Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilitamani kuuona uo mtanange.... mkuu ilikuaje adi wakapoteza mzigoKinyago Ni mk hahahahahah
Ila nombuso anakera jaman
Inabidi tuwe wapole kwa kweli
vp umeangalia mkuu binafsi imenipita tena.Mimi pia nimeikosa, mtupatie brief kidogo kesho asubuhi tutaangqlia vizuri
safi sana kiongozi😂😂😂kweli aseh inabidi tuwahileo asubuhi nipo Home tu nimeipata.
Ayanda na nombu bado ni yale yale.
Mk alienda kwa kina sma ana jeraha la risasi aliyopigwa na zweli. Ila mzigo amechukua wote.
Mk shida yake ni kuiangusha empire ya xulu yote.
Na lile jamaa lenye nongoloza lililowakopa pesa kina mxo linadai hela yake. Lilimuua mtu pale pale.
Sbu sasa katulia jamaa angu, zweli na nosi inabidi warudishe fedha waliyopoteza,
Sbu saivi anachomekea.. 😀😀😀
NB: siku nyingine mmoja awe anawahi kurudi Home tuepushe kadhia ndogo ndogo kama hizi.
sanaa yani anawazoom tumwanangu sbu namkubali sana muhuni huyu, 😀😀💪💪
Niliangalia sema nimesahau maskini 😀😀Jana sijaona kabisa
Naomba aliyeiangalia atupie kdg