Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
Hahhaaa mimi namsifia tu lkn napenda Zulu mafiaJamani muwe mnatusifia na sisi mahendisamu huoni avatar yangu hapo zweli namuacha mbali.. (joke)
Jamaa wanamgombania thobile haachii,
Kwanzia sasa mmekuwa watatu wewe,nosi,thobile, tuone mshindi atatangazwa msikitini au kanisani.
Hlf hivi kwanini wasouth wengi wanamakalio makubwa
Haujalishi ke au me
Chunguza hata waigizaji mfano,Lincon,mastermind,mxo,sechaba nk
Wanawake ndio usiseme