Mwanangu huyu sbu muhuni sana yaani ana mitikasi mingi sana.
Kila akija lazima akiwashe.. Bila shaka atakuja na mpya.
Leo naona MK kacheza kama pele kesi imegeuka juu chini. [emoji3][emoji3]
Mxo akiwa na nombu demu mshamba akadakwa na dhlomo bado mastermind tu. [emoji3]
Judge kacheza kama pele. Msala umegeuka.
Yaani ayanda atakoma sana kwa huyu nombu. Alijifanya kumuumiza nkule wa watu hadi demu akaenda zake, sasa acha akione.
Huyu phindile naona ni mtu wa dili kawageukia kwa mama xulu sasa anataka urithi eti amandla ni damu ya xulu [emoji3][emoji3][emoji3] mama mxo kamtimua.
Mambo sio powa mkuu wangu ..