Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #441
Mama yule maskini anajua mwanae bikra sijui tumpigie au tumuachePale Nombuso anaongea kwenye simu na mama yake alionekana kutokufuraia kabisa yale maongezi pengine anajua alishauza mechi kitambo kwa Mxolisi.
Bado zweli kudakwa dhlomo kadhalilika sababu ya ujinga wa mabuza MK katumia fursaJamaa kapindua meza kirahisi sana.
Huyu demu nombu ni malaya kiufupi halafu utajiri wa kina mxo unamzuzua mke umechumbiwa halafu unasimama barabarani na ex wako public ni nini kama sio kumkosea heshima mumeo mtarajiwa?Huyu Binti mizinguo sana inaonesha hafulahii kuolewa na Ayanda na pia Mxolisi kaanza kujirudisha mdogomdogo kwahiyo lolote linaweza kutokea tu.
Imagine Ayanda na Amandla ni mtu na mdogo wake hahahaa ila phindile anaonekana ni mapepe sana.
Uliicheki leo asubuhi mkuu?Dah ya leo inaonekana kali eeh, mimi imenipita ngoja nivizie narudio keshO
Niliicheki mkuu ,, Linombuso halieleweki linataka nini, mimi ananikera'! Na mama yake anajua binti yake ni bikra kumbe wapi. Kwenye kipande kinachofuata ataambiwa ana mimba[emoji1]Uliicheki leo asubuhi mkuu?
Tumpigie tu Nombuso wake siyo bikra, ana mimba[emoji23][emoji23]Mama yule maskini anajua mwanae bikra sijui tumpigie au tumuache
Nilicheka sana alivyokokotwa na malindiMwanangu huyu sbu muhuni sana yaani ana mitikasi mingi sana.
Kila akija lazima akiwashe.. Bila shaka atakuja na mpya.
Leo naona MK kacheza kama pele kesi imegeuka juu chini. [emoji3][emoji3]
Mxo akiwa na nombu demu mshamba akadakwa na dhlomo bado mastermind tu. [emoji3]
Judge kacheza kama pele. Msala umegeuka.
Yaani ayanda atakoma sana kwa huyu nombu. Alijifanya kumuumiza nkule wa watu hadi demu akaenda zake, sasa acha akione.
Huyu phindile naona ni mtu wa dili kawageukia kwa mama xulu sasa anataka urithi eti amandla ni damu ya xulu [emoji3][emoji3][emoji3] mama mxo kamtimua.
Mambo sio powa mkuu wangu ..
Upo wapi weweSnitch SBU hawajamuonesha tena tangu alivyotoroka hospital msela nilikuwa namkubali sana by the way Mabuza kuna kitu anakifahamu sana kuhusa Xulu na Kuna uwezekano Xulu hajafa.
Huyu mama mswahili sana aiseeh na alivyo kibonge kakabeba kamalaya kale kama glass ya maji.Nilicheka sana alivyokokotwa na malindi
Dah kwenye hii tamthilia watu wana majina mengi me walikuwa wananichanganya. Huyu malindi (Lindiwe) pia wanamuita MaNgcoboHuyu mama mswahili sana aiseeh na alivyo kibonge kakabeba kamalaya kale kama glass ya maji.
Halafu sometime anaitwa lindiwe au malindi. Why?
Eeeh mkuu kariri jina moja mengine yaacheDah kwenye hii tamthilia watu wana majina mengi me walikuwa wananichanganya. Huyu malindi (Lindiwe) pia wanamuita MaNgcobo
[emoji16][emoji16][emoji16]sasa mimi nikikariri noja, utaona wanaitana kivingine. Kina Zulu pia wanaitwa Sukhumuzi kwa hiyo unakuta mtu akiwa anam-refer Zulu atamuita Gxabhashe au Sukhumuzi me wananichanganya bwana[emoji1787]Eeeh mkuu kariri jina moja mengine yaache
Mxo na nosi wanaitana "ntwana"
MK atamuita mama mxo "ma ngcobo"
Mastermind sometime anaitwa "zweli" ndio jina lake kabisa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaaa sasa utamuona mpenzi wako Nambuso aatakavyotapatapaHatimaye mtoto malaya aiyetulia kama nesi wa zamu kakipata cha mtema kuni
Kwao wanajua ni bikra na soon mwenyewe anaanza kutema tema matee. [emoji1487][emoji1487][emoji3][emoji3]
Ayanda jamaa ana akili sana huyu kweli hakika ni damu ya xulu og.. Kachagua kuwa pastor kwa manufaa ya mama yake na mdogo na kuendeleza legacy ya baba yake. [emoji1487][emoji1487]
Zweli kamchoma mwenzie yeye kajificha [emoji3][emoji3][emoji3]
Mpenzi wa nani kigagula huyu si alinikataa sio huyu? Kisa nauza samaki kwenye kapu langu kutwa kichwani..?Hahaaa sasa utamuona mpenzi wako Nambuso aatakavyotapatapa
π€£π€£Mpenzi wa nani kigagula huyu si alinikataa sio huyu? Kisa nauza samaki kwenye kapu langu kutwa kichwani..?
Sasa acha ateseke yaani kufa hafi cha moto anakiona. πππππΎππΎ
Unahisi Nombuso atamsingizia Ayanda mimba?Dah phindile ni nomaa [emoji119]alimuweza xulu balaa, sio kwa akili hiyo aliyomuingilia nayo...
Namuonea ayanda huruma maana hatima aliyoipitia naona inataka kurudi tena kwenye maisha ya familia yake apo baadae[emoji17]
Leo nimeikosa imekuwaje eti nipe detail hadi za nosi wangu na mwanaharamu nombuso.Dah phindile ni nomaa πalimuweza xulu balaa, sio kwa akili hiyo aliyomuingilia nayo...
Namuonea ayanda huruma maana hatima aliyoipitia naona inataka kurudi tena kwenye maisha ya familia yake apo baadaeπ
Tapeli Richard[emoji23][emoji23][emoji23]pesa walizompiga Zulu hawajatosheka sasa wanataka kusingizia Amandla mtoto wa.ZuluMpenzi wa nani kigagula huyu si alinikataa sio huyu? Kisa nauza samaki kwenye kapu langu kutwa kichwani..?
Sasa acha ateseke yaani kufa hafi cha moto anakiona. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji1487][emoji1487]