepotezwa na ushauri wa mastermind,jamaa anaongozwa na hisia sana...hasa kisa dada ake anatoka na MK...japo pia mxo ameonesha ni mtu anayeweza kubadilika na kuwa hatar sana,,,nimeuliza me mwenyewe, mxo na hivi alivyo lege chamoto watakiona nasubiri sinema mk shughuli yake sio ndogo.
Mxo amezingua yule ni uncle wake Licha ya yote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siwezi kuwa na mpenzi mpumbavu kama huyu
Mademu yote pale hayana akili halafu mama nzuza ana bonge la shape sema limejificha yaani pastor anafaidi alikuwa
Yan ananiboa si achague mmojaHaya wenye mpenzi wenu Nombuso
Yan hajielewi anachotaka
Ndio Phindile ni mama wa Amandla.Najiuliza Amandla ndio mama ake
So sma anabishana na mama ake wa kambo[emoji23]Ndio Phindile ni mama wa Amandla.
Walikuwa wanaboaNdio Phindile ni mama wa Amandla.