Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
Hahhaaa mimi namsifia tu lkn napenda Zulu mafiaJamani muwe mnatusifia na sisi mahendisamu huoni avatar yangu hapo zweli namuacha mbali.. (joke)
Jamaa wanamgombania thobile haachii,
Kwanzia sasa mmekuwa watatu wewe,nosi,thobile, tuone mshindi atatangazwa msikitini au kanisani.
Alitekwa na Mxo na akalala naye usiku kucha, asubuhi pale Nombuso alipokuwa anatafutwa na Ayanda kwa surprise wedding waliondoka na Mxo ili akamwambie ukweli. Walipofika kule Church ambako walikubaliana wakutane wakakuta tayari harusi imeandaliwa na mpaka aunty kutoka kijijini amealikwa, hapo ndiyo Nombuso alichanganyikiwa kabisa lakini mwisho alikubali kuolewa na Ayanda.Sijajua ni nani labda mxo au mtu mwengine kabisa tusiyemjua.
Yaani Mxo alimuadhirisha Ayanda kwa kumwambia kuwa yeye anamjua zaidi huyo mke wake kuliko Ayanda, ndio hapo uzalendo ulipomshinda.Ayanda na Mxolisi wamezishapa church πππ.
Usitueleze vya mbele bwana unatukwaza.Kweli kabisa. Niliangalia season two, Nikaona pasta baba yake ayanda atafanya Ile biashara ya Mr Zulu .pia nae mafia Kama Zulu. Na anataka kumuuwa Msster mind. Anamtuma mxolisi kufanikisha Ilo ila jamaa anamtaalifu master mind aondoke kwa mashu but nae mbishi hataki kuondoka. Hii Kitu Mbele ni π₯ π₯
πππujue ni kweli kabisaHahhaaa mimi namsifia tu lkn napenda Zulu mafia
Hlf hivi kwanini wasouth wengi wanamakalio makubwa
Haujalishi ke au me
Chunguza hata waigizaji mfano,Lincon,mastermind,mxo,sechaba nk
Wanawake ndio usiseme
Wee mwehu eeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]ujue ni kweli kabisa
Naskia huko south ulaji wa nyama sana ndio umechangia kwa kiasi kikubwa kuwa na makalio kwa wanaume aka inye..
Lincoln alikuwa na inye lakini mwili wake mnene kidogo, mxo ndio kabisa hapendezi yaani chura kubwa kuliko ya demu wangu,,
Zweli naye pia anayo na ayanda aseeh [emoji3][emoji3][emoji3]
Sijui madem zao huwa wanayashika?
Sio Zulu kweliYule msela mwenye kinyago sijui ni nani.
Kama ni yeye itapendeza Sana aisee.Sio Zulu kweli
Tutajua tu
anaambiwa halafu anajikuta much know tulia uone sasaNadhani Mxo hamjui vizuri SBU hahahaa jamaa ni bonge la snitch na mtu pekee anayemfahamu vizuri SBU ni Mastermind ni jambo la mda tu Mxo atalia.
Hahahaa Xulu anamfahamu vizuri ngoja Mxo afunzwe tena kwa mara ya pili.anaambiwa halafu anajikuta much know tulia uone sasa
Kwenye episode mbili au tatu zijazo tunaweza tukajua ni nani ngoja tusubilie ila Kama ni yeye itapendeza sana.Swali ni yule mwenye kinyago ni nani mbona tembea kama xulu.?
Imeisha hiyo tulipowaambia mfuatilie mlisema sio tamu kama isidingoNaipata wapi hii tamthilia kwa episodes zake za nyuma/mwanzo!?.
Yule mwenye mask inawezekana ni mk au sbu,master kapigana risasi na yule jamaa mwenye mask..
Mxo kapata demu mpya.. [emoji16][emoji16][emoji16]
hapa kwa sbu umegpnga penyewe sbu na huyp mwenye kinyago watakuwa wanacheza dili, sbu ni snitch kinoma ππYule mwenye mask inawezekana ni mk au sbu,